Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,271
- 5,892
Wewe ni muongo na mjinga!Inaitwa najua walimshirikisha shirko.
Hiyo walikua wamesha tengana.
Wimbo waliotoa unaitwa Na wewe tu.
Wewe ni muongo na mjinga!Inaitwa najua walimshirikisha shirko.
Sawa sawa!Mwana FA ft. Queen Kiba - kiboko yangu
Godzilla ft. Queen Kiba - Milele
Nikki Mbishi ft. Grace Matata - Nyakati
1) Kwangwaru Diamond ft HarmonizeHi
Ningependa kushea orodha yangu ya nyimbo bora walizoshirikishana wasanii wa bongo ambazo hazichuji hata ikipigwa leo hii lazima uipende. Naruhusu kurekebishwa penye makosa, lakini pia nipende kuwapa pongezi kubwa Producers Miika Mwamba, PFunk na Master J kwa kazi nzuri waliyofanya maana nyimbo nyingi hapa zitakua zimetengenezwa na wao.
PS: Sijapanga kwa mtirirko rasmi, so hakuna wakwanza wala wa mwisho.
- Prof Jay ft Ferooz _ Nikusaidieje
- Caz T ft Wagosi wa kaya _ Tuvumiliane
- Afande Sele ft Jay Mo &Prof J _ Mtazamo
- GK ft AY & FA _ Leo
- Ngwea ft Jay Mo _ Kimya Kimya
- Ngwea ft Chege _ Kiumeni
- Afande Sele ft Ditto _ Darubini
- Prof J ft Diamond _ Kipi sijasikia
- Berry Black ft Alikiba _ Niko radhi kujitoa roho
- Keisha ft Squeezer _ Uvumilivu
- Spack ft Chid Benz _ Laiti Ungejua
- Tundaman ft Chid Benz _Neila
- Ferooz ft Prof J _ Starehe
- K Sal ft Ferooz _ mkiwa
- Alikiba ft Bery black _ Nakshi Nakshi
- Abby Skilz ft Mr Blue _ Mimi nawewe
- Ally Com ft Mishi _ Selina
- At ft Stara Thomas _ Nipigie
- Prof J ft Lady Jaydee _ Niamini
- Abby Skillz ft Bob Junior _ Mpaka milele
- Jebby ft Afande Sele _ Swaiba
- Berry Black ft Sumalee _ Nataka unisamehe
- Juma nature ft Chameleon _ Mikiko mikiki
- Christian Bella ft Ommy Dimpoz _ Mama
- Darassa ft Lameck Ditto _ Weka ngoma
- Young Killer ft Stamina & Quick Rocker _ Jana na leo
- Gerry wa Rhymes ft Mwasiti _ I love you
- GK ft TID _ Tunakukumbuka (Tid aliua sana hapa daah)
- Bushoke ft Juliana _ Usiende mbali
- K Lyn ft Bushoke _ Nalia kwa Furaha
- Prof Jay Ft Juma Nature _ Zari la Mentali
- Kigwema ft Marlaw _ Sitomsahau
- Marlow ft Chid Benz _ Bado umenuna
- Matonya Ft Lady Jaydee_ Anitha
- Mb Dog ft Madee _ Latifa
- Mez B Ft RayC & Noorah _ Kaa vipi
- Mr II ft Mike T _ Je utanipenda
- Mwana FA ft GNako _ Mfalme
- Ngwea ft Mchizi Mox & Ferooz _ Mikasi
List itakua updated nikikumbuka nyimbo zingine. Je unaipa marks ngapi list yangu
Kama unataka wimbo unaweza kuomba, ninazo kaa 8000 song za zamani
Ss kwani huwez kumrekebisha mtu hd umuite mjinga, mjinga mwenyewe.Wewe ni muongo na mjinga!
Hiyo walikua wamesha tengana.
Wimbo waliotoa unaitwa Na wewe tu.
Acha uongo!Nashindwa hata kuchagua
Ni nyingi mnoo
Ila usiusahau Mzee wa Busara remix - Nature X Inspt Haroon
Hawa jamaa kwenye ubora wao walikua hatari na mahasimu sana lakini waliweka pembeni tofauti zao wakaja na na hili singo
Lilisumbua sana
Huyu jamaa sijui alipotelewa wapiNa mashaka na wewe HAKEEM 5 FT MR BLUE mwisho huu
Mkuu hiyo ngoma ya Report za mtaani si ya Fid q ft zahir zorro kweli.Alikifa kwa ngoma - FA ft Jay Dee
Sikiliza - Ngwea ft FA ft Jay Dee
Report za mtaani - Qchief ft Zorro
Hoi - wakilisha
Dar es Salaam stand up - chidbenz ft ditto
Usinipe lawama - chidbenz ft matonya
Wanok nok - mandojo & domokaya ft jay dee
Usiwe na hasira - solo thang ft
Nakshi mrembo - alikiba ft
Neira - tunda ft chid
We jamaa kama ulikuwa akilini mwangu... Jebby aliua sana kwenye Pamba nyepesi.Inspector haroun ft jeby - Pamba nyepesi
Cpwaa, Ngwear, dully, ms trinity - action
Msodoki ft belle9 - dear gambe
K basil ft Stara thomas - ridhiki
Wamitulinga ft Binamu - Jukumu letu
Hiyo milele ni hatari.. Kiba ukimshirikisha inabidi ujiandae kisaikolojiaMwana FA ft. Queen Kiba - kiboko yangu
Godzilla ft. Queen Kiba - Milele
Nikki Mbishi ft. Grace Matata - Nyakati
Najua ni ya Berry Black peke yake..Inaitwa najua walimshirikisha shirko.
