Confirmed - Serikali kununua Mashangingi zaidi ya 100

Superman

JF-Expert Member
Mar 31, 2007
5,695
1,696
The Guardian, Friday January 9, 2009

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT MINISTERIAL TENDER BOARD

TENDER NO. ME/0l5/2008-2009/HQ/G/13 FOR THE SUPPLY OF MOTOR VEHICLES.

Using Framework Contract

Invitation for Tenders

1. The Government of Tanzania has set aside funds for the operation of Central and Local Governments during the financial year 2008/2009. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under the contract for the supply of Motor Vehicles.

2. The Ministerial Tender Board now invites sealed tenders from eligible Suppliers of the mentioned vehicles below:

LOT
Number Item No.Description Unit Quantity
1 I Executive Station, 4WD Wagon PCS 35
2 I Station Wagon, 4WD Automatic PCS 12
3 I Station Wagon, Manual, 4WD PCS 101
4 I Hardtop (3doors),4 WD PCS 47
I Hardtop (5doors), 4WD PCS 20
5 I I Pickup Double Cabin, 4WD PCS 32
Ii Pickup Single Cabin, 4WD PCS 2
I Motor Cycles, 125cc PCS 35
Ii Motor Cycles, 200 cc PCS 50
6 Iii Motor Cycle side car Ambulance PCS 20
IV Three Wheelers Motor Cycles PCS 10
V Motor Cycles (110 cc) PCS 15
7 I Mini Station Wagon, 4WD PCS 30
8 I Bus 65 Seats PCS 1

All tenders in one original plus two copies, properly filed in, and enclosed in plain envelopes must be delivered to the address below at or before 10:00 hours local time on Tuesday, 24th February, 2009Tenders will be opened promptly thereafter in public and in the presence of Tenderers’ representatives who choose to attend in the opening at the Conference room of the Ministry of Infrastructure Development, Tancot House, 3 Floor, Pamba road of Dar es salaam and shall be marked “TENDER NO. MEIOI5/2008-209/HQIG/13 FOR SUPPLY OF MOTOR VEHICLES TO BE OPENED UNTIL Tuesday, 24t February, 2009.

Aeeee mama weeeeee ingekuwa wewe ungefanyaje . . . Aee mama weee ingekuwa wewe ungefanyaje . . . ?

Habari ndo hiyo . . . Mizengo Pinda upo hapo?
 
Pia kuna habari kwamba kuna Magari manne aina ya Benzi yako pale Uwanja wa Ndege wa Dar, yametoka Lubya kwa ajili ya IKULU. Mwenye ziada ya habari atujuze, yamekuja na ndege na kwanini yamechelewa kutolewa pale Cargo?
 
Pia kuna habari kwamba kuna Magari manne aina ya Benzi yako pale Uwanja wa Ndege wa Dar, yametoka Lubya kwa ajili ya IKULU. Mwenye ziada ya habari atujuze, yamekuja na ndege na kwanini yamechelewa kutolewa pale Cargo?

Halisi Mkuu;

Kweli Nchi hii hakuna Kiongozi mwenye Uchungu.

- Muungwana wakati anaingia madarakani siliamali alichakarika akmwachia Gulf na Merc Benzi Limosine Mpya, leo Muungwana kabadili anatumia BMW.

- Sasa kama kuna Merc Benz tena Airport ni za nani?

- Na huyu naye Mizengwe Iliyopinda katupa matumaini kuwa Serikali sasa itakuwa inanunua Matrekta na hakuna kibali cha Magari bila yeye. Hii Mishangingi Executive Cars za nini sasa? Watendaji wengi kwa sasa wana magari yao na ni mazuri tu . .

Hivi ni nani hasa atatuokoa?

Au tubinafsishe Uongozi wa Nchi pia? Watu wazima tunakuwa kama hatufikiri.
 
