Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
- Thread starter
- #21
Ficha ujinga wako mkuu, kwani thread hukuiona ikiwa na full proof yenye picha kuanzia kukodi trekta, kulima shamba, n.k....curiosity kills the cat, hapo nakuona umerudisha mpira umetumia mda huu kuandika comment umekuta dogo kaenda spidi kakumalizia ugali umeanza kumlamba makofi, 😂 😂 😂 😂'umeshasau ule Uzi wa Ontario alioenda kukodisha tractor huko manyara kwa 1M akaenda kulitumia kulimia watu huko pwani anapiga kama 30M'.
Na ukaamini sio?Kwa kweli nimekuona bonge la fala kwa mfano huo uliotoa,samahani lkn.
dodge