Confession: Mtanzania kusomea au kuishi Kenya na kurudi Tanzania ni big step

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Kila nachoandika hapa ni real life sio stori, hawa wenzetu hapo wana nusu ya rasilimali tulizonazo wameweza kuwa Mara mbili aisee, truth pains. Nachoweza kusema akili inapanuka kwa haraka ukiwa na shida kama walizonazo hawa wakenya, not to brug but even Israel has a small area and most of it was a desert ila cheki sasa walipo. Hata mbegu ya mkenya ilikua inaiongoza marekani kabla ya trump

Mzee wangu ni mtu wa tarime huko karibu kabisa na Kenya, kufikia mpakani kwa Kenya ni kama nusu SAA tu kwa kutembea vichochoro vya misitu, basi enzi hizo shule kwa Tanzania hapo alipoishi mzee ilikuwa mbali sana ikabidi awe anasomea kenya, alipata kujua kiingereza akiwa shule ya msingi na kukiongea fluently na masomo mengine kama hesabu alipata walimu wazuri na vitabu pia, akaja kwenda Fanya mtihani wa taifa huku tz akapita vizuri kabisa na kuchaguliwa peke yake katika shule aliyofanyia mtihani kwenda sekondari, From there onwards akasomea tz, akaajiriwa engineer,

Elimu ya msingi ya darasani na nje ya darasa aliyoipata akiwa kenya ilichangia huku awe sharp na kiingereza kumbeba sana kazini, baada ya mda akapewa umeneja maana shirika alilofanyia kazi lina vituo huko nchi zingine ambazo viongozi wali recommeand awe meneja kwa sababu ya urahisi wa mazungumzo na yupo sharp. Kwenye elimu ya nje ya darasa naona mzee ana anajua Kuinfluence watu kwa kiasi, Sijisifii ila mzee ana marafiki aisee!!! wale wanaomtafuta sana yeye kuliko anavyowatafuta, anapigiwa sana simu na kuombwa ushauri ama kamapani na viongozi wa juu kayika mkoa anaoishi, nimeshuhudia akiombwa kusuluhishi ndoa za wazito kibao tu,

Mwegine ni Huyu kijana anaitwa ontario, kijana akiwa na 23 alikuwa tayari na 100,000 USD, alisomea huko Kenya elimu ya msingi nadhani na sekondari akaja kumalizia huku sekondari, ni kijana mdogo sana ola mambo anayofanya si kitoto, kafanya mengi ola kubwa alilofanya ni kuleta mwamko Tanzania wa kyijua biashara ya forex, nakumbuka enzi hizo anaenda mkoa hadi mkoa kufundisha forex kwa siku 3 watu wanakua kama 250 ukumbini na kila mtu kulipia laki 2, na hapo walitaka waanze trading dogo anahamasisha wanafunzi wa trade kwa broker wake ambako alikua na gawio kidogo kwa kila kichwa, sadly wengi wakaanza mzushia ni tapeli, mwizi na bla bla kibao, the kid is smart, kamcheki huko insta sirjeff Dennis,

So that is my confession and I hope its not an abomination to my fellow Tanzanians, Nadhani huko Kenya kinatanua akili kidogo hata kiingereza kinakuongezea points huku tz ambako nibkawaida kukuta hata ministers wa educatoon hawakijui vizuri, No bad feelings guys.
 
Hii chai bila maandazi matatu hainogi.
10901700_1028403210248299img20190912175015jpegf1305e29883bccff9b451cc694d280c4jpeg94c5b67fef1...jpeg


dodge
 
Chai gani mkuu, first of all mi mtanzania mzalendo kabisa ila penye ukweli sinaga time kabisa kuupindisha, na huyo wa pili je kijana mdogo kabisa yupo hata gazeti la Forbes kabla hata hakuingia 25 ni chai??
Mbona Ontario yupo Kwenye Forbes tangia ana 21
 
Hahahah Mpwa sio thread ya Ku attack hii, toa mchango usioleta maumivu kwa upande wa huku

It is sad but wanafanya hivi may be for a reason, mzee Wangu alikataa kata kata nisome government schools za tz, huko alikonipeleka ni English medium walimu karibu wote ni Zambians and Malawi, He really emphasized on me getting a slightly decent school where I can at least learn English, 2002 alifunga dstv home tuwe tunacheki cartoons kwa lengo mahsusi la Mimi na mdogo tujifunze zaidi kiingereza
 