Kama kampeni za ubunge Mbeya vijijini zinagharimu million 150 (hizi ni zilizotajwa na chama kimoja, yawezekana mamilioni zaidi yatatumika), billion 2 kwa mgombea mmoja tu wa UWT, na messup kibao kama hizo za kununua magari ya bei juu yasiyohitajika, bado Mnaimani kuwa kuna kiongozi ana huruma na wadanganyika tena? Hakuna hata mmoja!! Baadhi ya viongozi wanaingia madarakani wakiwa wasafi, wanapambana, wanashindwa, wanaamua kujiunga (if they cant fight, they join them) na kuwa mafisadi vilevile. Itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na hali hii. Mind you, gari la milioni sitini, linatumiwa na mtu mmoja ama wawili tu. Je kama wangelinunua trector moja lingehudumia wakulima wangapi??
 
Hawa wanaotumia pesa za walipa kodi kununulia magari ya kifahari yenye bei mbaya ambayo hatuyahitaji na wakati huo huo Wanafunzi chungu nzima wa shule za msingi waliopasi wamekosa nafasi ya kuendelea eti kwa kuwa hakuna madarasa, mahospitali yetu hayana madawa, vifaa muhimu na vitanda nao ni MAFISADI wa aina yake, inabidi nao tupambane nao.
 
Bora walivyotoa tenda hadharani, unaonaje kama yangenunuliwa kinyamela tu? Ingeitwaje? ufisadi dabodabo ama..?

Hapana shaka Wizara hiyo inashida kubwa na vyombo vya usafiri, ukichukulia ni wizara ya Miundombinu, sidhani kama wanapaswa kuikagua Tz yote kwa baiskeli ama ST 11
 
....juzi tuu pinda kaja na story zake kuhusu huu ufisadi lakini cha ajabu wanafanya yale yale,hawa watu hawako serious kwa chochote,nchi haina umeme,wanafunzi wamefukuzwa kwa ajiri ya sababu ya pesa,barabara ni foleni kwa kwenda mbele,bandarini kumejaa mizigo kwa sababu ya uzembe mpaka nchi nyingine wanahamishia biashara zao mombasa ingawaje ina cost zaidi lakini wanaona bora kulipa zaidi ya ile karaha ya pale Dar...shirika la ndege wamekula mpaka wameliua..etc.
 
....juzi tuu pinda kaja na story zake kuhusu huu ufisadi lakini cha ajabu wanafanya yale yale,hawa watu hawako serious kwa chochote,nchi haina umeme,wanafunzi wamefukuzwa kwa ajiri ya sababu ya pesa,barabara ni foleni kwa kwenda mbele,bandarini kumejaa mizigo kwa sababu ya uzembe mpaka nchi nyingine wanahamishia biashara zao mombasa ingawaje ina cost zaidi lakini wanaona bora kulipa zaidi ya ile karaha ya pale Dar...shirika la ndege wamekula mpaka wameliua..etc.

That reflects how the "wapiga kura wasivyooogopwa wala kujaliwa!!"
 
Bora walivyotoa tenda hadharani, unaonaje kama yangenunuliwa kinyamela tu? Ingeitwaje? ufisadi dabodabo ama..?

Hapana shaka Wizara hiyo inashida kubwa na vyombo vya usafiri, ukichukulia ni wizara ya Miundombinu, sidhani kama wanapaswa kuikagua Tz yote kwa baiskeli ama ST 11

Hoja yako kuhusiana na uwazi sawa kabisa Kibunango, lakini huoni kuwa hiyo balance ingelikuwa bora zaidi kama katika hiyo tenda 'Bus 65 Seats' zingelikuwa kama 3 au nne hivi ili kufyeka ukubwa wa FWD zilizo nyingi huko juu yake? Vi-min bus vingelifaa tu zaidi kwa ajili ya kubeba wafanyakazi zaidi ya 10 at a go na kupunguza magari yanayobeba watu 4 pekee kwa mpigo..
 
