Clouds Wanadhalilisha Taasisi ya Urais


Uko sawa kabisa me naona ilikuwa ni vizuri kwa rais kuwaunga mkono kwani walichokifanya ni kizuri sana wameamsha hari kwa vijana sema kuna watu wamezaliwa kupinga kila kitu hata kama ni kizuri
 
Kuna vitu ambavyo lazima tuyaangalie kwa undani. Walichokifanya Clouds ni kitu cha kuigwa kutumia Jingle ya sauti ya Rais wangu ni kuwaambia watanzania kuwa wanazo Baraka zote toka kwa Rais.

Rais anatoa shukurani zake na kutuaminisha watanzania Fursa ilikuwa ya kuigwa.

Tuache kuwa biased. Tanzania ni yetu wew ukiona Negative sisi Tunaona Positive things.
 
hata mie nimeliskia. ni aibu sana kwa taasisi ya urais. ila serikali inachekacheka tu
 
Hata mm linanikwaza kwakwel..
Hua cluds hawatumiagi akili kbs cjui wanadhan tangazo likitangazwa na raisi ndo kweli watakua ivo.
So so boring....
 
Skuizi ndo mana kila brazamen na wapiga debe vituoni ndo mana wanautaka urais hyu mkuu wetu kauvunjia heshima sana
kamata fursa twenzetu...iko powa fursa ndio jambo la msingi kwa sasa
 
Hata mm linanikwaza kwakwel..
Hua cluds hawatumiagi akili kbs cjui wanadhan tangazo likitangazwa na raisi ndo kweli watakua ivo.
So so boring....

kamata fursa twenzetu
 
labda kwanza nijue,,
lile tangazo kalitoa yeye kweli ama ni wale wataalam wa kuigiz sauti,,,
na je alitoa authority kuigizwa???
 
Inawezekana kawekeza pale so ni moja ya wajibu wake ktk suala la promo.
 
Clouds inaweza kuwa biashara yake utajuaje huenda ni mkakati wa biashara ukiwa ikulu
 
Mi binafsi nimelizikia hilo tangazo. Actually ni part ya speech kuhusu fursa ambayo Jk aliitoa pale Diamond Jubilee. Jamaa wa clouds wanaitumia sana ku capitalize their media.
 
Mwl Nyerere aliwaambia ukulu si mahala pa wahuni na machekibob nyie mkamuona anawivu na chuki kwa kaka mkuu.. Haya sasa na mtashuhudia mengi

Hahaha...pale mpaka mdumange utachezwa.
 

Utamkumbuka wewe,mkeo,familia yako na watu kama wewe. Sijawahi wala sintakuja kumuelewa huyu rais wako,anafanya mambo ya ajabu ajabu tu,bora akaongoze Tz mtoto aliyemaliza 4m 4 shule ya kata kuliko huyo check ndugu yenu.f.kabisa.
 
jambo pekee ninalo mpendea raisi wangu wala hana makuu....nenda fb uone machekbob na wauza sura waliobahatika kupiga picha na raisi, walivyozitupia ktk wall zao.kwa rais dikteta kama paul kagame au mzee m7 cjui kama hili linawezekana kwa raia wake.
 

Tatizo ni kwamba kile kiredio huwa sikisikilizi, hivi huwa sauti ya Kikwete inasikika sana saa ngapi ili ni-tune nisikie huo utumbo?
 
Tatizo Rais hasikilizi hiyo redio. Sasa atajuaje kama amewekwa kwenye tangazo? Na je alitengeneza tangazo au speech yake ndio imefanywa tangazo?. Kama alitoa speech ndio watu waka edit nakufanya tangazo mbona kawaida tu.. Na sio Jk tu Marais wengi speech zao zinawekwa kama tangazo,!!
 
Wapika majungu.. mmetoka redio iman, sasa mpo clauds. Majungu ndani ya chama nayo yameiva.... mnayapaku sasa!!!!!
 
Si kuna waziri wa wizara husika kwanini mpaka atumike Jk, au anatengeneza mazingira?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…