Na hilo ndio lengo,kuwa na Afrika moja.Hivi hii jumuia haizingatii geographical location? Maana kesho tusije sikia libya nae kajiunga eac!!!
Na hilo ndio lengo,kuwa na Afrika moja.Hivi hii jumuia haizingatii geographical location? Maana kesho tusije sikia libya nae kajiunga eac!!!
Tshekedi bado hatujauona udikteta wakeKuikaribisha DR Congo ni Sawa na kumkaribisha Ngamia kwenye Hema, hii Jumuiya ya Africa mashariki mpka sasa inataka kua kimbilio la Madictator.
Sent using Jamii Forums mobile app
aaaaaaahhhhhaaaahhhh, uuuuuuuuuuiiiiiiii mbavu zangu mie!hivi Zanzibar nao wanaruhusiwa Kujiunga?