Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
si kama walikuwa wanashangilia...walikuwa wanamsanifu/wanashangaa/hawakupendezwa na mbunge kutukana....ukiwachekju ju utasema walkuwa wanashangilia bt not.....
dah mbaba anatukana yule hatar...
nataman ningekuwa na namba ya lusinde jaman ningemwambia chek jf afu aje atukaneeeee wote umu ndani...dah lakin yule mding ajabu kweli anatukana km kanywa mkojo wa...
Daa ulikuwa wapi Rose jamani wakati tunashangilia jana. hujaonekana siku nyingi humu ndani
Aisee hivi ulipotelea wapi vile? nilikumiss bana...:focus: nadhani ni bora clouds wameiicheza hiyo clip ili hata wananchi wasiokua na access na mitandao wajue ni watunga shera wa aina gani tulio nao pale mjengoni.
Hii hapa clip: Lusinde Matusi_0002.wmv - YouTube ya youtube
Nadhani sasa Kibajaji atajifunza kuwa muungwana!!!!!!!!!
MI PIA NAMSHUKURU gerlad kwa kuicheza cz skujua lolote...ehh kanibikiri kabsa juu ya bwana lusinde....
mi nipo wewe tu...maden meng mwaya ndomana sionekan asi unajua tena....:censored:
Tafadhali sana,mu burn nakala nyingi za hiyo clip ya matusi yake mtawanye bure jimboni kwake ili watoto,watu wazima na wazazi wake wajue aina ya kiongozi waliyenaye.Ikiwezekana hata mawilayani all over Tanzania mtusambazie watu wata burn kwa gharama zao,kuna vijana naishi nao jirani niliwaonyesha hiyo clip kwenye lapto ya Lusinde anavyobwabwaja,mmoja wao ambaye alikuwa mwanachama wa CCM karudisha kadi juzi.Hakuna alieamini kuwa matusi yale yanatolewa na mtu mwenye dhamana ya kuongoza wananchi.