Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
lema mbunge tayari katangazwa source radio one
Sawa kabisaaaaaaaaMr. lema amepata kura elfu 50+ wakati mama Burian amepata elfu 30+. Nimeshindwa kuandika idadi kamili kwani alikuwa anasoma haraka hraka mno
WTF.....1billion kweli ccm watu wabaya....asante ndesa na mbowe kwa kuwepo pale na hakika hiyo ilikua hela ndefu sanaa kukataa!kama si kuwepo kwa ndesamburo pale ndani, ccm ikiongozwa na EL walikuwa wanamshawishi lema achukue billoni moja- pesa ya kitanzania, wao wachakachue matokeo watakavyo. hii ndiyo ccm wanataka itumia kule mwanza pia. so chadema na wapinzani wengine tuwe karibu na wagombea , na mawakala wetu kwani wanaweza kpitiwa na nguvu ya shetani CCM. shetani huyu anaweza kushawishi kama imani yako ni haba.
Lema tayari mbunge, ndo tunashangilia ushindi hapa.
Kura:
CHADEMA: 56,000+
CCM: 36,000+
Peopleeeeeeeeeeeeee's Power.
Huyu kwangu ndo reliable source!Ametangazwa dakika si nyingi.
Source: Star Tv