Jipeni Moyo ila Kwa Wanaojua Theories za Propaganda Watawaelewa Hao M23 Na Wakifanyacho Sasa ni Re Organizing na Watarudi Kwa Jina Lingine na Renegade Mpya. Kwa Wale Wazoefu wa Masuala Ya Intelligence ( Espionage ) Watanielewa na Mimi Najua Walichokifanya hapo Ni Kuwazuga tu na Kubadilisha Upepo ambapo Sasa Shughuli Imehamia Kwa Uganda ambao Nao Kwa Sasa Wanaingia Mzigoni na DRC ili Kuwapumzisha Rwanda Kwa Kipindi Fulani na Pia Kuwasahaulisheni Kuhusu Kagame na Watarudi baadae Kidogo Wakiwa na Nguvu Mpya na Tactics Mpya Kabisa. Kwa Sasa Shughuli Anaachiwa Baba Museveni Mtoto wa Marehemu Mama Esteeri Kokundeka na Marehemu Baba Amos Kaguta na Msiojua Kijana Wenu Joseph Kabila ila Kwa hapa Dar Tulioishi Nae Tulikuwa Tunamwita na Kumfahamu Sana Kwa Jina la KABANGE na Alikuwa Akipenda Sana Kutumia Gari la Rambourgine Nadhani Watoto wa Oysterbay Mitaa Ya Haile Selasie Mtakuwa Mnamkumbuka na Marehemu Baba Yake wa Kipropaganda Mzee Laurent Desire Kabila Alikuwa Anajulikana Mno Kwa Jina La Mzee Mwale! Dogo Ni Mtutsi Pure na Anacheza tu Dili na Wazee Wake wa Uganda na Rwanda na Jina Lake Halisi ni ADRIEN HYPOLYTE CHRISTOPHER KANAMBE. Nimemaliza na Kazi Kwenu Mimi Simo..............!