Congo's M23 rebels end rebellion, say ready to disarm

Congo's M23 rebels end rebellion, say ready to disarm

Nashukuru Kwa Kunielewa na Huyo Mtoto Amewakaribisheni Kulinda Amani Kwake ili Ajue Mbinu Zetu na Hadi Silaha Zetu Kisha Anawataarifu Baba Zake KK's na Sisi huku Anatutia Ndimu tu Tanzania na Tunabaki tu Kujisifu humu Kijinga na Kipumbavu Kuwa JWTZ Limewashinda M23 ilhali Majeshi Ya MONUSCO Yanaundwa na Nchi Tatu tu South Africa tena Ambao Ndiyo Wana Askari Wengi Kisha Malawi na Sisi Tanzania ambao tuna Batch ndogo Mno Ya Askari Wetu Huko Ambao Wanafika Sasa 800. Tuache Sifa za Kijinga na Kujisifu Kwani Rwanda, Uganda na Sasa Kenya Wanatudharau Mno na Sishangai Tumetengwa ktk COALITION OF THE WILLING na Kwa UMBUMBUMBU WETU Tumetumia Jazba na Hasira Kutaka Kujiunga na DRC na Burundi ambapo DRC bado Kuna Vita na Human Rights Abuse Nyingi tu Huku Burundi ikiwa bado Politically Unstable na Bado Wana Lile Kundi la Hatari La INTARAHAMWE! Hii Ni AKILI au MATOPE? Kwa Kitendo tu cha Kuanzisha New Grade System Ya Kuwa na DIVISION FIVE Kwanini Akina TRIPLE K's Wasitudharau Kwa Kuanzia Kwa Mjomba na Kumtenga na Hadi Sisi akina PANGU PAKAVU? Tunajisifia huku Wenzetu Wakipiga Hatua in Social Economical Development! Bravo Kaguta, Kagame na Kenyata and Well Done K Wa Msoga na Magogoni.

Maadamu tumeshaswaga na tunaendelea kuswaga wahamiaji haramu,Tumepiga M23 na COALITION ya kipuuzi TUMEI-SHIT, kwa sasa hizo ni salamu tosha kwako .Ruksa uliyeandika endelea kulia lia na utalia sana.Na bado.
 
Jipeni Moyo ila Kwa Wanaojua Theories za Propaganda Watawaelewa Hao M23 Na Wakifanyacho Sasa ni Re Organizing na Watarudi Kwa Jina Lingine na Renegade Mpya. Kwa Wale Wazoefu wa Masuala Ya Intelligence ( Espionage ) Watanielewa na Mimi Najua Walichokifanya hapo Ni Kuwazuga tu na Kubadilisha Upepo ambapo Sasa Shughuli Imehamia Kwa Uganda ambao Nao Kwa Sasa Wanaingia Mzigoni na DRC ili Kuwapumzisha Rwanda Kwa Kipindi Fulani na Pia Kuwasahaulisheni Kuhusu Kagame na Watarudi baadae Kidogo Wakiwa na Nguvu Mpya na Tactics Mpya Kabisa. Kwa Sasa Shughuli Anaachiwa Baba Museveni Mtoto wa Marehemu Mama Esteeri Kokundeka na Marehemu Baba Amos Kaguta na Msiojua Kijana Wenu Joseph Kabila ila Kwa hapa Dar Tulioishi Nae Tulikuwa Tunamwita na Kumfahamu Sana Kwa Jina la KABANGE na Alikuwa Akipenda Sana Kutumia Gari la Rambourgine Nadhani Watoto wa Oysterbay Mitaa Ya Haile Selasie Mtakuwa Mnamkumbuka na Marehemu Baba Yake wa Kipropaganda Mzee Laurent Desire Kabila Alikuwa Anajulikana Mno Kwa Jina La Mzee Mwale! Dogo Ni Mtutsi Pure na Anacheza tu Dili na Wazee Wake wa Uganda na Rwanda na Jina Lake Halisi ni ADRIEN HYPOLYTE CHRISTOPHER KANAMBE. Nimemaliza na Kazi Kwenu Mimi Simo..............!

Ulichoandika ni DUA LA KUKU ambalo halimpati MWEWE.umeandika your personal frustration cry baada ya kipigo.Tuliwaambia acheni mkavimba vichwa.You are welcome to battle ground.
 
kwani ni jwtz tu? au MONUSCO? Wabango kwa sifa! ebu achen upumbafu
Nawe nenda kwa b.... zako sasa unafikiri nani alikuwa mstari wa mbele. Vijana wa TZ ndo walikuwa kule ndo maana hadi sasa tumepoteza kama watatu hivi tu na kuwauawa wao kibao. Siku nyingine uwe na akili
 
