Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
wanajamvi sherehe za kumpongeza MR & MRS sijui nani (.shishi......) tunafanyia wapi na-hamu ya kuwaonyesha shoo maalum ya Masebene ..wakati mnaendelea kukata valuu , Konyagi, Tusker baridi na mdudu ..mie naendelaea na makamuzi ..
1. kakague
2. kakague tena kwa kutambua umuhimu na uhusiano wa hapo kwenye red
3. wewe ni GT, umejuaje tunahitaji sababu za kunywa tena na tena???
4. unaonaje tukakafanyia kale kabinti ketu sherehe ya kipaimara ijumaa? we need to have a reason to drink bana!!