Conclusion (Wanawake waliosoma ni wasumbufu) ( wanaume ndo tatizo).

Mna tatizo nyie akina mama, dada, wanawake, ukisoma bado unatakiwa umheshimu mumeo. Lakini hamko hivyo naturally huo ndiyo ukweli halisi Divorce rate huongezeka miongoni mwa nyumba za wasomi kwa sababu hiyo. Soma sana lakini assume position yako kama mama wa familia and not otherwise,

Kaka mwanamake aliye soma anastahili yake ya maisha ni sawa ukioa kamwanamke kazungu, unafikiri katavumilia kwenda kila siku sokoni peke yake, katakulazimisha tuu. Halafu usitumie nguvu nyingi kumtawala mwanamke, tumia akili zaidi atajileta mwenyewe.
 
Kaka mwanamake aliye soma anastahili yake ya maisha ni sawa ukioa kamwanamke kazungu, unafikiri katavumilia kwenda kila siku sokoni peke yake, katakulazimisha tuu. Halafu usitumie nguvu nyingi kumtawala mwanamke, tumia akili zaidi atajileta mwenyewe.

Unawatania watu wa Pwani..kule Zenji siyo maana kule wanaume wenda markiti eti!
 
Idadi kubwa ya wanawake waliosoma ni ama hawajaolewa au ndoa zao zimevunjika. Na tatizo kubwa ni kwamba wanajidai wanajua sana haki zao na hivyo wanaanza kutaka wafanye mambo at the same level na waume zao. Na mwanaume atakapotafuta kudumisha nafasi yake ya ukichwa wa nyumba ndipo mambo yanapokwenda kombo. Ukitaka uishi kwa amani na mwanamke msomi wewe uwe Bushoke. Osha vyombo, fua, pika, deki, fagia uwanja nk, hapo bwana hutaona mgogoro. Lakini ukitaka ulete ile habari ya umwanaume, hiyo ndoa haitakaa isimame.
Na usiombe awe amesoma zaidi yako, na ana mshahara mkubwa zaidi yako. Haki ya mama kila siku atakwambia yupo busy na kazi za ofisini, kwa hiyo baba ni jukumu lako kulea watoto na majukumu mengine yote ya nyumbani. Nina mifano kadhaa, na hiyo imenifanya nijikute automatically nawakimbia hao watu.

Sasa kwa maana hiyo tuache kuwasomesha wanawake. Mie nilifikiri wanaume tutafute njia mbadala ya kutatiua tatizo. Kama tusipo waoa hawa wasomi bado tutajenga taifa maskini.
 
Ukinyimwa kufikiri, utaishi kama mtumwa milele. Wanaofikiri wanaweza kuishi kwa kuwatumikisha wenzao ndio wanaoogopa elimu. Mwanaume asiyesoma elimu dunia ni taabu kuliko mwanamke asiyesoma. Mark my words!!!
 
Ukinyimwa kufikiri, utaishi kama mtumwa milele. Wanaofikiri wanaweza kuishi kwa kuwatumikisha wenzao ndio wanaoogopa elimu. Mwanaume asiyesoma elimu dunia ni taabu kuliko mwanamke asiyesoma. Mark my words!!!
. this theory is true. Mwanaume darasa la saba hawezi kuishi na mwanamke graduate, never. lakini kinyume chakeinawezekana,
 
Mi nadhani haya ya kudai DUNIA IMEBADILIKA MWANAUME NAE AOSHE VYOMBO, APIGE DEKI, AKUNE NAZI n.k. lazima vizingatie utamaduni pia. Wewe mtoto wa kike, umekulia ktk utamaduni wa mwafrika, mama yako amekufunda hivyo pia, leo kwa kutumia kisomo chako unamgeuzia kibao mwanaume kwa kudai DUNIA IMEBADILIKA, LAZIMA UKUNE NAZI . . .?? Nigeria sasa hivi wanawake wanalalamika eti wanasoka nyota wanaocheza soka nje ya nchi yao wanaoa wanawake wa nje ya nchi tu, wakat wao wapo wamejaa tele . . . Wanasoka wenyewe wanasema mabinti wengi wa ki-Nigeria ni wavivu wa kazi za ndani ya nyumba, wanataka kuishi kizungu, kazi zao kubwa ni kujipamba na kujiremba, shopping, kwenda out, na kulala tu. Kazi za ndani ni House Gal na House Boy
 
Isitoshe wanawake wengi wanaojitetea hapa, ukiangalia ktk maongezi wanaongea vizuri, lakin ukirudi ktk implementation wanageuka . . . anakwambia waziwazi HAWEZI KUKUNA NAZI KILA SIKU, MIKONO ITATOA SUGU . . . TAFUTA HG
 
