barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Baba joniii, mambo vipi...Mi nimeleta uzi wa clouds tigo fiesta,nyie machoko mnaleta mambo ya wasafi,sasa clouds tigo fiesta inahusianaje na wasafi festival!!?!?
Usipende kudandia treni kwa mbele fuatilia uzi ulipoanza utagundua nani mwenye chuki
Clouds ilianza na itaendelea kuwepo!
Nyie mnaongea kama watoto,kwani clouds ule uwanja wa leaders wameujaza mara ngapi??!!..mnalazimisha wasafi kuwa level ya clouds,clouds ni level nyingine!..nyie na wasafi wenu kazi yenu ni kopi na pesti,kopini na hii,mwakani hiyo wasafi festival yenu muipeleke taifa..Tutawalinganisha na wasafi festival watake wasitake. Wanatakiwa waruke kamba ìiyorukwa na wasafi. Kazi wanayo.
Huo ni ukweli kubali au ukatae..hamuwezi linganisha level za clouds na wasafi...!! Wasafi hawafiki hata level za E-fm na times!!!Kijiba cha Roho kitakuua
Yaani wasafi walete wasanii kutoka nigeria,halafu clouds ishindwe!!..wamekuja akina rick ross kutoka Marekani unapagawa na waduwanzi wa nigeriaMatapeli nyie . Acheni kauli za mfa maji . Mmefilisika , pesa ya kuleta msanii wa maana hamna . Ndo maana mmeshusha hadi kiingilio , so kwamba mnawapenda sana watanzania bali ni Kuwa mmeloose popularity na mmeamua Kuwa cheap ili kuwavutia watu cheap kwa kuwa watz wengi ni wazee wa vitu vya bei rahisi hata kama quality ni poor .
Kwani na wewe jamaa yangu unaogopa wakabaji?Namuona mhuni wangu mmoja wa keko anapiga jaramba ili kwenda kuwapa kabali huko
Ova
Wengi wao humu ni watoto,hawaelewiBiashara ni akili na mbinu...
Clouds siyo wajinga..
3000✖️60000Apo kwenye kiingilio ndo wamejishusha sana kisa uwanja ujae
In maana ya kwamba ujui kusoma na kuelewa ko urudi shuleni dogo langu sawa
Mm mwnyw nlikuwa mhuniKwani na wewe jamaa yangu unaogopa wakabaji?
Utapasuka mzeeMi nimeleta uzi wa clouds tigo fiesta,nyie machoko mnaleta mambo ya wasafi,sasa clouds tigo fiesta inahusianaje na wasafi festival!!?!?
Usipende kudandia treni kwa mbele fuatilia uzi ulipoanza utagundua nani mwenye chuki
Clouds ilianza na itaendelea kuwepo!
Utanipasua we choko tuuUtapasuka mzee
Kama hivyo freshhh..Mm mwnyw nlikuwa mhuni
Nawaonea huruma mabrazamen na masista
Ova
BaridaaaaBaba joniii, mambo vipi...
Sema kwako sio wote.Baridaaaa
Dah fiesta inachelewa kinyama yaani,bila fiesta hakuna burudani bongo
Sema kwako sio wote.
Drake tena mkuu? Fiesta ni 100% wasanii wa nyumbani.Kwani gharama ya Elfu 3 na uwanja ukijaa. Bado pesa haitoshi kumleta Drake ?
Umekuja bongo kulima lami,badala ya kusoma itakula kwako maana DIAMOND BABA LAO.Yaani "full" nayo hadi uende shule??
Nyie vipi nyinyi...!!
Mimi siku hiyo nitakuwepo kuwapa habari jinsi wana wanavyolizwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kisenge man, wenye viswaufu na cheni zao wakae mkao wa kula. Na wala mabishoo wa kujifanya wanachukua clip za show kwa kunyoosha mikono juu ya vichwa vya wenzao, wazee wa Ndolema wanawapa hi! 🤣🤣🤣 Wameagizwa kufanya kazi na watatekeleza.
Fiesta imekuwa kigodoro au imekuwa kubwa jingaKama fiesta ni kigodoro..... basi wasafi festival ni kitaulo