Coca-Cola Kwanza Ltd: Whats going on?

nimekunywa coca cola ilikuwa na uchafu ndani kama vile mtu aliuweka makusudi sasa sijui ndio mambo ya mgomo au uzembe
 
Nilileta mada humu inayohusiana na Coca Cola na Azam, watu wakaniponda kwa kuwa hawakunielewa. Sasa naikumbushia tena.

Kiko wapi? Coca Cola wakae chonjo, wameshakosa at least 5% ya wanywaji coca toka Bakhresa aanzishe cola zake, na trend inaendelea.
 
Nilileta mada humu inayohusiana na Coca Cola na Azam, watu wakaniponda kwa kuwa hawakunielewa. Sasa naikumbushia tena.<br />
<br />
Kiko wapi? Coca Cola wakae chonjo, wameshakosa at least 5% ya wanywaji coca toka Bakhresa aanzishe cola zake, na trend inaendelea.
<br />
<br />
Kweli naona kuna vita ya kiroho, mbona pepsi husemi kwamba soko lake litauliwa na Azam? Au pepsi ni ya Bakhresa?
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kweli Coca-Cola Tanzania ni msiba mkubwa..lazima watapunguza wafanyakazi Azzam Cola ni Nouma!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umekosea,yeye ndo miliki,zile za mwanza na mbeya ndo si zake
<br />
<br />
nijuavyo mengi anahisa kidogo sana na hata maamuzi hawezi kutoa na ni coca cola mbeya na dar. mwanza hausiki kabisa ila bonite ya moshi ni yake
 
Nisaidieni hili,maji ya kilimanjaro yanatengenezwa na kampuni ipi??????
 
yaani mengi na biashara zake
ingekuwa marekani watu wangeshaandika vitabu best sellers

bodycare imekufa

ippmedia inakimbiwa na best journalist wake

na sasa hiyo cckl

usisahau tuhuma za kuifilisi nico

sijui.....
unanikumbusha niliwahi kununua shea nico nikimuamini mengi na former wzr mkuu warioba lakini nafikiri ni desi nyingine hio. kama kuna mwenye taarifa kuhusu nicol atujuze
 
kumbukumbu zangu kuwa mengi hayupo coca cola kwanza bali bonite ya moshi kama cjakosea

Bado ana hisa ndogo pale CCK , wamiliki wa kubwa ambao ni more than 90% ni waSouth Africa na kama kawaida ni wababe na mabahili saana on average , wakubwa(mabosi) nakamua ndefu tuu !
 
Jamani kwani kuna nini tena? Mi niliwahi kufanya kazi pale Bonite Botllers Moshi kwenye kampuni ya soda za Cocacola ya huyu mzee hapakuwa na matatizo yoyote wafanyakazi wote walikuwa happy.
 
Kweli Coca-Cola Tanzania ni msiba mkubwa..lazima watapunguza wafanyakazi Azzam Cola ni Nouma!

- Azam Cola ni "threat" kwa "carbonated soft drinks" zote Pepsi inclusive... Kwahiyo ku-single out Coca-Cola ni kama kuwatengezea matangazo bure...
- Kwa taarifa za Ki-Inteligensia nilizonazo wafanyakazi hawawezi kupunguzwa maana wana upungungufu wa wafanyakazi wengi sana kuanzia middle-hadi-senior management level ... Kwa kifupi wanahitaji wafanyakazi katika level hii kati ya 40-50....
 
Nilileta mada humu inayohusiana na Coca Cola na Azam, watu wakaniponda kwa kuwa hawakunielewa. Sasa naikumbushia tena.

Kiko wapi? Coca Cola wakae chonjo, wameshakosa at least 5% ya wanywaji coca toka Bakhresa aanzishe cola zake, na trend inaendelea.

Tatizo la Bakhresa anafanya biashara kwa ku-beep katika beverage industry - hana "continuity and sustainability" - kwenye unga wa ngano na mahindi labda! Miezi sita ijayo Azam Cola zitapotea sokoni - save this post!
 
Nilileta mada humu inayohusiana na Coca Cola na Azam, watu wakaniponda kwa kuwa hawakunielewa. Sasa naikumbushia tena.

Kiko wapi? Coca Cola wakae chonjo, wameshakosa at least 5% ya wanywaji coca toka Bakhresa aanzishe cola zake, na trend inaendelea.

Kulinganisha coca cola na azam ni kujidanganya. Pamoja na matatizo ya kiuongozi yanayoikabili CCKL bado huwezi kulinganisha bidhaa yao na azam cola. Tofauti pekee iliyopo hadi sasa ni ujazo; coca cola 350 ml na azam cola 500 ml, lakini kwa viwango vya ubora azam bado chini sana.

Huo mgogoro wa uongozi ukishamalizika, utabaki mwenyewe kunywa hizo azam. Sana sana tutajaribu kuzitumia kunywesha watoto wakati wa sherehe za ubarikio, vipaimara, birthday na sikukuu kama iddi na krismas. Kutokana na ujazo wake zinawafaa watoto wanajaza matumbo haraka.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom