Collaboration bora zaidi za Bongo Fleva

Pressure-Khafsa kazinja ft Banana zoro
Mpenzi nakupenda -Saida caroli ft banana zoro
Nipigie-At ft stara thomas
Utaambiwa-Rama dee ft Mapacha
Natamani-Wakali kwanza
Dar mpaka moro-Chege ,Yp & Mh temba
Twenzetu-Chege ft yp,Mh temba & Ferooz
Single boy-Ally kiba ft Lady jaydee
Nai nai-Ommy dimpoz ft Ally kiba
Nipe tano-Daz nundaz
Mikasi -Ngwea ft mkoloni,mchiz mox,ferroz,p funk & sister p
Nampemda yeye-Mh temba ft Dully
Amekoma-Mh temba ft qchief
Habari ndo hiyo -Ay & Fa
Asubuh Ay & Fa ft qchief
Dakika moja-Ay & Fa ft Hardmad
Nitoke vipi -Bwana misosi ft Hardmad
Nje ya box-Joh makini,Nikki wa pili & G.nako
Bei ya mkaa -,Joh makini ft Nikki wa pili
Niaje ni vipi -Joh makini & Nikki wa pili
Hawatuwezi -Lord eyez & Ibrah da husler ft Enika
Ndo zetu kuwakilisha-Lord eyez ,Ibrah da husler & G.nako
Ni hayo tuu -Fid q ft Prof jay & Langa
Sogea karibu-Steve rnb ft Dataz
Tuko juu-Albert mangwea ft steve rnb & Squeezer
Uvumilivu-Keisha ft squeezer
Crazy over you-kylin ft squeezer
Bachelor -Squeezer ft Ommy dimpoz
Nipe report-Spark & Tunda man ft Madee ally
Goma la manzese -Tip top connection
 
List yako ime kosa nyimbo ya mtazamo- Afande sele Prof & solo thang kijana una feli
 
Nyakati hizo waliimba kwa mashairi yaliyosheheni vina...

Sasa wanaimba vitu visivyoeleweka kwa lugha isiyoeleweka pia...

Nathubutu kusema bongo fleva& muvi kwa pamoja zipo ICU... nani atatangulia? No one knows.
 
Makamua ft Enika - Rudi Nyumbani
Joslin ft Makamua - Mshikaji mmoja
Wakali kwanza - Natamani

Hao jamaa walikuwa wakali kuliko WCB. Muziki haukulipa kivile miaka ile.Wasanii hawakuwa wabunifu kibiashara
 
Nitarejea

Diamond vs Hawa.

Collabo Bora kabisa kati ya mtu anayejulikana kwenye game na Asiyejulikana.

Hadi Leo Diamond Hajawahi kutoa ngoma Kali kama hii kwa upande wangu.
 
Kipindi hicho muziki muziki kweli, watu hawaangalii NANI kaimba wanaangalia NINI kimeimbwa. Tofauti na leo wasanii wanatoa nyimbo za hovyo ila majina yanawabeba
 
Kipindi hicho muziki muziki kweli, watu hawaangalii NANI kaimba wanaangalia NINI kimeimbwa. Tofauti na leo wasanii wanatoa nyimbo za hovyo ila majina yanawabeba
Kweli kbs, ss hv watu wamekremisha wasanii kila siku wale wale wkt wapo wasanii wengine wengi tu wanaotoa nyimbo nzuri lkn ndo hawapewi sapoti.
 
Hi 👋
Ningependa kushea orodha yangu ya nyimbo bora walizoshirikishana wasanii wa bongo ambazo hazichuji hata ikipigwa leo hii lazima uipende. Naruhusu kurekebishwa penye makosa, lakini pia nipende kuwapa pongezi kubwa Producers Miika Mwamba, PFunk na Master J kwa kazi nzuri waliyofanya maana nyimbo nyingi hapa zitakua zimetengenezwa na wao.

PS: Sijapanga kwa mtirirko rasmi, so hakuna wakwanza wala wa mwisho.

