Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Habari JF siasa.
Rais wa Congo DRC Felix Tshekedi aliye ziarani nchini Kenya ametumia fursa hiyo kuomba kujumuishwa taifa lake ktk jumuiya ya Africa mashariki inayozidi kupanuka kwa kasi.
Alitoa ombi hilo ktk ikulu ya Nairobi ktk dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais mwenyeji Uhuru Kenyatta.
Alidai Congo DRC inahitaji kujumuishwa ktk ushirikiano huu kuliko kipindi chochote ktk historia ya taifa hilo kubwa barani Africa lenye raslimali nyingi.
Ombi la Congo DRC linakuja ktk kipindi kifupi baada ya Somalia nayo kuwasilisha ombi kama hili.
Source: BBC
Rais wa Congo DRC Felix Tshekedi aliye ziarani nchini Kenya ametumia fursa hiyo kuomba kujumuishwa taifa lake ktk jumuiya ya Africa mashariki inayozidi kupanuka kwa kasi.
Alitoa ombi hilo ktk ikulu ya Nairobi ktk dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Rais mwenyeji Uhuru Kenyatta.
Alidai Congo DRC inahitaji kujumuishwa ktk ushirikiano huu kuliko kipindi chochote ktk historia ya taifa hilo kubwa barani Africa lenye raslimali nyingi.
Ombi la Congo DRC linakuja ktk kipindi kifupi baada ya Somalia nayo kuwasilisha ombi kama hili.
Source: BBC