kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,422
- 3,393
Jamani wabongo wamezidi ukatiri, coco beach kuna wale watu wenye farasi, wanapandisha watu, halafu wanapewa pesa, sasa kuna mmoja ana farasi na yule farasi anachechemea, ila jamaa hana huruma, anaendelea kumpandisha watu, ili mradi tu apate pesa, nimeumia sana.