Ngoja aje then ile kwako...unadhani majini mahaba wote wa kike....wengine wako kotekote....lol
Hahahaha, usinambie nimesha muota... mbona sikumbuki kabisa?
Halafu wewe ulinisikia vipi wakati chumba chako kipo mbali vile?
Usikute hua unajuja kunichungulia usiku wewe... lol