LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,146
- 11,192
Wacongo ukiwakuta hapa mjini kazi yao ni kupaka mikorogo kunyanyua vyuma na kuuza sura tu ila swala la kuonewa na Rwanda kwa kweli ni aibu
Congo wana kila aina ya madini ambayo kama wangekuwa makini na kuungana kama Taifa moja wangekuwa ni tishio kiuchumi na kijeshi hapa Africa hakuna mtu angeweza kuwasogelea, kumbukeni madini ya mabomu ya Nuclear yaliyodondoshwa kule japan , Historia inaeleza kuwa madini muhimu yaliyofanikisha kutengeneza yele mabomu yalichimbwa hapo hapo Congo yaani Congo wana kila aina ya silaha wamezikalia Ardhini
Wacongo ni kama wana laana ambayo haiwezi kuisha kamwe, Congo ingewekeza vizuri kwenye Jeshi la Tecnolojia ,Nchi kama Rwanda ambayo ni sawa na ka mkoa mmoja wa Tz ingepewa onyo moja tu la kuangamizwa kama wakiendelea kuleta masihara, Yaani Rwanda asingesubutu kusogea pale, ila Congo ni kama walishachelewa kuwekeza kwenye jeshi la kisasa
Na wacongo wenyewe kupigana wenyewe kwa wenyewe ndio kunawaponza hadi adui inaingia kwnye Ardhi yao anabeba madini wao wapo tu, naona Raisi wao wa sasa ndio kashtuka ndio maana kagame hana amani kwa sasa
Mkitaka kujua Kagame sio tishio kama anavyosifiwa hapa kumbukeni namna Jk alivyokuwa anampelekea moto hadi wakawa hawaivi, pamoja na kupelekewa moto watu wake wa m23 ila Kg hakuthubutu kuingiza pua kwenye Ardhi ya Tz
Congo ina madini ya kuunda silaha za kutisha wameyakalia ardhini , wacongo wengi wanapaka mikorogo na kufuga miili ila linapokuja swala la kuilinda nchi yao ni waoga
Congo wana kila aina ya madini ambayo kama wangekuwa makini na kuungana kama Taifa moja wangekuwa ni tishio kiuchumi na kijeshi hapa Africa hakuna mtu angeweza kuwasogelea, kumbukeni madini ya mabomu ya Nuclear yaliyodondoshwa kule japan , Historia inaeleza kuwa madini muhimu yaliyofanikisha kutengeneza yele mabomu yalichimbwa hapo hapo Congo yaani Congo wana kila aina ya silaha wamezikalia Ardhini
Wacongo ni kama wana laana ambayo haiwezi kuisha kamwe, Congo ingewekeza vizuri kwenye Jeshi la Tecnolojia ,Nchi kama Rwanda ambayo ni sawa na ka mkoa mmoja wa Tz ingepewa onyo moja tu la kuangamizwa kama wakiendelea kuleta masihara, Yaani Rwanda asingesubutu kusogea pale, ila Congo ni kama walishachelewa kuwekeza kwenye jeshi la kisasa
Na wacongo wenyewe kupigana wenyewe kwa wenyewe ndio kunawaponza hadi adui inaingia kwnye Ardhi yao anabeba madini wao wapo tu, naona Raisi wao wa sasa ndio kashtuka ndio maana kagame hana amani kwa sasa
Mkitaka kujua Kagame sio tishio kama anavyosifiwa hapa kumbukeni namna Jk alivyokuwa anampelekea moto hadi wakawa hawaivi, pamoja na kupelekewa moto watu wake wa m23 ila Kg hakuthubutu kuingiza pua kwenye Ardhi ya Tz
Congo ina madini ya kuunda silaha za kutisha wameyakalia ardhini , wacongo wengi wanapaka mikorogo na kufuga miili ila linapokuja swala la kuilinda nchi yao ni waoga