2berry-Na wewe tuBerry Black& Berry white walitoa ngoma Kali siikumbuki jina..
Kule mwisho Q chief aliuaKENZY Hiyo ya steve Rnb ft Blue Tabasamu binge la collaboration naipenda Sana rap ya Blue aliua Sana plus corus Kali ya steve Rnb
Nimependa list yako, hapo kwenye mtazamo.Hi
Ningependa kushea orodha yangu ya nyimbo bora walizoshirikishana wasanii wa bongo ambazo hazichuji hata ikipigwa leo hii lazima uipende. Naruhusu kurekebishwa penye makosa, lakini pia nipende kuwapa pongezi kubwa Producers Miika Mwamba, PFunk na Master J kwa kazi nzuri waliyofanya maana nyimbo nyingi hapa zitakua zimetengenezwa na wao.
PS: Sijapanga kwa mtirirko rasmi, so hakuna wakwanza wala wa mwisho.
- Prof Jay ft Ferooz _ Nikusaidieje
- Caz T ft Wagosi wa kaya _ Tuvumiliane
- Afande Sele ft Jay Mo &Prof J _ Mtazamo
- GK ft AY & FA _ Leo
- Ngwea ft Jay Mo _ Kimya Kimya
- Ngwea ft Chege _ Kiumeni
- Afande Sele ft Ditto _ Darubini
- Prof J ft Diamond _ Kipi sijasikia
- Berry Black ft Alikiba _ Niko radhi kujitoa roho
- Keisha ft Squeezer _ Uvumilivu
- Spack ft Chid Benz _ Laiti Ungejua
- Tundaman ft Chid Benz _Neila
- Ferooz ft Prof J _ Starehe
- K Sal ft Ferooz _ mkiwa
- Alikiba ft Bery black _ Nakshi Nakshi
- Abby Skilz ft Mr Blue _ Mimi nawewe
- Ally Com ft Mishi _ Selina
- At ft Stara Thomas _ Nipigie
- Prof J ft Lady Jaydee _ Niamini
- Abby Skillz ft Bob Junior _ Mpaka milele
- Jebby ft Afande Sele _ Swaiba
- Berry Black ft Sumalee _ Nataka unisamehe
- Juma nature ft Chameleon _ Mikiko mikiki
- Christian Bella ft Ommy Dimpoz _ Mama
- Darassa ft Lameck Ditto _ Weka ngoma
- Young Killer ft Stamina & Quick Rocker _ Jana na leo
- Gerry wa Rhymes ft Mwasiti _ I love you
- GK ft TID _ Tunakukumbuka (Tid aliua sana hapa daah)
- Bushoke ft Juliana _ Usiende mbali
- K Lyn ft Bushoke _ Nalia kwa Furaha
- Prof Jay Ft Juma Nature _ Zari la Mentali
- Kigwema ft Marlaw _ Sitomsahau
- Marlow ft Chid Benz _ Bado umenuna
- Matonya Ft Lady Jaydee_ Anitha
- Mb Dog ft Madee _ Latifa
- Mez B Ft RayC & Noorah _ Kaa vipi
- Mr II ft Mike T _ Je utanipenda
- Mwana FA ft GNako _ Mfalme
- Ngwea ft Mchizi Mox & Ferooz _ Mikasi
List itakua updated nikikumbuka nyimbo zingine. Je unaipa marks ngapi list yangu
Kama unataka wimbo unaweza kuomba, ninazo kaa 8000 song za zamani
Jebby alifanya vzr sana, na bahati mbaya wengi hawakujua kama alikuwa yeye kwenye ile verseWe jamaa kama ulikuwa akilini mwangu... Jebby aliua sana kwenye Pamba nyepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wa busara nayo ilikuwa balaa enzi hizo.1) babuu wa kitaa ft mox & langa R.I.P- kimbia
2)Ngwair ft fid q- cnn
3)nature ft inspekta haroun - mzee wa busara
4) prof j ft jaydee- bongo dsm
5)Mwana fa ft kilimanjaro band & domo na mandojo- kama zamani
6) dully sykes ft mr blue & josline- dhahabu
7)mb dogg ft madee- latifa
8) chid benz ft mzee yusuph- mashallah
9)chegge ft qchillah - goodbye
10)king zilla ft marco chali- zilla
11)abby skills ft alikiba & mr blue- maria
12)akili the brain ft steve 2 k- regina
13)young killer ft fid q& belle 9
14)wasanii kibao- mchizi wangu rmx
15)daz baba ft ngwair- wife
16)rich mavoko ft pato ranking- moyo
17)country wizzyft fa-turn up
18)offside trick ft mzee yusuph- bata
19)TID ft jaymoe - girlfriend
20)ali kiba ft chid benz- far away
21)diamond ft omarion- african beauty