kuna uwezekano wale wa airtel yatosha wakakutwa wamebadilishiwa course ktk afficial results za TCU kwani kuna vyuo vitawatema,mfano kuna jamaa alipata III.15pnts kupitia airtel yatosha kakuta amepangiwa UDSM,Mechanical engnearing.Maybe UDSM kwa sasa but kuna kitu ka hicho cha kubadilishiwa course,so wale wa yatosha..........!!!!!!!!!!!!!tetesi