samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,607
- 4,820
Mkuu cheki hapo kwenye ukumbi Mlimani City nafikiri watakuwa wameishaanza kufanya sound test na mic check one..two.. hauoni bendera za Club E zinapepea hapo nje..
Asante mkuu itabidi nijongee mida yetu ile.. mida hii bado wauza sura wengi hukawii kupewa kadi ya mchango wa harusi wakati umeenda kula bata