WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 245
Habarini wana jamii..
Nilikuwa nataka kutembelea Comoro ili nijifunze mahitaji yakule nifaye itafiti kama naweza kuwa na supply biashara kule kisiwani kwao kutokea huku Dar es Salaam.
Sasa najiuliza maswali kadhaa..
1. Usafiri wakwenda kule unapatikana wapi?
2. Nauli inakuwa bei gani?
3. Je, kuna wabongo wanao fanya biashara kule na huku?
4. Kuna vikwazo vyovyote maana sijawahi kusikia Wafanyabiashara wakizungumzia Comoro.
Naomba mwenye connections na Wacomoro wanaofanya biashara na Tz anisaidie mawasiliano yao nijadiliane nao namna ya kufanya nao biashara kwa kuzingatia mahitaji yao kule visiwani.
Asanteni
Nilikuwa nataka kutembelea Comoro ili nijifunze mahitaji yakule nifaye itafiti kama naweza kuwa na supply biashara kule kisiwani kwao kutokea huku Dar es Salaam.
Sasa najiuliza maswali kadhaa..
1. Usafiri wakwenda kule unapatikana wapi?
2. Nauli inakuwa bei gani?
3. Je, kuna wabongo wanao fanya biashara kule na huku?
4. Kuna vikwazo vyovyote maana sijawahi kusikia Wafanyabiashara wakizungumzia Comoro.
Naomba mwenye connections na Wacomoro wanaofanya biashara na Tz anisaidie mawasiliano yao nijadiliane nao namna ya kufanya nao biashara kwa kuzingatia mahitaji yao kule visiwani.
Asanteni