Nchi hiii mbona vitisho sanaaBaada ya kuona mtuhumiwa kalindwa na mkulu pamoja na uongozi wa Clouds media kuthibitsha kuvamiwa na mkuu wa mkoa ikiwa ni pamoja na ushahidi wa video kusambaa bado mkulu kaona ni habari za udaku na umbea ambao watanzania wameamua kuusambaza ktk mitandao ya kijamii. Clouds mjiandae kuvamiwa mara kwa mara na serikari kwasababu mmemgusa mwana mfalme hivyo mmetangaza vita na mfalme. Ukweli hautakiwi katika hii nchi na ukiwa kinyume na serikari hii ukae tayari kuandamwa, poleni sana na hongera kwa ujasiri mlioonesha nawatakia mapambano mema.
South
Yes, Wafanye hivyo ingawa kama hawatasurrender nahisi watapitia magumu sana ishtoshe niche yao (Burudani) inategemea backup ya serikali unlike IPP ambao wamefocus kwenye Habari na siasaNi muda wa Kutafuta namna ya kujiendesha pasipo kutegemea matamasha mbona IPP na wengine wanajiendesha hivyo
Na wakisurrender watapoteza wadau wengi ikiwa ni pamoja na kukosa ushirikiano baina ya viongozi na media zote zilizo jitoa kukemea tukio hiliYes, Wafanye hivyo ingawa kama hawatasurrender nahisi watapitia magumu sana ishtoshe niche yao (Burudani) inategemea backup ya serikali unlike IPP ambao wamefocus kwenye Habari na siasa
Umetumia akili mingi sana kuona mbali...umenena vema mkuu na mimi nimefunguka akiliTajiri hasusiwi, Clouds wakitaka batlle na serikali watakwama - Maana ukienda kuomba kibali cha tamasha unaambiwa hali ya usalama siyo nzuri, Na hali ya usalama ikikaa sawa tutawataarifu - utasubiri miaka 5. Hiyo endorsements wanayopewa na wakuu wa mikoa na ma RPC kwenye matamasha yao pia labda ikafa kibudu. Nahisi wanaweza kupata wakati mgumu kwenye mambo yafuatayo:
.......
1.KODI
2.MATAMASHA ( Ulinzi na Usalama )
3.MAADILI ( TCRA )
4.ELIMU ya Watangazaji ( Baada ya miaka 5, [ Sheria ya Habari ] )
Sidhani kama watapata usingizi hii leoNa wakisurrender watapoteza wadau wengi ikiwa ni pamoja na kukosa ushirikiano baina ya viongozi na media zote zilizo jitoa kukemea tukio hili
Nyoka hakumbatiwe hata siku mojaSiku zote Urafiki unaojengwa kwa Unafiki lazima uwe na madhara zaidi ya Faida!!
Wewe ndiye mpumbavu kwani ITV na AZAM kuna SHILAWADU unafananisha coverage ya cloudz radio na tvClouds wapumbavu mbona Makonda akwenda Azam au ITV
Wewe ndiye mpumbavu kwani ITV na AZAM kuna SHILAWADU unafananisha coverage ya cloudz radio na tvClouds wapumbavu mbona Makonda akwenda Azam au ITV
Hata hivyo Ruge kamhifadhi sana Daudi Bashite! Ameamua kupotezea suala la vijana wake kuchezea kichapo kutoka kwa askari waliomsindikiza Bsshite! Amemwepusha na jinai ya ujambazi kwa mtutu wa bunduki!Usipotoshe watu..wote tumeona. Tusubiri huo uonevu kama upo.
Ulitaka Clouds waseme yule sio jamaa ktk CCTV?
Acheni uoga wa kijinga.
Ni sawa na mwanaume kweli ashikwe kalio halafu atulie.