Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 4,722
- 14,248
Nchi yetu haiishiwi mambo na mengi ni yakutengeneza, jaribu kukonnect dots kwa mambo yafuatayo;
1. Ni Wiki ya pili sasa lakini hakuna chombo cha habari chochote kinachotaka tumjue vizur Rais Samia, na si kwa bahati mbaya, baada tu ya kuapa malori ya kujaza watu kwenda msibani yaliongezeka na coverage zikaongezeka sana, yani hadi waombolezaji waliozimia huku mikono ikiwa imeshikilia viroba vya vitoweo.
2. Kwamba msiba unafuatiliwa na watu karibu bilioni 4, sio kauli ya bahati mbaya, message ni kwamba huyu mtu ni mashuhuri sana na italazimika uenzi metendo yake(Offcorse nawateule wake) la sivyo wananchi wanyonge na dunia haitakuelewa.
3. Nyani wanafurahi kufa kwa Bwana shamba bila kujua kesho watakula wapi; hoja hapa wala sio wapinzani, ni kundi lisilofaidika na cheo kipindi Mzee akiwa hai, ndio limepigwa dongo, kwamba hata kama mnafurahi lakini hata hicho kidogo mlikipata kwa ubavu wake.
4. Waraka mrefu wa mema ya JK(Unaozunguka mitandaoni), unaonesha kwamba tunataka kuanza upya, kujenga nchi kwa usawa, ila pia unajibu vitisho vya team iliyokuwa inasifia mambo bila takwimu lakini pia kujibu mapigo kwamba nani atasaidia kujenga miradi mingine
5. Mimi ni Rais lakini mwenye maumbile ya mwanamke, ni kujibu vitisho kwa ujumla wake, lakini pia kuonesha kwamba akiamua anaweza kufanya hata kuzidi mtangulizi wake.
Turudi kwenye makundi ya CCM;
Kundi lililofaidi lakini lenye wasiwasi
Wamo kina Kabudi, Pole pole, Bashiru, Majaliwa na team tano tena 2020; hasa walioshinda bila kupingwa na kura za kwenye mabegi kama kule Kawe... hali yao ni ngumu kuliko maelezo.
Pia wamo waliomnanga JK vibaya mno akiwemo Madelu.
Kundi la waliotengwa licha ya uwezo wao na utendaji wao;
Wamo kina Muhongo, Januar, Nape na Kina Kimei.
Kundi la kuunga Juhudi mkono ;
Kina Covid 19, Katambi, Waitara , Silinde, Mollel na wengine, hawa hawajui nini mustakabali mama akitulia kwenye madaraka hivyo dawa ni kujiunga na kundi la kina Majaliwa.
Swali la msingi hapa; nani anataka kumtisha Rais Samia, au wanatumia umaarufu wa Hayati kutaka kumtisha asifanye lolote mambo yaende business as usual?
1. Ni Wiki ya pili sasa lakini hakuna chombo cha habari chochote kinachotaka tumjue vizur Rais Samia, na si kwa bahati mbaya, baada tu ya kuapa malori ya kujaza watu kwenda msibani yaliongezeka na coverage zikaongezeka sana, yani hadi waombolezaji waliozimia huku mikono ikiwa imeshikilia viroba vya vitoweo.
2. Kwamba msiba unafuatiliwa na watu karibu bilioni 4, sio kauli ya bahati mbaya, message ni kwamba huyu mtu ni mashuhuri sana na italazimika uenzi metendo yake(Offcorse nawateule wake) la sivyo wananchi wanyonge na dunia haitakuelewa.
3. Nyani wanafurahi kufa kwa Bwana shamba bila kujua kesho watakula wapi; hoja hapa wala sio wapinzani, ni kundi lisilofaidika na cheo kipindi Mzee akiwa hai, ndio limepigwa dongo, kwamba hata kama mnafurahi lakini hata hicho kidogo mlikipata kwa ubavu wake.
4. Waraka mrefu wa mema ya JK(Unaozunguka mitandaoni), unaonesha kwamba tunataka kuanza upya, kujenga nchi kwa usawa, ila pia unajibu vitisho vya team iliyokuwa inasifia mambo bila takwimu lakini pia kujibu mapigo kwamba nani atasaidia kujenga miradi mingine
5. Mimi ni Rais lakini mwenye maumbile ya mwanamke, ni kujibu vitisho kwa ujumla wake, lakini pia kuonesha kwamba akiamua anaweza kufanya hata kuzidi mtangulizi wake.
Turudi kwenye makundi ya CCM;
Kundi lililofaidi lakini lenye wasiwasi
Wamo kina Kabudi, Pole pole, Bashiru, Majaliwa na team tano tena 2020; hasa walioshinda bila kupingwa na kura za kwenye mabegi kama kule Kawe... hali yao ni ngumu kuliko maelezo.
Pia wamo waliomnanga JK vibaya mno akiwemo Madelu.
Kundi la waliotengwa licha ya uwezo wao na utendaji wao;
Wamo kina Muhongo, Januar, Nape na Kina Kimei.
Kundi la kuunga Juhudi mkono ;
Kina Covid 19, Katambi, Waitara , Silinde, Mollel na wengine, hawa hawajui nini mustakabali mama akitulia kwenye madaraka hivyo dawa ni kujiunga na kundi la kina Majaliwa.
Swali la msingi hapa; nani anataka kumtisha Rais Samia, au wanatumia umaarufu wa Hayati kutaka kumtisha asifanye lolote mambo yaende business as usual?