gpblaze
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 304
- 14
Nafundisha course ya computer kwa kuwaandaa wanaotaka kujiajiri na kufungua secretarial/stationeries.
Sitoi cheti ila nakujaza uelewa wa hali ya juu wa matumizi ya computer.darasa lenyewe ni secretarial/stationery kwa hyo unakuwa unafanya mazoezi kwa vitendo.
Inafaa hata kwa vijana waliomaliza kidato cha 4 ambao bado wanatafakari muelekeo wao.
Napatikana dar es salaam makumbusho/kijitonyama-kwenye lami iitwayo akachube.
kituo kimeshatoa watu wengi ambao kwa sasa wamejiajiri kwa kufungua stationery zao na wengine kuajiriwa.
Wasiliana kwa email geofrey.zenze@gmail.com au pm kwa ajili ya kupata namba au kufahamu zaidi.na kupata attachment ya mgawanyo wa programs na bei zake.
NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU.
Sitoi cheti ila nakujaza uelewa wa hali ya juu wa matumizi ya computer.darasa lenyewe ni secretarial/stationery kwa hyo unakuwa unafanya mazoezi kwa vitendo.
Inafaa hata kwa vijana waliomaliza kidato cha 4 ambao bado wanatafakari muelekeo wao.
Napatikana dar es salaam makumbusho/kijitonyama-kwenye lami iitwayo akachube.
kituo kimeshatoa watu wengi ambao kwa sasa wamejiajiri kwa kufungua stationery zao na wengine kuajiriwa.
Wasiliana kwa email geofrey.zenze@gmail.com au pm kwa ajili ya kupata namba au kufahamu zaidi.na kupata attachment ya mgawanyo wa programs na bei zake.
NATANGULIZA SHUKURANI ZANGU.