  • Prof Jay ft Ferooz _ Nikusaidieje
  • Caz T ft Wagosi wa kaya _ Tuvumiliane
  • Afande Sele ft Jay Mo &Prof J _ Mtazamo
  • GK ft AY & FA _ Leo
  • Ngwea ft Jay Mo _ Kimya Kimya
  • Ngwea ft Chege _ Kiumeni
  • Afande Sele ft Ditto _ Darubini
  • Prof J ft Diamond _ Kipi sijasikia
  • Berry Black ft Alikiba _ Niko radhi kujitoa roho
  • Keisha ft Squeezer _ Uvumilivu
  • Spack ft Chid Benz _ Laiti Ungejua
  • Tundaman ft Chid Benz _Neila
  • Ferooz ft Prof J _ Starehe
  • K Sal ft Ferooz _ mkiwa
  • Alikiba ft Bery black _ Nakshi Nakshi
  • Abby Skilz ft Mr Blue _ Mimi nawewe
  • Ally Com ft Mishi _ Selina
  • At ft Stara Thomas _ Nipigie
  • Prof J ft Lady Jaydee _ Niamini
  • Abby Skillz ft Bob Junior _ Mpaka milele
  • Jebby ft Afande Sele _ Swaiba
  • Berry Black ft Sumalee _ Nataka unisamehe
  • Juma nature ft Chameleon _ Mikiko mikiki
  • Christian Bella ft Ommy Dimpoz _ Mama
  • Darassa ft Lameck Ditto _ Weka ngoma
  • Young Killer ft Stamina & Quick Rocker _ Jana na leo
  • Gerry wa Rhymes ft Mwasiti _ I love you
  • GK ft TID _ Tunakukumbuka (Tid aliua sana hapa daah)
  • Bushoke ft Juliana _ Usiende mbali
  • K Lyn ft Bushoke _ Nalia kwa Furaha
  • Prof Jay Ft Juma Nature _ Zari la Mentali
  • Kigwema ft Marlaw _ Sitomsahau
  • Marlow ft Chid Benz _ Bado umenuna
  • Matonya Ft Lady Jaydee_ Anitha
  • Mb Dog ft Madee _ Latifa
  • Mez B Ft RayC & Noorah _ Kaa vipi
  • Mr II ft Mike T _ Je utanipenda
  • Mwana FA ft GNako _ Mfalme
  • Ngwea ft Mchizi Mox & Ferooz _ Mikasi

List itakua updated nikikumbuka nyimbo zingine. Je unaipa marks ngapi list yangu

Kama unataka wimbo unaweza kuomba, ninazo kaa 8000 song za zamani
Leo ni wa east cost team sio wa GK
 
Hi 👋
Ningependa kushea orodha yangu ya nyimbo bora walizoshirikishana wasanii wa bongo ambazo hazichuji hata ikipigwa leo hii lazima uipende. Naruhusu kurekebishwa penye makosa, lakini pia nipende kuwapa pongezi kubwa Producers Miika Mwamba, PFunk na Master J kwa kazi nzuri waliyofanya maana nyimbo nyingi hapa zitakua zimetengenezwa na wao.
Mr 2 na mike t wameimba utanipenda? Sio yule mganda ndio kaimba na mike?
 
Naupenda huu wimbo, enjoy mistari toka kwa Dallarz na Banana

Mtaani kwetu mwanangu kuna mambo mengi,
mtaani kwetu vituko vingi, mtaani kwetu mwanagu wambea wengi.
Mtaani kwetu wachawi wengi.

mtaani kwetu ee bwana wee utakonda, unakula nyama wengine wanakula ng'onda,
Mtaani kwetu hakuna anayekupenda,
Unahaimia leo kesho unakwenda,
Unapigwa chale usiku unaliwa denda.

mtaani kwetu tunapaweza wenyewe,
Akiibiwa mtu wenyewe kwa wenyewe tunaimbizana Hadi kesi zinakwisha.

mtaani kwetu kunanifurahisha,
Mtoto mdogo anakutingisha,
Kashika bisibisi huku anakutisha,
Ukiwa muoga utasema leo nimekwisha,
Mtaani kwetu hatupendi shule,
Ukitagaza ndoa demu unapewa bure,
Mtaani kwetu usifungue duka,
Wataliwangia hadi liwe linanuka,

Mtaani kwetu hata vyumba havipo,
Tarehe 28 ujiandae na malipo,
Ukipitisha siku vitu vyako havipo,
Kachukua nani baba mwenye nyumba
Mtaani kwetu misikule inalishwa pumba,

Mtaani kwetu kwani mbali,
Si unasikia ngoma watu wanamlema mwali,
Mtaani kwetu chakula chetu ugali.

Mtaani kwetu kweli kiboko,
mpaka sikukuu ndio tunafanya mitoko,
Likinyesha mvuatope la ugoko

Mtaani kwetu usiwe mroho wa nyama,
Mjanja mzima wamenilisha panya,
Mtaani kwetu pananichanganya,
Mtu anapengo utazani mwanya,

Mtaani kwetu mimi sina la kufanya,
Nikiimba mziki eti bishoo,
Nifanye kazi gani? Mzibua vyoo
Mtaani kwetu jamani mnanizingua,
Maendeleo sina mnataka kuniua

Mtaani kwetu kondom ya nini,
Karibia wote tunaumwa Ukimw,
Mtaani kwetu heshima hakuna,
Mtoto mdogo anatukana wakubwa,
Na mzazi anamwabia mwanae mbwa,
Kama yeye mbwa na wewe mbwa,
Jibu kamili wote mijibwa

Umenikumbusha mbali sanaa
 
Ngwea & Jay Moe - Kimya Kimya, kwangu ndio collabo bora zaidi katika game. Pia kuna Fid Q & Ngwea - CNN na Jay Moe & AY - Misosi Mitungi na Pamba.

Cha kuongezea Jay Moe na Ngwea (R.I.P) naweza kusema ndio artists ambao ukiwashirikisha wanaweza kukumeza kwenye ngoma yako mwenyewe kama Eminem.

Daah, imenibidi ni_edit na kuongezea collabo ya Fa & Jay Moe - Ingekuwa Vipi. Nayo ni collabo matata sana.
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom