kwa jina naitwa Gang Chomba natokea popote inapopatikana Mirungi...
club raha leooooo Shoooooooow
Salam zangu kwa siku ya leo ziwafikie Ndugu zangu Janjaweed, Limonga Justin Limonga, Balantanda, bokoman Mkongo man, Belo, wajadi fundi, Ndetichia, chivalavala S. Chivalavala, Myao wa Tunduru, mwalimu Mashaka Sabuni, Companero, Thomas Mushi Kimboka, Figga Nigga, Jangala Kilongosi, Matola, Zacharia Ndemfoo na Mzee Mwanakijiji akiwa safarini kuelekea kijiji cha Msoga kuwaamsha waliolala.
ujumbe nawaambia Binzari ni kiungo, lakini hakisajiliwi na timu...
Club rahaaa leoooo shoooooooooooow