Mi nadhani haya ya kudai DUNIA IMEBADILIKA MWANAUME NAE AOSHE VYOMBO, APIGE DEKI, AKUNE NAZI n.k. lazima vizingatie utamaduni pia. Wewe mtoto wa kike, umekulia ktk utamaduni wa mwafrika, mama yako amekufunda hivyo pia, leo kwa kutumia kisomo chako unamgeuzia kibao mwanaume kwa kudai DUNIA IMEBADILIKA, LAZIMA UKUNE NAZI . . .?? Nigeria sasa hivi wanawake wanalalamika eti wanasoka nyota wanaocheza soka nje ya nchi yao wanaoa wanawake wa nje ya nchi tu, wakat wao wapo wamejaa tele . . . Wanasoka wenyewe wanasema mabinti wengi wa ki-Nigeria ni wavivu wa kazi za ndani ya nyumba, wanataka kuishi kizungu, kazi zao kubwa ni kujipamba na kujiremba, shopping, kwenda out, na kulala tu. Kazi za ndani ni House Gal na House Boy

Umesema mambo muhimu sana na nimeyapenda. Mie binafsi naunga mkono hoja zako. Kitu ambacho bado hakijaeleweka hapa , Wanawake wanao dai haki zao hawaja jua ni zipi kwani kuja vitu ambavyo ni tamaduni, na haviwafanyi waonekane wananyanyasika bali ni kitambulisho cha mwanamke wa kiafrica. Hata ukienda ulaya katika familia zilizo starabika, mwanamke anajua wajibu wake na mwanaume vilevile kulingana na tamaduni zao. Lakini tukisema tufuate siasa, hatuta fika.
 
Umesema mambo muhimu sana na nimeyapenda. Mie binafsi naunga mkono hoja zako. Kitu ambacho bado hakijaeleweka hapa , Wanawake wanao dai haki zao hawaja jua ni zipi kwani kuja vitu ambavyo ni tamaduni, na haviwafanyi waonekane wananyanyasika bali ni kitambulisho cha mwanamke wa kiafrica. Hata ukienda ulaya katika familia zilizo starabika, mwanamke anajua wajibu wake na mwanaume vilevile kulingana na tamaduni zao. Lakini tukisema tufuate siasa, hatuta fika.

Nakubaliana na wewe 100% . . . mambo kama kupiga mke, kumfanyisha kazi ngumu, kumtukana, na manyanyaso mengine yoote NDIO HASWAAA ya kupiganiwa WANAUME WAYAACHE, lakin haya ya KUFUA NEPI, KUUNGA MBOGA ni bora tu tukubali, kwa ustaarabu wa mwafrika haviendani kabisa. Mwanaume ndani ya nyumba kazi yake ni kufanya shughuli zote zinazohitaji nguvu au ujasiri kama labda tuseme kupanga makabati, kurekebisha vifaa vya umeme, na hata kufanya usafi mkubwa wa nyumba. Mwanaume anaweza kujitolea kuosha vyombo kwa nia ya kuonyesha kumjali mpenzi wake, na hata mwanamke akimuona mwanaume anaosha vyombo (kwa utamaduni wa wanawake wa kusini mwa Tanzania) inamgusa sana na wakati mwingine anaweza kukosa uvumilivu, akaamka na kwenda kumpokea mwanaume. Mwanamke atasikia raha sana kujionea vitu kama hivyo, hata ndoa ataiona tamuuuuuuuuu
 
Nakubaliana na wewe 100% . . . mambo kama kupiga mke, kumfanyisha kazi ngumu, kumtukana, na manyanyaso mengine yoote NDIO HASWAAA ya kupiganiwa WANAUME WAYAACHE, lakin haya ya KUFUA NEPI, KUUNGA MBOGA ni bora tu tukubali, kwa ustaarabu wa mwafrika haviendani kabisa. Mwanaume ndani ya nyumba kazi yake ni kufanya shughuli zote zinazohitaji nguvu au ujasiri kama labda tuseme kupanga makabati, kurekebisha vifaa vya umeme, na hata kufanya usafi mkubwa wa nyumba. Mwanaume anaweza kujitolea kuosha vyombo kwa nia ya kuonyesha kumjali mpenzi wake, na hata mwanamke akimuona mwanaume anaosha vyombo (kwa utamaduni wa wanawake wa kusini mwa Tanzania) inamgusa sana na wakati mwingine anaweza kukosa uvumilivu, akaamka na kwenda kumpokea mwanaume. Mwanamke atasikia raha sana kujionea vitu kama hivyo, hata ndoa ataiona tamuuuuuuuuu

Naamini hii ndio hitimisho ya huu mjadala. Uliyoyaandika yamemaliza migogoro yote.
 
isitoshe wanawake wengi wanaojitetea hapa, ukiangalia ktk maongezi wanaongea vizuri, lakin ukirudi ktk implementation wanageuka . . . Anakwambia waziwazi hawezi kukuna nazi kila siku, mikono itatoa sugu . . . Tafuta hg

wanajua kukuna nazi ni wajibu wao, ila mwanaume ukimsaidia utakuwa umefanya jambo ambalo hata lisahau. Unajua wanawake wanahitaji ushirikiano na si kufanya hizo kazi. Unaweza ukaingia jikoni , ukazogeza kijiko, mwiko huku strioty zinaendelea of ciourse atajkuona bonge la mume.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom