CONGRATULATIONS SHISHI!....welcome to the club

Hongera Shishi kwa kujifungua salama.
Ubarikiwe sana na angalia sana nyota ya kijani.
 
Kwani mamushka Shishi anapewa hongera ya nini?
Safari ya kwenda mbinguni jana ilipata kikwazo pale kaunta LOL!

according to mwandiko wako Shishi amejifungua siku chache tu baada ya ndoa yake takatifu.......
 
according to mwandiko wako Shishi amejifungua siku chache tu baada ya ndoa yake takatifu.......
Si ndio ndoa zetu za siku hizi?
Mbona mi nilijifungua ndio nikafunga ndoa?
 
HONGERA SANA.........sasa unakula/unaliwa//heee! kiswahili bana.......I mean unapata hiyo kitu kwa halali kabisa Location MARANGU NIGHT PARK
Ubarikiwe!!!! leo nimo!

Mpwa hivi hii Marangu Night Park ni ile anayomilika Somebody Mawalla...nasikia kunakuwa na disco la kufa mtu.....nihabarisheni...nataka fungate yangu nijirushe pale....
 
Mpwa hivi hii Marangu Night Park ni ile anayomilika Somebody Mawalla...nasikia kunakuwa na disco la kufa mtu.....nihabarisheni...nataka fungate yangu nijirushe pale....

Not sure kuhusu mmiliki, lakini ana-run mshkaji mmoja big anaitwa Tarimo. Sio pa kiivo sana, hakuna disco kivile.......ila mbusi babangu!!! duh! wale wenyewe wa ukweli!
 
wanajamvi sherehe za kumpongeza MR & MRS sijui nani (.shishi......) tunafanyia wapi na-hamu ya kuwaonyesha shoo maalum ya Masebene ..wakati mnaendelea kukata valuu ,Tusker baridi na mdudu ..mie naendelaea na makamuzi ..
 
Back
Top Bottom