Upuuzi mtupu hivi nyie mnaopinga mnataka serikali isinunue magari mnataka wananchi tuhudumiwe vipi.Yakweli mnayosema au basi furaha yenu kutoa lawama.mbona hamjaeleza seriakali inunue magari yapi yaliyo rahisi kwa matumizi ya maafisa wa kiwango kipi.au hamjawahi kufanya kazi za kuzunguka kutoa huduma kwa watu hata ikiwa ni ya biashara katika kampuni binafsi.
 
Bora walivyotoa tenda hadharani, unaonaje kama yangenunuliwa kinyamela tu? Ingeitwaje? ufisadi dabodabo ama..?

Hapana shaka Wizara hiyo inashida kubwa na vyombo vya usafiri, ukichukulia ni wizara ya Miundombinu, sidhani kama wanapaswa kuikagua Tz yote kwa baiskeli ama ST 11
Bwana asifiwe mkuu,tatizo sio kutangazwa kwa tenda tatizo liko kwenye kinachotangaziwa tenda...serikali yetu na sisi ni maskini wa kutupwa haman haya ya ku spend mil 100 kwa gari moja la kifahari tena FWD lenye kubeba watu 6 mjini dar es salaam...
 
Number Item No.Description Unit Quantity
1 I Executive Station, 4WD Wagon PCS 35

2 I Station Wagon, 4WD Automatic PCS 12

3 I Station Wagon, Manual, 4WD PCS 101

4 I Hardtop (3doors),4 WD PCS 47

I Hardtop (5doors), 4WD PCS 20

5 I I Pickup Double Cabin, 4WD PCS 32

Ii Pickup Single Cabin, 4WD PCS 2

I Motor Cycles, 125cc PCS 35

Ii Motor Cycles, 200 cc PCS 50

6 Iii Motor Cycle side car Ambulance PCS 20

IV Three Wheelers Motor Cycles PCS 10

V Motor Cycles (110 cc) PCS 15

7 I Mini Station Wagon, 4WD PCS 30

8 I Bus 65 Seats PCS 1
Jumla wizara hiyo itahitaji vyombo 410


....lakini huoni kuwa hiyo balance ingelikuwa bora zaidi kama katika hiyo tenda 'Bus 65 Seats' zingelikuwa kama 3 au nne hivi ili kufyeka ukubwa wa FWD zilizo nyingi huko juu yake? Vi-min bus vingelifaa tu zaidi kwa ajili ya kubeba wafanyakazi zaidi ya 10 at a go na kupunguza magari yanayobeba watu 4 pekee kwa mpigo..

Wazo lako ni zuri sana katika suala zima la utunzaji wa mazingira na kupunguza gharama za ununuzi pamoja na uendeshaji. Aidha sina hakika kama hizo 4WD zote zitatumika hapo DSM, kama zitatumika hapo basi hapana haja ya kuwa nazo katika wingi kama huo na ni bora kuwa na mabasi kama ulivyoshauri.

Tz bara ina zaidi ya mikoa 20, na kila mkoa una Resident Engineer/Director ama cheo cha juu katika kuwakilishwa wizara hiyo, hapana shaka zitatumwa huko. Then kuna wasaidizi, kuna watu wa maabara, kuna watu wa research, kuna wahasibu...Kwa hulka ya Bongo hawa lazima watagawiwa katika mafungu na kukabidhiwa 4WD... Kuna kundi la mafundi, wakaguzi n.k hawa wote wanahitaji usafari... naona kuna pikipiki pale, hapana shaka ni kwa kundi hili.

Katika yote ununuzi wa Motor Cycle side car Ambulance bado sijahufahamu vizuri wanakusudia kuzitumia kwa shughuli gani?
 
Jumla wizara hiyo itahitaji vyombo 410




Wazo lako ni zuri sana katika suala zima la utunzaji wa mazingira na kupunguza gharama za ununuzi pamoja na uendeshaji. Aidha sina hakika kama hizo 4WD zote zitatumika hapo DSM, kama zitatumika hapo basi hapana haja ya kuwa nazo katika wingi kama huo na ni bora kuwa na mabasi kama ulivyoshauri.

