Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
We bili finga acha uhuni
acha uongo mbna wenzako tumelipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha uongo mbna wenzako tumelipwa
Umegeuka mtabiri Mkuu? mimi ni Kwa-MudaWe ni nash Mc?
Umegeuka mtabiri Mkuu? mimi ni Kwa-Muda
Dah umenichekesha sana yani sana. Kama unamaanisha unalosema basi kuna watu humu watakuwa wanafananishwa na watu wengi wasiokuwa wenyeweWe ni nash mc mkuu huwa nakusoma nskausha
Dah umenichekesha sana yani sana. Kama unamaanisha unalosema basi kuna watu humu watakuwa wanafananishwa na watu wengi wasiokuwa wenyewe
Hapana yule uandishi wake uko deep sana japo nimesikiliza nyimbo zake chache sana. Mimi hata sijawahi fanya mziki mkuu na ikitokea niimbe nitaimba gospel za kuabudu. Nadhani hapa utagundua kuwa siwezi kuwa Nash MCUnauandishi wa nash kabisa mkuu
Hapana yule uandishi wake uko deep sana japo nimesikiliza nyimbo zake chache sana. Mimi hata sijawahi fanya mziki mkuu na ikitokea niimbe nitaimba gospel za kuabudu. Nadhani hapa utagundua kuwa siwezi kuwa Nash MC
kwa hili jibu nimeamini tulikuwa pa1Utamu wa ngoma ingia ucheze, siri ya mtu aijuae kata. Mungu akusamehe