Mbona Ontario yupo Kwenye Forbes tangia ana 21
Wow, such an accomplishment, nadhani alipoenda kusoma huko Kenya kwa muda mrefu akaona jinsi watu wasio na resources huko Kenya wanavyopambana akaja huku tz nchi imejaa resources kwake ikawa mtelezo nakumbuka dwtv walimfanyia interview akiwa na shamba kubwa sana na akawa na advantage kwenye interview ya kiingereza alichojifunzia Kenya
 
Kwenye kujifunza hiyo "English" walisahau kukufundisha punctuation.
It is sad but wanafanya hivi may be for a reason, mzee Wangu alikataa kata kata nisome government schools za tz, huko alikonipeleka ni English medium walimu karibu wote ni Zambians and Malawi, He really emphasized on me getting a slightly decent school where I can at least learn English,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wow, such an accomplishment, nadhani alipoenda kusoma huko Kenya kwa muda mrefu akaona jinsi watu wasio na resources huko Kenya wanavyopambana akaja huku tz nchi imejaa resources kwake ikawa mtelezo nakumbuka dwtv walimfanyia interview akiwa na shamba kubwa sana na akawa na advantage kwenye interview ya kiingereza alichojifunzia Kenya
Makenya bana...
 
Nadhani ni zilipendwa hizo na za mid 90s mabasi ya shule za Kenya kujaa wanafunzi kutoka Tanzania pale Namanga,Mama Rwakatare akaona isiwe taabu ikaja St Mary's na kuwaleta walimu wa Kenya mdogomdogo huo ushamba wa English ukaanza kupotea.
 
Nadhani ni zilipendwa hizo na za mid 90s mabasi ya shule za Kenya kujaa wanafunzi kutoka Tanzania pale Namanga,Mama Rwakatare akaona isiwe taabu ikaja St Mary's na kuwaleta walimu wa Kenya mdogomdogo huo ushamba wa English ukaanza kupotea.
English kwa tz bado ni tatizo sana mkuu na sababu kuu ni kwamba Jamii inaongea kiswahili, darasani huko ni kiswahili kwa sana na English kidogo, wanafunzi wakitoka class ni kiswahili mpango nzima, nimesoma shule hizo the likes of st Marys wanafunzi wanagonga A ya English kama hawana akili nzuri ila sasa ile english ya kuongea ni F, mfano mzuri nadhani ni hapo juzi tu kile kiingereza cha waziri wetu wa elimu, no doubt alikuwa top 10 ya mtihani wa taifa na kupiga A ya English lakini ulimwelewa kile kiingereza cha kuongea???, Jamii ikiongea kiingereza hata kwa kuchanganya na kiswahili utakelewa tu, samata alikuwa hajui kiingereza ila umeona alipoenda huko Belgium alikokuwa akilazimika kuongeza English, yai saizi linatema nenda kacheki interview yake ya Aston villa
 
Kila nachoandika hapa ni real life sio stori, hawa wenzetu hapo wana nusu ya rasilimali tulizonazo wameweza kuwa Mara mbili aisee, truth pains. Nachoweza kusema akili inapanuka kwa haraka ukiwa na shida kama walizonazo hawa wakenya, not to brug but even Israel has a small area and most of it was a desert ila cheki sasa walipo.

Mzee wangu ni mtu wa tarime huko karibu kabisa na Kenya, kufikia mpakani kwa Kenya ni kama nusu SAA tu kwa kutembea vichochoro vya misitu, basi enzi hizo shule kwa Tanzania hapo kwa mzee ulikuwa mbali sana ikabidi awe anasomea kenya, alipata kujua kiingereza akiwa shule ya msingi na kukiongea fluently, akaja kwenda Fanya mtihani wa taifa huku tz akapita vizuri kabisa na kuchaguliwa sekondari, From there onwards akasomea tz ila kwa msingi alioupata akiwa anasema Kenya alikuwa smart flani ivi na kiingereza kinatembea, akaajiriwa engineer shirika flani ivi la serikali ya Tanzania na nchi nyingine, basi kwa jinsi alivyo sharp na kiingereza kumbeba akikikutana na maboss wa nchi x akapewa umeneja, mambo nyumba ni yakawa fresh tu, hadi Leo ana picha zake alipokua huko na huwa anakiri kule ndo kulimfungua kichwa. Also ni mtu anajua Ku influence flani watu, kazi alikua nayo ya sio ya juu kivile ila alikuwa ni mtu wa kutafutwa, kupigiwa sana simu na kuombwa ushauri na mkuu wa mkoa alipoishi, regional police commissioner , DC, n.k no matter viongozi wanabadilishwa kiasi gani this has not changed till now, pia huwa anaombwa kua mcer kwenye harusi (a bit talkative)