Nashukuru Kwa Kunielewa na Huyo Mtoto Amewakaribisheni Kulinda Amani Kwake ili Ajue Mbinu Zetu na Hadi Silaha Zetu Kisha Anawataarifu Baba Zake KK's na Sisi huku Anatutia Ndimu tu Tanzania na Tunabaki tu Kujisifu humu Kijinga na Kipumbavu Kuwa JWTZ Limewashinda M23 ilhali Majeshi Ya MONUSCO Yanaundwa na Nchi Tatu tu South Africa tena Ambao Ndiyo Wana Askari Wengi Kisha Malawi na Sisi Tanzania ambao tuna Batch ndogo Mno Ya Askari Wetu Huko Ambao Wanafika Sasa 800. Tuache Sifa za Kijinga na Kujisifu Kwani Rwanda, Uganda na Sasa Kenya Wanatudharau Mno na Sishangai Tumetengwa ktk COALITION OF THE WILLING na Kwa UMBUMBUMBU WETU Tumetumia Jazba na Hasira Kutaka Kujiunga na DRC na Burundi ambapo DRC bado Kuna Vita na Human Rights Abuse Nyingi tu Huku Burundi ikiwa bado Politically Unstable na Bado Wana Lile Kundi la Hatari La INTARAHAMWE! Hii Ni AKILI au MATOPE? Kwa Kitendo tu cha Kuanzisha New Grade System Ya Kuwa na DIVISION FIVE Kwanini Akina TRIPLE K's Wasitudharau Kwa Kuanzia Kwa Mjomba na Kumtenga na Hadi Sisi akina PANGU PAKAVU? Tunajisifia huku Wenzetu Wakipiga Hatua in Social Economical Development! Bravo Kaguta, Kagame na Kenyata and Well Done K Wa Msoga na Magogoni.

Operation kimbunga imekupitia nini mbona waandika kwa Hisia
 
Sikumbuki ni wapi walikoenda JWTZ wakashindwa kutimiza malengo yao waliyoyaendea. Ndo maana Kagame akijua hilo anakuwa na kiwewe asikae karibu na JWTZ maana wamemfundisha kazi.
 
Nashukuru Kwa Kunielewa na Huyo Mtoto Amewakaribisheni Kulinda Amani Kwake ili Ajue Mbinu Zetu na Hadi Silaha Zetu Kisha Anawataarifu Baba Zake KK's na Sisi huku Anatutia Ndimu tu Tanzania na Tunabaki tu Kujisifu humu Kijinga na Kipumbavu Kuwa JWTZ Limewashinda M23 ilhali Majeshi Ya MONUSCO Yanaundwa na Nchi Tatu tu South Africa tena Ambao Ndiyo Wana Askari Wengi Kisha Malawi na Sisi Tanzania ambao tuna Batch ndogo Mno Ya Askari Wetu Huko Ambao Wanafika Sasa 800. Tuache Sifa za Kijinga na Kujisifu Kwani Rwanda, Uganda na Sasa Kenya Wanatudharau Mno na Sishangai Tumetengwa ktk COALITION OF THE WILLING na Kwa UMBUMBUMBU WETU Tumetumia Jazba na Hasira Kutaka Kujiunga na DRC na Burundi ambapo DRC bado Kuna Vita na Human Rights Abuse Nyingi tu Huku Burundi ikiwa bado Politically Unstable na Bado Wana Lile Kundi la Hatari La INTARAHAMWE! Hii Ni AKILI au MATOPE? Kwa Kitendo tu cha Kuanzisha New Grade System Ya Kuwa na DIVISION FIVE Kwanini Akina TRIPLE K's Wasitudharau Kwa Kuanzia Kwa Mjomba na Kumtenga na Hadi Sisi akina PANGU PAKAVU? Tunajisifia huku Wenzetu Wakipiga Hatua in Social Economical Development! Bravo Kaguta, Kagame na Kenyata and Well Done K Wa Msoga na Magogoni.
Pole sana una hasira za kipigo hadi unapoteza network. Hakuna anayejua unazungumzia nini.

Kwa taarifa yako PK amefundiswha na JWT. Kagame kapigana chini ya JWTZ. Hoja kuhusu silaha ni ya kipuuzi sana.Nani asiyejua silaha hapa duniani.

Kipigo kimekutia kiwewe kaa kimya uuguze maumivu kama Murutongore na Maxshimba.
Hawa walisema M23 jeshi la nidhamu chini ya RPF. Wamekuala kipigo hakuna cha zaidi.
 
Bw: GENTAMYCINE !! INAMAANA SILAHA ZETU ZOTE ZIPO CONGO DRC? Imean vifaru,jetfigher etc!!! je kama wanatutenga kwa umbumbumbu wetu inamaana wanataka kuanzisha vita ili watuchape , je UMOJA WA MATAIFA HAWANA AKILI MPAKA WATUTOE TZ MUHANGA ILI MAMBO YAWE MABAYA KWETU?
 
