Habari zenu wote wanajf naomba nieleweshwe juu ya company hii Simu zake asilimia kubwa vioo vyake (screen) mbona hupasuka sana ni rafiki zangu wengi wanazo na screen zao wote zimepasuka aidha kipande kidogo au michirizi na tofauti na company zingine sasa cjui matunzo ni hafifu au company inachakachua screen naomba Kuwasilisha kwa wataalam mnisaidie nijue