Mwengine ni Huyu kijana anaitwa ontario, kijana akiwa na 23 alikuwa tayari na 100,000 USD, alisomea huko Kenya elimu ya msingi nadhani na sekondari akaja kumalizia huku sekondari, ni kijana mdogo sana ola mambo anayofanya si kitoto, kafanya mengi ola kubwa alilofanya ni kuleta mwamko Tanzania wa kyijua biashara ya forex, nakumbuka enzi hizo anaenda mkoa hadi mkoa kufundisha forex kwa siku 3 watu wanakua kama 250 ukumbini na kila mtu kulipia laki 2, na hapo walitaka waanze trading dogo anahamasisha wanafunzi wa trade kwa broker wake ambako alikua na gawio kidogo kwa kila kichwa, sadly wengi wakaanza mzushia ni tapeli, mwizi na bla bla kibao, the kid is smart, kamcheki huko insta sirjeff Dennis,

So that is my confession and I hope its not an abomination to my fellow Tanzanians, Nadhani huko Kenya kinatanua akili kidogo hata kiingereza kinakuongezea points huku tz ambako nibkawaida kukuta hata ministers wa educatoon hawakijui vizuri, No bad feelings guys.
absolutely rubbish,nadhani umeishavuta bangi za Taaarime
 
absolutely rubbish,nadhani umeishavuta bangi za Taaarime
Where is the rubishness, u r startin in to sound like a wastrel innit, I just mean look at the reality friend, Vitabu tunavyotumia vingi vinatoka kenya huko, au umewasahau kina Mr kamau kwenye Vitabu vya creative writing na hesabu, sasa just imagine ukisomea Kenya huko ambao wametumga hivo Vitabu, tutakua sawa????
 
Uliona bank statement ya huyo ontario ambayo ina hizo fedha au umejiropokea tu!!

Halafu hivi elimu ni kujua kuongea vizuri kiingereza au vipi??..vipi wakorea,wachina??
I think we ni moja wa waliolipia semina zile za laki 2 kwa Ontario ukalalamika umepewa notes za kiingereza mkaanza kumwita tapeli, u can be more than that mate, umeshasau ule Uzi wa Ontario alioenda kukodisha tractor huko manyara kwa 1M akaenda kulitumia kulimia watu huko pwani anapiga kama 30M, The guy was like 20 by that time, damn!! a pair of steel balls, huko Forbes kutajwa ni zaidi ya kumiliki two pairs of balls kama unavyodhani

Back to the Chinese and Koreans as usual to defend that broken English which most Tz leaders mess up with it in interviews, Hao wachina na wakorea wanatumia lugha zao primary mpaka PhD, sio ajabu kumkuta mchina ana PhD hajui kiingereza, Huku Tz it is just way to weird, it just can't add up umefundishwa masomo kwa kiingereza up to PhD za vyuo vya london ila kiingereza unaongea broken,
 
I think we ni moja wa waliolipia semina zile za laki 2 kwa Ontario ukalalamika umepewa notes za kiingereza mkaanza kumwita tapeli, u can be more than that mate, umeshasau ule Uzi wa Ontario alioenda kukodisha tractor huko manyara kwa 1M akaenda kulitumia kulimia watu huko pwani anapiga kama 30M, The guy was like 20 by that time, damn!! a pair of steel balls, huko Forbes kutajwa ni zaidi ya kumiliki two pairs of balls kama unavyodhani
'umeshasau ule Uzi wa Ontario alioenda kukodisha tractor huko manyara kwa 1M akaenda kulitumia kulimia watu huko pwani anapiga kama 30M'.

Na ukaamini sio?Kwa kweli nimekuona bonge la fala kwa mfano huo uliotoa,samahani lkn.

dodge
 
I think we ni moja wa waliolipia semina zile za laki 2 kwa Ontario ukalalamika umepewa notes za kiingereza mkaanza kumwita tapeli, u can be more than that mate, umeshasau ule Uzi wa Ontario alioenda kukodisha tractor huko manyara kwa 1M akaenda kulitumia kulimia watu huko pwani anapiga kama 30M, The guy was like 20 by that time, damn!! a pair of steel balls, huko Forbes kutajwa ni zaidi ya kumiliki two pairs of balls kama unavyodhani
Acha kuwa kama wadada wa kiswahili wavaa madela..

Huyo ontario simjui zaidi ya kumsoma hapa JF..na hizo issue za kukodi tractor,sijui kutengeneza 30m baki nazo wewe,usiniambie mimi..kuna vijana pia wengi tu wamesoma hapahapa bongo na wamefanya mambo makubwa bila ya kutaka kutumia njia ya kubrainwash watu.
 
Back
Top Bottom