Comments za no reform no election zimeyeyuka mapema mitandaoni

Comments za no reform no election zimeyeyuka mapema mitandaoni

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,679
Reaction score
9,839
Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election.

Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza kukupa attention online ukafikiri umeshatoboa.

Ghafla bin vuu comments za no reform no election zimeyeyuka. Na utaratibu wa ku-unfollow watu maarufu ukaota mbawa.

Maisha yetu ya kupenda furaha, amani na utulivu yameendelea tushasaau kama dada wa taifa alitoa miezi mitano ya mapambano.

Mjadala wetu ni timu pendwa na Diamond Platnumz ndani ya UK ndio umeibeba online community na vijiwe vya kahawa.

Nachowakubali watanzania ukitaka uwapoteze waingilie mambo yao yenye manufaa kama burudani na shughuli za kutafuta pesa.

Kwa hali hii kuna mtu wa kuzuia uchaguzi? 😅
 
Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election.

Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza kukupa attention online ukafikiri umeshatoboa.

Ghafla bin vuu comments za no reform no election zimeyeyuka. Na utaratibu wa ku-unfollow watu maarufu ukaota mbawa.

Maisha yetu ya kupenda furaha, amani na utulivu yameendelea tushasaau kama dada wa taifa alitoa miezi mitano ya mapambano.

Mjadala wetu ni timu pendwa na Diamond Platnumz ndani ya UK ndio umeibeba online community na vijiwe vya kahawa.

Nachowakubali watanzania ukitaka uwapoteze waingilie mambo yao yenye manufaa kama burudani na shughuli za kutafuta pesa.

Kwa hali hii kuna mtu wa kuzuia uchaguzi? 😅
20250612_190153.jpg
 
Ni kampeni ya mtandaoni ya watu wa mtandaoni ,walioiabzisha wengi wao wanakula bata ulaya , mtandao unakuja na news nyingi kila baada ya sekunde , mara simba na yanga , mara diamond , mara mtu katumbuliwa , mara ndege imeanguka , mara iran na israel wanazichapa … yaani ni heka heka, kampeni imejikuta inakufa kibudu
 
Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election.

Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza kukupa attention online ukafikiri umeshatoboa.

Ghafla bin vuu comments za no reform no election zimeyeyuka. Na utaratibu wa ku-unfollow watu maarufu ukaota mbawa.

Maisha yetu ya kupenda furaha, amani na utulivu yameendelea tushasaau kama dada wa taifa alitoa miezi mitano ya mapambano.

Mjadala wetu ni timu pendwa na Diamond Platnumz ndani ya UK ndio umeibeba online community na vijiwe vya kahawa.

Nachowakubali watanzania ukitaka uwapoteze waingilie mambo yao yenye manufaa kama burudani na shughuli za kutafuta pesa.

Kwa hali hii kuna mtu wa kuzuia uchaguzi? 😅
Hujui NR no NE ndo habari ya mjini
 
No reform no election sio kampeini Ila ni Ajenda ya kitaifa ya kuhakikisha kila kura inahesabika na kuheshimiwa baada kufanya maboresho ya sheria za uchaguzi.
 
Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election.

Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza kukupa attention online ukafikiri umeshatoboa.

Ghafla bin vuu comments za no reform no election zimeyeyuka. Na utaratibu wa ku-unfollow watu maarufu ukaota mbawa.

Maisha yetu ya kupenda furaha, amani na utulivu yameendelea tushasaau kama dada wa taifa alitoa miezi mitano ya mapambano.

Mjadala wetu ni timu pendwa na Diamond Platnumz ndani ya UK ndio umeibeba online community na vijiwe vya kahawa.

Nachowakubali watanzania ukitaka uwapoteze waingilie mambo yao yenye manufaa kama burudani na shughuli za kutafuta pesa.

Kwa hali hii kuna mtu wa kuzuia uchaguzi? 😅
no reforms, no election!

#free lissu#
 
Ni kampeni ya mtandaoni ya watu wa mtandaoni ,walioiabzisha wengi wao wanakula bata ulaya , mtandao unakuja na news nyingi kila baada ya sekunde , mara simba na yanga , mara diamond , mara mtu katumbuliwa , mara ndege imeanguka , mara iran na israel wanazichapa … yaani ni heka heka, kampeni imejikuta inakufa kibudu
Mtu yupo Marekani mwingine yupo Kenya alafu wanasema wabongo acheni uoga ila wao hawathubutu kukanyaga bongo.

Kwa kifupi wabongo awaaminii mambo ya harakati haswa yakianza kuinglia furaha yao na rizki zao.

Mwenye akili awezi waambia watanzania waachane na Simba na Yanga au waaache kazi zao wakajazane mahakamani
 
No reform no election sio kampeini Ila ni Ajenda ya kitaifa ya kuhakikisha kila kura inahesabika na kuheshimiwa baada kufanya maboresho ya sheria za uchaguzi.
Tatizo uwa mnajipa sana umuhimu kuliko uhalisia ndio maana mnaangukia pua
 
Zilikuwa siku tatu zenye kuwapa faraja makamanda kuwa kampeni yao sasa inaeleweka baada ya dada wa taifa kulamba deal la kuieneza kampeni yao ya no reform no election.

Kiukweli mitandaoni kuliwaka moto kila akaunti ya mtu mashuhuli ilivamiwa na comments, kama unavyojua watanzania wanaweza kukupa attention online ukafikiri umeshatoboa.

Ghafla bin vuu comments za no reform no election zimeyeyuka. Na utaratibu wa ku-unfollow watu maarufu ukaota mbawa.

Maisha yetu ya kupenda furaha, amani na utulivu yameendelea tushasaau kama dada wa taifa alitoa miezi mitano ya mapambano.

Mjadala wetu ni timu pendwa na Diamond Platnumz ndani ya UK ndio umeibeba online community na vijiwe vya kahawa.

Nachowakubali watanzania ukitaka uwapoteze waingilie mambo yao yenye manufaa kama burudani na shughuli za kutafuta pesa.

Kwa hali hii kuna mtu wa kuzuia uchaguzi? 😅
Hutaki kura za wananchi ziheshimiwe.
 
Back
Top Bottom