Clouds TV yaondolewa katika channel lists za digitali

Clouds TV yaondolewa katika channel lists za digitali

Kwenye king'amuzi cha ZUKU,clouds TV wanaonekana.!!!
wanaonekana kama tv ya kulipia. salio likiisha haitaonekana kama utakavyo kua unaona tv nyingine za ndani. mia
 
kweli bora wametoka kwenye LOCAL tv hapa ninazungumzia start times meadia walivyotoka Clouds tv ila kwa sisi tunaoangalia kwenye Zuku tunaipata Fleeeesh! maana imeongezwa juzi tu Clouds tv ipo fleeesh ndan ya Zuku
 
Clouds kwishney!!!! Digital hakuna ujanja ujanja!
muosha huoshwa! walimdhulumu sugu dili la malaria

VINEGA oyeeyee ant virus...inascan na kudelete kila kitu!! Na bado, mwaka wao huu 2013.
 
Ukweli ni kwamba binadamu na hasa sisi watanzania hatupendani!!! Tunaombeana matatizo ili tuchekane!!! Hivi ni kosa gani kubwa walilofanya clouds media group hadi muwachukie hivyo???? Jirekebisheni watanzania!!! Mshawahi kusikia ile habari ya "MSIYEMPENDA KAJA???!!"
 
Ukweli ni kwamba binadamu na hasa sisi watanzania hatupendani!!! Tunaombeana matatizo ili tuchekane!!! Hivi ni kosa gani kubwa walilofanya clouds media group hadi muwachukie hivyo???? Jirekebisheni watanzania!!! Mshawahi kusikia ile habari ya "MSIYEMPENDA KAJA???!!"
Msisahau kumchukia....
 
Back
Top Bottom