Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
HUU NI UWONGO MKUBWA KABISA, TATIZO NI WANAUME
TATIZO NI WANAUME NA SI WANAWAKE.
Kwa nini wanaume wengi wanaamini huu uwongo nab ado hawataki kuelewa.
1. Hofu ya kutokuwa na sauti katika familia kitu ambacho si kweli kwani wanawake waliosoma ni wepesi kumwelewa mtu na kuishi naye kama alivyo.
2. Hawataki kuelewa umuhimu wa mwanamke aliye soma na kama ukiona ndoa inatatizo kwa sababu ya elimu YA MWANAMKE basio ujue mwanaume ndio chanzo cha tatizo kwani mwanaume wa kweli anatakiwa ajue namna ya kuwa kuongoza familia yake katika mazingira yote wakati kila mmoja akifurahia uwepo wake kama baba wa familia.
3. Ni kitu kipya machoni pa wanaume wengi kwani walilizoea kuwa juu katika kila kitu, lakini sasa dunia imebadilika na WAnatakiwa KubadilikA ama sivyo wengi tutapoteza vitu vingi vya uwakilsihi BUNGENI.
4. Wanaume wengi ni waoga mbele ya mwanamke aliye mzidi iwe elimu, pesa, akili darasani (ni mara chache mwanaume kumwuliza msichana amsaidie swali kama hajui), umri etc. na iii imeza inferiority complex.
5. Wanaume wengi si wazuri kwenye mambo ya ndoa hasa katika kujenga mahusiano ambayo yanaweka uhuru, usawa na umoja katika familia. Mawasiliano ndoo kabisa labda wakati wa uchumba. Kupenda sijafuatilia ila inasemekana wanaume hatupendi kwa moyo tunapenda kwa macho ndoo maana kumchoka mke ni rahisi kuliko mke kumchoka mume. Kipo wanacho kijua zaidi sitakitaja hapa.
6. Mitazamo hasi ya wanaume juu ya wanawake.
7. …..
8.......
TATIZO NI WANAUME NA SI WANAWAKE.
Kwa nini wanaume wengi wanaamini huu uwongo nab ado hawataki kuelewa.
1. Hofu ya kutokuwa na sauti katika familia kitu ambacho si kweli kwani wanawake waliosoma ni wepesi kumwelewa mtu na kuishi naye kama alivyo.
2. Hawataki kuelewa umuhimu wa mwanamke aliye soma na kama ukiona ndoa inatatizo kwa sababu ya elimu YA MWANAMKE basio ujue mwanaume ndio chanzo cha tatizo kwani mwanaume wa kweli anatakiwa ajue namna ya kuwa kuongoza familia yake katika mazingira yote wakati kila mmoja akifurahia uwepo wake kama baba wa familia.
3. Ni kitu kipya machoni pa wanaume wengi kwani walilizoea kuwa juu katika kila kitu, lakini sasa dunia imebadilika na WAnatakiwa KubadilikA ama sivyo wengi tutapoteza vitu vingi vya uwakilsihi BUNGENI.
4. Wanaume wengi ni waoga mbele ya mwanamke aliye mzidi iwe elimu, pesa, akili darasani (ni mara chache mwanaume kumwuliza msichana amsaidie swali kama hajui), umri etc. na iii imeza inferiority complex.
5. Wanaume wengi si wazuri kwenye mambo ya ndoa hasa katika kujenga mahusiano ambayo yanaweka uhuru, usawa na umoja katika familia. Mawasiliano ndoo kabisa labda wakati wa uchumba. Kupenda sijafuatilia ila inasemekana wanaume hatupendi kwa moyo tunapenda kwa macho ndoo maana kumchoka mke ni rahisi kuliko mke kumchoka mume. Kipo wanacho kijua zaidi sitakitaja hapa.
6. Mitazamo hasi ya wanaume juu ya wanawake.
7. …..
8.......