Mmh hii ndio Tanzania zaidi ya tuijuavyo kwa kweli!
Wanasiasa wetu majukwaani wakisimama wanasema wao pia wako nasi kwamba hawataki hii pesa ilipwe, confidentially CAG anasema serikali imekubali kulipa kupitia TANESCO issue pekee ni how to book it (vitabu vya tanesco or government) basi lakini kulipwa inalipwa, huku kama si kutuona wanasesere ni kitu gani? Wametuacha tuko busy tunamjadili Babu wa Loliondo wao nao wako busy kuangalia ni vp watalipa as soon as possible.
Mimi sina la kusema zaidi ya kumwomba Mungu ambaye ni mweza wa wote aingilie kati kwenye hili kwa kuwaadhibu wote wanaotaka kuwaibia watanzania maskini.