Concidence? Reporter wa Mbowe na serikali ni mmoja!

Concidence? Reporter wa Mbowe na serikali ni mmoja!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,419
Reaction score
17,735
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za Rais Samia na serikali kwa ujumla. Je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye siasa na watu fake mambo hayatokei tu.
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta Habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za raisi Samia na Serikali kwa ujumla, je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye Siasa na watu fake mambo hayatokei tu.

Don’t trust Mbowe, he is a snitch!
Mr new culture@work
 
Akikaa kimya(amelamba asali ya watawala),akiongea(ni snitch),,,hivi watanzania tunataka kitu gani hasa?
Bora yeye ujasiri wa kuongea anao sio walio wengi ambao keyboard warriors [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta Habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za raisi Samia na Serikali kwa ujumla, je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye Siasa na watu fake mambo hayatokei tu.

Don’t trust Mbowe, he is a snitch!
Nimekuelewa sana mkuu
Lakini unachoshindwa kung'amua ni neno REPORTER. Hapo umeweka wazi kuwa mtoa taarifa zenye viwango vya habari.

Wewe unawezekana ni snitch
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta Habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za raisi Samia na Serikali kwa ujumla, je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye Siasa na watu fake mambo hayatokei tu.

Don’t trust Mbowe, he is a snitch!
Unajichanganya, binafsi sijaelewa hoja yako
 
Nimesoma mpk mwisho nikaishia kuguna tu inhiiii.
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta Habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za raisi Samia na Serikali kwa ujumla, je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye Siasa na watu fake mambo hayatokei tu.
Acha ramli chonganishi wewe unatakaje Sasa,kama coincidence au vinginevyo 🤔
 
Akikaa kimya(amelamba asali ya watawala),akiongea(ni snitch),,,hivi watanzania tunataka kitu gani hasa?
Bora yeye ujasiri wa kuongea anao sio walio wengi ambao keyboard warriors [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Umehitimisha vema hoja hii mkuu, welldone
 
Kazi ya reporter ni kureport habari bila kuwa biased haijalishi upande habari inapotokea

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

Ingekuwa hivyo basi, lkn siyo reporters wote wanapata access ya informations na ndio maana wanaoleta habari za Serikali ni wale wale(yule yule) ingawaje reporters wako wengi!
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za Rais Samia na serikali kwa ujumla. Je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye siasa na watu fake mambo hayatokei tu.
Kichwa chako kimebeba meno tu lakini ubongo umejaa makamasi, mikoani habari kama za Mara utamsikia Geeeeeorge Maratuuuuu itveeeeee Maraaaaa,
 
Yote yalianzia jana Mbowe alipoongea kwenye eneo lisilojulikana lakini kilichonistaajabisha ni kwamba yule aliyeleta habari za Mbowe ndiyo yule yule ambaye huleta habari za Rais Samia na serikali kwa ujumla. Je, hii imetokea tu? Nijuavyo mimi kwenye siasa na watu fake mambo hayatokei tu.
Huyo mleta habari anaitwa Erythrocyte au?
 
Back
Top Bottom