Congo's M23 rebels end rebellion, say ready to disarm

Congo's M23 rebels end rebellion, say ready to disarm

Nyati

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2009
Posts
2,528
Reaction score
1,917
[h=1]Baada ya kipigo cha mbwa mwizi toka kwa vijana wetu. Wale mamluki wa Kagame hatimaye wamebwaga manyanga. Soma hapa BBC News - DR Congo rebels 'end insurgency'[/h]Hapo ndo watakoma maana tulianzia kwa Amini sasa Proxy wa Kagame wameipata fresh
 
Hii kwa hakika ni habari njema kwa wapenda amani wote duniani hasa raia wa DRC ambao wameteseka sana kutokana na vita hii. Ushiriki wa Tanzania katika kuutokomeza uhasi huu ni wa kujivunia pia. JWTZ imeonyesha uwezo. Natumai amani hii italindwa idumu.
 
Kagame amenunaje..... ataichukia TZ mpaka basi, JWTZ balaa
 
Kwa nini wasijenge kambi kubwa ya kijeshi mpakani mwa Uganda na rwanda ili jamaa wasijerudia upuuzi wao tena?
 
Waasi wa M23 wamesalimu amri huko nchini Kongo. Nitoe pongezi kwa makanda wetu wa JWTZ, wameipa heshima nchi na wametendea haki makamanda wenzao walio uawa.

Congolese Defence Minister Alexandre Luba Ntambo, after the meeting, said once the rebels had publicly abandoned their insurgency the government "would make a public declaration of acceptance of this". Five days later, a formal peace agreement would be signed, he added.

BBC

The BBC's Milton Nkosi in South Africa says, with its announcement on Tuesday, the M23 appears to have met the conditions of the African leaders.

BBC

While Ugandan President Yoweri Museveni was at the summit, Rwanda's Paul Kagame was conspicuous by his absence, our correspondent says. Rwanda's foreign minister was at the meeting, however.

BBC

http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-24816223
 
wawafuate wakawafyagie hukohuko walikokimbilia, wanajeshi wetu saba wameshazikwa hadi leo, kwanini tunawaacha waende hai hao?
 
Ndugu yangu Uasi huwa unatuliaga tu kwa muda hauishi hata kidogo.Labda kama wakiua raia woooote ndo utaisha other wiseto me is big NO. wanapanga mikakakti tu watoke vipi baadaye.
 
Huyo Zitto ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje, ulinzi au umoja wa mataifa?au ni msemji wa M23?Yani kila kitu anajua yeye!Very childish!
 
Huyo Zitto ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje, ulinzi au umoja wa mataifa?au ni msemji wa M23?Yani kila kitu anajua yeye!Very childish!

Mbona asubuhi nilimsikia Membe akiuunguruma toka Sozaafrika akisema waasi wamekubali kila kitu!
 
Wakuu, napendekeza tuombe tenda ya kumkamata yeye na vibaraka vyake na kuwapeleka ICC

Nashangaa kwanini Amerika hawamuweki huyu blood sucker "Kagame" kwenye orodha ya wanaotakiwa ICC, labda kwakuwa alikuwa navuna na kuwapelekea raslimali
 
hii habari iko bbc sasa sijui kama ulikua una haja ya kusema umesikia kwa zito? ina maana wewe huwez amin kitu mapak uckie kwa zito?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom