Clouds Media watozwa faini

Clouds Media watozwa faini

sulphadoxine

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,257
Reaction score
649
Clouds Media,wamiliki wa Kituo cha Radio na TV clouds wametozwa fine jumla ya Tshs 5,000,000 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) kwa kukiuka maadili ya utangazaji,katika kipindi cha bibi bomba kilicho kuwa kinarushwa na clouds TV na kusema kuwa kiliwazalilisha mabibi(bibi) na Kipindi kingine ni cha Njia panda kilichorushwa na Clouds Radio.

Kipindi cha Bibi bomba kilishawahi kulalamikiwa hapa kwenye huu uzi; Kipindi cha bibi bomba kinadhalilisha bibi zetu

Source Habari channel Ten leo 22/08/2014


 
Hivi hizo pesa za Fine zinakwenda wapi ?, inabidi kama issue ni kuwazalilisha mabibi hizo pesa wawape wazee au kuwasaidia wazee wenye shida na sio kuziweka midomoni mwao... TCRA

Binafsi sikuona hicho kipindi hence siwezi kusema chochote ila si mabibi na wajukuu huwa tuna utani isije ikawa hawa jamaa wanataka kuwa too political correct; ukizingatia labda wasikilizaji wa hii redio hayo ndio mambo yao..


 
Hivi hizo pesa za Fine zinakwenda wapi ?, inabidi kama issue ni kuwazalilisha mabibi hizo pesa wawape wazee au kuwasaidia wazee wenye shida na sio kuziweka midomoni mwao... TCRA

Binafsi sikuona hicho kipindi hence siwezi kusema chochote ila si mabibi na wajukuu huwa tuna utani isije ikawa hawa jamaa wanataka kuwa too political correct; ukizingatia labda wasikilizaji wa hii redio hayo ndio mambo yao..



nadhani wamekusikia mkuu
 
Bibi Bomba ilikuwa ni udhililishaji wa wazee wetu...

Alafu mimi nilijua makada wa CCM wanalindana vipi hii media ambayo ndio propaganda machine yao wanaitozatoza hela bila mpango?!
 
Bibi Bomba ilikuwa ni udhililishaji wa wazee wetu...

Alafu mimi nilijua makada wa CCM wanalindana vipi hii media ambayo ndio propaganda machine yao wanaitozatoza hela bila mpango?!

Ushawahi kuthibitisha kama wanalipa? Umewahi kuona receipt yoyote ya malipo?
 
Ushawahi kuthibitisha kama wanalipa? Umewahi kuona receipt yoyote ya malipo?
hivi kwanini ninyi clous fm na tv, watangazaji wote hasa hao wa kiume, wa vipindi vyote, mnaonekana kama wanaume wenye utata fulani hivi, siwezi kusema mashalobalo, sijui niseme washabiki wa cameron wa uingereza au sijui nisemeje. yaani mnapenda kujipodoa, kupaga poda, kuscrub na hata kujichubua wengine na kuchonga nyusi kama madem. na mnapotangaza yaani mwonekano wenu hamueleweki. achilia mbali vipindi vyenu vile vya radio wale wanaume mida ya jioni wanaongea kama wako kitchen party au wako salon ya kike wambeyaaaa na wanapenda sana kuongea utumbo kama mashoga fulani hivi. na nakumbuka walishawahifungiwa na kipindi cha jicho la ng'ombe. hivi mkoje au icho ni kigenge chenu cha washabiki wa cameron?
 
nafikiri hii ni mara ya pili hiki kituo kulipishwa kimaadili na napenda nione wafungiwe kabisa kwasababu staff yao karibu yote ni immoral,wanakuza sana u-magharibi ukianzia hata watangazaji wenyewe hawajiheshimu wala kuheshimu ...mifano ipo wazi mara wapigane mara matusi mara wanavunja sheria tena kweupe ...they are a million of miles away to be credited,poorly brought up and filthly managed.
 
kwa bibi BOMBA TCRA wamechelewa sana kuja na adhabu na ni fain ndogo,
 
Hahahaaaa hii Redio hata mie na utata nao yaani wale wanaume sio wote wazima kabisa....
 
hivi kwanini ninyi clous fm na tv, watangazaji wote hasa hao wa kiume, wa vipindi vyote, mnaonekana kama wanaume wenye utata fulani hivi, siwezi kusema mashalobalo, sijui niseme washabiki wa cameron wa uingereza au sijui nisemeje. yaani mnapenda kujipodoa, kupaga poda, kuscrub na hata kujichubua wengine na kuchonga nyusi kama madem. na mnapotangaza yaani mwonekano wenu hamueleweki. achilia mbali vipindi vyenu vile vya radio wale wanaume mida ya jioni wanaongea kama wako kitchen party au wako salon ya kike wambeyaaaa na wanapenda sana kuongea utumbo kama mashoga fulani hivi. na nakumbuka walishawahifungiwa na kipindi cha jicho la ng'ombe. hivi mkoje au icho ni kigenge chenu cha washabiki wa cameron?

huenda ni sera ya REDIO
 
ila siku hizi watu tusha wahama si tunasikiliza earadio na efm.
 
Clouds FM ni kituo Bora cha 7 kati ya vituo vya radio 20 barani Afrika. Endeleeni kubwabwaja tu
 
Ile jeuri ya watangazaji wa CLOUDS TV na Clouds radio kuzungumza wanachotaka na kama vile wako juu ya sheria vimewatokea puani kwa kutozwa faini ya jumla ya milioni tano na karipio kali.
SOURCE : ITV taarifa ya habari.
 
Back
Top Bottom