Tz bara ina zaidi ya mikoa 20, na kila mkoa una Resident Engineer/Director ama cheo cha juu katika kuwakilishwa wizara hiyo, hapana shaka zitatumwa huko. Then kuna wasaidizi, kuna watu wa maabara, kuna watu wa research, kuna wahasibu...Kwa hulka ya Bongo hawa lazima watagawiwa katika mafungu na kukabidhiwa 4WD... Kuna kundi la mafundi, wakaguzi n.k hawa wote wanahitaji usafari... naona kuna pikipiki pale, hapana shaka ni kwa kundi hili.

Katika yote ununuzi wa Motor Cycle side car Ambulance bado sijahufahamu vizuri wanakusudia kuzitumia kwa shughuli gani?

Je ni kweli upepo wa Pemba unanukia marashi ya karafuu?
 
1 I Executive Station, 4WD Wagon PCS 35
2 I Station Wagon, 4WD Automatic PCS 12
3 I Station Wagon, Manual, 4WD PCS 101
4 I Hardtop (3doors),4 WD PCS 47
I Hardtop (5doors), 4WD PCS 20
5 I I Pickup Double Cabin, 4WD PCS 32
Ii Pickup Single Cabin, 4WD PCS 2
I Motor Cycles, 125cc PCS 35
Ii Motor Cycles, 200 cc PCS 50
6 Iii Motor Cycle side car Ambulance PCS 20
IV Three Wheelers Motor Cycles PCS 10
V Motor Cycles (110 cc) PCS 15
7 I Mini Station Wagon, 4WD PCS 30
8 I Bus 65 Seats PCS 1

Lazima niseme naona sasa tumechanganyikiwa, tunajadili vitu ambavyo hatuna details navyo, hatuna information za kutosha kuweza kuchallenge... yet inaonyesha sisi twajua kuliko wenzetu walioko serikali... this is simply bullshit.

Nikilazimika kuungana kiimla na wachangiaji wengi, bado ni line ya kwanza tu ndio ambayo nawezak kuwaelewa... hizo gari zingine zote ni za kawaida sana kwa ajili ya kupeleka huduma vijijini na mawawilayani...

Pia kumbukeni kwamba wizara ya miundo mbinu ndio inamiliki magari ya serikali kwa hiyo sio lazima magari hayo yawe ya kwao ndio maana ya line hii ambayo niko sure ni kwa ajili ya wizara ya afya.
6 Iii Motor Cycle side car Ambulance PCS 20

Ukiwa mchambuzi mzuri unastahili kujua kwamba gari zinanuliwa kwa ajili gani then ndio useme kwani nini?

Gari zingine zinakuja ku-replace gari chakavu ambazo huenda ni expensive kuzi-maintain....

Wenzangu na mimi hapa mnadhani kila kitu hapa ni idadi ya magari ya serikali yanaongezeka...

Tuwe objective kidogo kwa ajili ya taifa letu.
 
Haya mambo ya kutangaza tender ni uizi kwanini wasiwasiliane na kampuni moja kwa moja????????? Ufisadi ndiyo huu
 
Ishieni huko mkifika kuichunguza na eeeewwuuuuraaaaaa

mtakoma na nchi yetu!!!
 
Kwenye hio list mi naona hio item no.1 tu ndio "mashangingi".... Hayo mengine yote ni magari ya kazi.

Hayo mashangingi 35 ndio ya kutolewa na kuyabadili na hardtops. Nchi yetu kubwa na haina miundombinu mizuri,... kama tunataka hands on uongozi wa watumishi kufika mpaka vijijini, gharama za vitendea kazi kama 4WDs haziepukiki....kuna barabara huko hata mvua ya masaa mawili tu inatosha kuifanya iwe haipitiki bila 4WDs.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom