Comrade Mwigulu ndani ya Muheza

Comrade Mwigulu ndani ya Muheza

Anazungumza kama mwl Nyerere kiukweli kwa kujiamini sana. Bila shaka atakuwa mrithi bora wa Lowassa atakapoondoka madarakani.

mbona unasifia sana, hizo i tabia za Malaya. haijalishi kuwa wa kiume au wa kike. ukisha pewa elfu kumi bas unaona wote hatuna akili
 
mim huwa najiuliza ikitokea mh.lowasa anakuwa rais na mh.mwigulu anakuwa wazir mkuu.teh teh wakurugenzi wavivu wa halmashaur watapata presha
 
Mwigulu kasema maji hayana mbadala kwahyo kama maji hayatapatikana mpaka mwakani itabidi mambo mengine yasimame na kuletwa maji. Inawezekana kwa mwenendo mzuri wa chama kwasasa.

hiyo mipango sasa ni issue nyingine. chenge na wenzake warudishe hela zetu wananchi wapelekewe huduma. nakumbuka kule kwetu mbozi sikiwahi kuona bomba la maji hadi nilipo jiunga form one vwawa sekondari mwaka 1995. zaidi ya asilimia 90 ya wakazi wa mbozi wanatumia maji yasiyo kuwa safi wala salama. ukienda tunduma ndo balaa
 
Mwigulu anazurira nchi nzima kama nani? Kwani kampeni zimeshaanza?
 
Anasema mwizi hana chama. Anaweza kuwa Chadema, Ccm au kabila lolote. Watu wasiihukumu CCM kwa ujambazi wa watu wachache.
Nina hakika wangekuwa chama tofauti na chake lugha isingekuwa hiyo, ingekuwa ni tatizo la chama hicho. Kama wanavyosema walio nje ya chama chake!
 
MACCM lazima wahukumiwe kwa sababu miaka nenda miaka rudi wanaendelea kuwakumbatia wezi na mafisadi hawa bila kuwachukulia hatua zozote zile ikiwemo kuwapandisha kizimbani. Kumbuka kauli ya Kikwete "Sasa tunalivua gamba" kumbuka mabilioni ya Uswiss mpaka lweo kimyaaa hata gaidi Mwigulu mwemyewe hatii neon. Kwanini anaikimbia hii issue ya mabilioni ya Uswiss!? Nchi haina pesa kwanini hafuatilii ili pesa hizi za wizi $529 million zirudishwe nchini na watuhumiwa wapandishwe kizimbani!? Anabwabwaja na kutoa povu tu huyu gaidi lakini hana lolote.

Ionwe pia na wapwa zangu: MANI Elli tpaul Eli79 zumbemkuu Chakaza bila kumsahau charminglady


Anasema mwizi hana chama. Anaweza kuwa Chadema, Ccm au kabila lolote. Watu wasiihukumu CCM kwa ujambazi wa watu wachache.
 
MACCM lazima wahukumiwe kwa sababu miaka nenda miaka rudi wanaendelea kuwakumbatia wexi na mafisadi hawa bila kuwachukulia hatua zozote zile ikiwemo kuwapandisha kizimbani. Kumbuka kauli ya Kikwete "Sasa tunalivua gamba" kumbuka mabilioni ya Uswiss mpaka lweo kimyaaa hata gaidi Mwigulu mwemyewe hatii neon. Kwanini anaikimbia hii issue ya mabilioni ya Uswiss!? Nchi haina pesa kwanini hafuatilii ili pesa hizi za wizi $529 million zirudishwe nchini na watuhumiwa wapandishwe kizimbani!? Anabwabwaja na kutoa povu tu huyu gaidi lakini hana lolote.

Ionwe pia na wapwa zangu: MANI Elli tpaul Eli79 zumbemkuu Chakaza bila kumsahau charminglady

Kafuata nini huyo gaidi huko ?
Natamani nimtupie zongo
 
Last edited by a moderator:
Anawaomba Watanzania kutohadaika na vyama vya upinzani ambavyo vyenyewe vimeshindwa kujiongoza vyenyewe kwamba vitaweza kuliongoza taifa. Hakuna zaidi ya CCM inaynweza kuwafikisha watanzania katika maisha bora.

Miaka 53 ya uhuru Muheza hawana maji ya bomba sasa atawahadaa nini .
 
Hapana mimi sio mshabiki wa watu ni mshabiki wa mageuzi. Umenikera kumfananisha Mwigulu na Nyerere. That's is unfair

Utakuwa umesahau kwamba wakati akiwa Naibu Katibu mkuu wa CCM aliwatoa jasho CDM ikiwa hampumui mpaka majukumu yalipoongezeka ndio akapunguza kuwashuhulikia mpwa? Nyerere na Mwigulu wanana sana katika kupigania ustawi wa jamii ya Watanzania na wasio na tabia ya kujilimbikizia mali.
 
chamviga kauli ya rais maji mpaka 2016 na mwiguru amesema mwaka huu nabi mkweli?
 
COMRADE ameongea mengi sana ya ujenzi na sasa anaelekea wilaya nyingine kwa ajili ya mashambulizi ya kuwashukuru watanzania kAKUENDELEA KUINGA MKONO CCM.

Mashambulizi ya kuwashukuru watanzania...kwa kuiunga mkono CCM ...
 
Utakuwa umesahau kwamba wakati akiwa Naibu Katibu mkuu wa CCM aliwatoa jasho CDM ikiwa hampumui mpaka majukumu yalipoongezeka ndio akapunguza kuwashuhulikia mpwa? Nyerere na Mwigulu wanana sana katika kupigania ustawi wa jamii ya Watanzania na wasio na tabia ya kujilimbikizia mali.

Nikisoma maandiko yako nakuona sio hawa vijana wa leo. Wewe ni mtu wa siku nyingi na unajua historia ya nchi hii hata kabla usanii haujachukua nafasi katika siasa zetu.
Sasa kwa ukweli wa moyo wako hivi huoni ni matusi makubwa sana kumfananisha Mwigulu na Nyerere? Kwa nini watu mmefikia hali hiyo? Kwa nini mnakipotosha kizazi cha sasa kwa UTAPELI huu? Hebu acheni kumtusi yule mzee jamani!
 
Back
Top Bottom