Kwenye kipindi hiki cha Corona, Mungu ndiyo amedhihirisha kabisa kuwa Matabibu ( ma-Daktari na wengineo) pamoja na ma-Askari ni watumishi wa Mungu perce kama walivyo Masheikh, Mapadre, Maaskofu, Wachungaji. Tofauti tu ni kwamba hao wa awali vituo vyao vya kazi haviko kwenye Mahekalu, Makanisa au Misikiti
Kwenye kipindi hiki cha Corona, Mungu ndiyo amedhihirisha kabisa kuwa Matabibu ( ma-Daktari na wengineo) pamoja na ma-Askari ni watumishi wa Mungu perce kama walivyo Masheikh, Mapadre, Maaskofu, Wachungaji. Tofauti tu ni kwamba hao wa awali vituo vyao vya kazi haviko kwenye Mahekalu, Makanisa au Misikiti




Uliza akuue na vizinga