Clouds yaipotezea UKAWA

ukweli unabaki kwamba kama ccm watafanikiwa kuja na katiba inayojali maslahi ya taifa hilo litakua pigo kubwa la ukawa.

CcM hawawezi kuja na mapendekezo ya katiba ya wananchi.Hawana mandate hiyo.Wanakosa uhalali {legitimacy} maana ili wapate akidi ya kupitisha hoja sahihi,LAZIMA WAWANUNUE NA KUWARUBUNI WAJUMBE <hasa wale kutoka Zbar> ili warudi kutimiliza akidi, na hiyo ni baada ya kupindisha kanuni kwa kuamuru BMK lijadili chapters zote kwa pamoja kisha zije zipigiwe kuta mwishoni,hiyo ni mbinu uchwara ya WAPUMBAVU ya kushinikiza hoja.Wana buy time ili waendelee kuwarubuni wajumbe zaidi kutoka Zbar warudi.Ni mbinu pia ya kumsubiria JK arudi toka kwenye utalii huko Washington awaongoze kutanzua mkwamo uliopo.
Mwisho wa siku watakuja kuchakachua kura za maoni na kuipitisha katiba.Usishangae kuona wanasitisha ku-update daftari la wapiga kura kwa kuwahofia vijana
 
Katika kipindi cha power Breakfast maarufu kama PB cha Clouds FM kinachorushwa na redio hiyo mida ya Asubuhi, Mtangazaji Babra Hasan alitangaza kuzipotezea habari zote zinozohusu au kuzungumzia UKAWA akidai ni kuwapa Kick UKAWA, Akiwa na mwenzake Paul James (PJ) na Mbwiga walimuunga mkono uku PJ akimsifu kwa kutoa points. Watangazaji hai walionyesha wazi wazi upande wao uku wakiendelea kuwaponda UKAWA.
 
Hii ni hatua mbovu kibiashara kwa vile inawapunguzia wasikilizaji wake kwa vile kuna ambao wangependa kusikia habari za UKAWA. Kama wamesema kuwa hawatazitangaza habari za UKAWA, wasikilizaji watazitafuta katika redio zingine!
 
Kituo binafsi kijiweka upande mmoja wakiaamini ccm watataongoza milele ni hatari bora kuwa kati kati maana upande wao ukishindwa nao ndio mwisho wao
 

Sasa hayo ndiyo mabadiriko sasa baada kuona kwa maoni yao serikali 3 hazifai, sasa ilichitakiwa kufanyika ukawa wangepambana kwa hoja kutetea serikali 3, kwakuwa wameungana wangewakwamisha kupitisha serikali 2 maana theluthi 2 pande zote isingepatikana, hapo lazima zingerudi 3, na hata kama zingepita kama serikari 3 ni chaguo la waTanzania wote, ktk kupiga kura waTanzania wangezikataa serikari 2!
Sasa hawa ukawa huoni kama wametoka kwa upeo mdogo wa kuelewa mambo? Angalia sasa wananchi wanawaona wao kama wasariti kwa kuwanyima kupatikana kwa katiba mpya??
 
Binafsi nilichange station baada ya kusikia hujinga huo maana kwa sasa nilikuwa nasikiliza vipindi 3 tu clouds PB, Miladi hayo na sports extra.
 
Hao clouds ndio wanajimaliza kama tbc na star t v,chombo cha habari kikijiingiza ktk siasa ni mbaya sana.
 
Hii klaudi redio na tivii yake ni majanga makubwa kwa wenye weledi. Hizi chaneli zinasadifu zaidi mazingira ya lumumba. Akili zinazofanana.
 
Ndo maana Sitta aliiponda ITV kuhusu midahalo duh!... Huo ni mwendelezo PUMBAVU
 
Waacheni clouds jamani wao wame specialize burudani si vema wakajadili fani wasizozijua yaani siasa na utawala. ingekuwa mada ya nani mwanamuziki tajiri marekani wangepotezea hilo mgekuwa na haki ya kuwalaumu. Tuheshimu fani za watu jamani
 

Akili ndogo utaijua tu. Kwa hiyo hao watangazaji wako wawili ndio watanzania wote unaosema wamekerekwa na ukawa. Very poor mind, very poor thinking.
 

Ukisha jua nini maana ya mbwiga basi utakua ume baini kua hiyo redio ni ya mahayawani,mapunguani,mazuzu,mapoyoyo hawana impact kwa UKAWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…