Wakuu, napendekeza tuombe tenda ya kumkamata yeye na vibaraka vyake na kuwapeleka ICC
Mheshimiwa Nyati hiyo wala haituhusu. tumuache iko siku yatamkuta ya Uhuru. Huku ICC kule Al shabab ila Kagame ni mjanja maana ameamua kuungana na Uhuru ili ampe uzoefu wa kule. Big up wote ma KKK
 
Nashukuru Kwa Kunielewa na Huyo Mtoto Amewakaribisheni Kulinda Amani Kwake ili Ajue Mbinu Zetu na Hadi Silaha Zetu Kisha Anawataarifu Baba Zake KK's na Sisi huku Anatutia Ndimu tu Tanzania na Tunabaki tu Kujisifu humu Kijinga na Kipumbavu Kuwa JWTZ Limewashinda M23 ilhali Majeshi Ya MONUSCO Yanaundwa na Nchi Tatu tu South Africa tena Ambao Ndiyo Wana Askari Wengi Kisha Malawi na Sisi Tanzania ambao tuna Batch ndogo Mno Ya Askari Wetu Huko Ambao Wanafika Sasa 800. Tuache Sifa za Kijinga na Kujisifu Kwani Rwanda, Uganda na Sasa Kenya Wanatudharau Mno na Sishangai Tumetengwa ktk COALITION OF THE WILLING na Kwa UMBUMBUMBU WETU Tumetumia Jazba na Hasira Kutaka Kujiunga na DRC na Burundi ambapo DRC bado Kuna Vita na Human Rights Abuse Nyingi tu Huku Burundi ikiwa bado Politically Unstable na Bado Wana Lile Kundi la Hatari La INTARAHAMWE! Hii Ni AKILI au MATOPE? Kwa Kitendo tu cha Kuanzisha New Grade System Ya Kuwa na DIVISION FIVE Kwanini Akina TRIPLE K's Wasitudharau Kwa Kuanzia Kwa Mjomba na Kumtenga na Hadi Sisi akina PANGU PAKAVU? Tunajisifia huku Wenzetu Wakipiga Hatua in Social Economical Development! Bravo Kaguta, Kagame na Kenyata and Well Done K Wa Msoga na Magogoni.

Wewe si mtanzania. Nyinyi ndio wale mlionunua mashamba TZ, mkitegemea muungano wa EAC ili muyahalalishe rasmi. Sasa mnaanza kupagawa sio.
 
Mimi niliiona post ya Zitto Facebook kwa hiyo nika mquote yeye. Shida iko wapi kama taarifa ni ya kweli?

achana na habari za facebook kule kuna watu zaidi ya watano na wanatumia jina la zitto.....hakuna habari sahihi kutoka fa cebook
 
Jipeni Moyo ila Kwa Wanaojua Theories za Propaganda Watawaelewa Hao M23 Na Wakifanyacho Sasa ni Re Organizing na Watarudi Kwa Jina Lingine na Renegade Mpya. Kwa Wale Wazoefu wa Masuala Ya Intelligence ( Espionage ) Watanielewa na Mimi Najua Walichokifanya hapo Ni Kuwazuga tu na Kubadilisha Upepo ambapo Sasa Shughuli Imehamia Kwa Uganda ambao Nao Kwa Sasa Wanaingia Mzigoni na DRC ili Kuwapumzisha Rwanda Kwa Kipindi Fulani na Pia Kuwasahaulisheni Kuhusu Kagame na Watarudi baadae Kidogo Wakiwa na Nguvu Mpya na Tactics Mpya Kabisa. Kwa Sasa Shughuli Anaachiwa Baba Museveni Mtoto wa Marehemu Mama Esteeri Kokundeka na Marehemu Baba Amos Kaguta na Msiojua Kijana Wenu Joseph Kabila ila Kwa hapa Dar Tulioishi Nae Tulikuwa Tunamwita na Kumfahamu Sana Kwa Jina la KABANGE na Alikuwa Akipenda Sana Kutumia Gari la Rambourgine Nadhani Watoto wa Oysterbay Mitaa Ya Haile Selasie Mtakuwa Mnamkumbuka na Marehemu Baba Yake wa Kipropaganda Mzee Laurent Desire Kabila Alikuwa Anajulikana Mno Kwa Jina La Mzee Mwale! Dogo Ni Mtutsi Pure na Anacheza tu Dili na Wazee Wake wa Uganda na Rwanda na Jina Lake Halisi ni ADRIEN HYPOLYTE CHRISTOPHER KANAMBE. Nimemaliza na Kazi Kwenu Mimi Simo..............!

nimeishia hapo kwenye aina gari!
 
kwani ni jwtz tu? au MONUSCO? Wabango kwa sifa! ebu achen upumbafu

rejea tweets za M23 vs membe, waliposikia tunatia timu mbona hawakutishia nyau majeshi mengine yoyote isipokuwa ya TZ tu? kumbuka majeshi ya UN yalikuwapo huko kitambo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom