Clouds TV yaondolewa katika channel lists za digitali

Clouds TV yaondolewa katika channel lists za digitali

Kwa mujibu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) nchi ina vituo 5 tu vilivyo sajiliwa vya televisheni (ITV, EATV, STAR TV, CHANNEL TEN & TBC1 tu) vituo vingine vyote ni community broadcasters tu a.k.a Tv za chumbani..hata wewe ukiamua kuanzisha sawa tu!

duh. .. Hatari hii. so jamaa hawatambuliki!!!
 
Duuh, ila najua mambo yote yataenda sawa, sina wasiwasi na clouds team chn ya uongoz wa Boss Joh, Boss Ruge na Seba maganga
 
Ndio maana ukiwa unaitizama ilikua ina vi wali vinakatiza vikikimbizana, na sauti kama imo kwenye kikopo cha blue band
 
Hawajamaa wanapatikana Zuku huko kwengine hamtawapata chenga tu
 
Kwa mujibu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) nchi ina vituo 5 tu vilivyo sajiliwa vya televisheni (ITV, EATV, STAR TV, CHANNEL TEN & TBC1 tu) vituo vingine vyote ni community broadcasters tu a.k.a Tv za chumbani..hata wewe ukiamua kuanzisha sawa tu!
kwa hiyo unataka kusema klauzi tv haijasajiliwa?
 
duuh!!TANZANI KWELI KIBOKO ,HATA TELEVISION YA TAIFA MNALIPIA!!!
 
hivi lile swala la king'amuzi universal lishakufa nini..
 
Dhaifu nyingi zitaonekana tuzidivyo kushamiri na mabadiliko ya teknolojia.Kapuni Clouds.Wapi mbwembwe zenu?Hata wajanja wana wajanja wao!
 
clouds wanajua kuwaalika akina papaa mopao tu hawajui dunia inavyobadilika
haya kazi kwao waelezane huko huko studioni vilaza wakubwa.
 
wazenu wanaendelea ninyi mtabaki na majungu tu ya siasa zenu maji taka...
 
serikali ilisema tv za ndani zilizo sajiliwa ni tano tu! so inawezekana kwenye hizo tv tano zilizo sajiliwa tv mfu hawamo. mia

Siku moja niliwasikia wakisema zinazoonekana ni hizo tano ila wao wataonekana kwa wale waliolipia (ina maana kama hutolipia zitaonekana hizo tano ila wao hawataonekana kama zilivyo channel zingine za kulipia za nje kwa kuwa wao ni Tv ya burudani). Nashangaa pamoja na watu kulipia king'amuzi but hawapo hewani
 
Aiseeeee babayangu ngoja nikalipie dstv yangu niangalie channel 350 bila chenga
 
clouds wanajua kuwaalika akina papaa mopao tu hawajui dunia inavyobadilika
haya kazi kwao waelezane huko huko studioni vilaza wakubwa.

Clouds kwishney!!!! Digital hakuna ujanja ujanja!
muosha huoshwa! walimdhulumu sugu dili la malaria
 
Back
Top Bottom