haya sasa!series inaanza
EPISODE ONE
haya sasa!series inaanza
EPISODE ONE
Hongera Shishi kwa kujifungua salama.
Kwani mamushka Shishi anapewa hongera ya nini?muone
ulilala baa gani last nite kwani???
Kwani mamushka Shishi anapewa hongera ya nini?
Safari ya kwenda mbinguni jana ilipata kikwazo pale kaunta LOL!
Si ndio ndoa zetu za siku hizi?according to mwandiko wako Shishi amejifungua siku chache tu baada ya ndoa yake takatifu.......
HONGERA SANA.........sasa unakula/unaliwa//heee! kiswahili bana.......I mean unapata hiyo kitu kwa halali kabisa Location MARANGU NIGHT PARK
Ubarikiwe!!!! leo nimo!
Mpwa hivi hii Marangu Night Park ni ile anayomilika Somebody Mawalla...nasikia kunakuwa na disco la kufa mtu.....nihabarisheni...nataka fungate yangu nijirushe pale....
Si ndio ndoa zetu za siku hizi?
Mbona mi nilijifungua ndio nikafunga ndoa?
Hizi valuu wakati wa baridi kama huu huwa zinakuwa kama Bange!!!
Hizi valuu wakati wa baridi kama huu huwa zinakuwa kama Bange!!!