MACCM lazima wahukumiwe kwa sababu miaka nenda miaka rudi wanaendelea kuwakumbatia wezi na mafisadi hawa bila kuwachukulia hatua zozote zile ikiwemo kuwapandisha kizimbani. Kumbuka kauli ya Kikwete "Sasa tunalivua gamba" kumbuka mabilioni ya Uswiss mpaka lweo kimyaaa hata gaidi Mwigulu mwemyewe hatii neon. Kwanini anaikimbia hii issue ya mabilioni ya Uswiss!? Nchi haina pesa kwanini hafuatilii ili pesa hizi za wizi $529 million zirudishwe nchini na watuhumiwa wapandishwe kizimbani!? Anabwabwaja na kutoa povu tu huyu gaidi lakini hana lolote.
Ionwe pia na wapwa zangu: MANI Elli tpaul Eli79 zumbemkuu Chakaza bila kumsahau charminglady
CCM ni ukoo wa panyababu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na viningina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni mwaka 2015 kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa magunia ya misumari ya bei ya juu ya umeme, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha, EPA na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.
Its a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and thats when magambas will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCMs tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave in a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits the minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.
What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that many Tanzanians hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrendously, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
The only weapon we have today, if we wish to change the history of our country that has been exploitative since independence, is UNITY AND SOLIDARITY. We must understand that our government and the ruling party will not easily accept to quit the state and leave all fruits they are enjoying currently. We must ensure our people join us in this struggle. I believe one day we shall all enjoy living in a country without discrimination, exploitation, suffering and humiliation.
FaizaFoxy,
MwanaDiwani,
msalani,
T 2015 CCM East African Eagle,
Ritz,
mjepo,
laki si pesa,
Agogwe,
gsu,
Simiyu Yetu,
thatha,
TataMadiba,
Mwigulu Nchemba, et al.