Kwa hiyo wewe unaona huu ufisadi wa kuji-prostitute kwa makampuni ya uchimbaji dhahabu na kudanganya Watanzania for a fee kuwa ni biashara poa tu?
Unatetea ufisadi huu mchana kweupe?
1. Mikataba ya migodi ni mibovu - Nani analaumiwe kwa mikataba mibovu? Barrick au serikali yako na Bunge lako ''tukufu''? Mikataba yao hata kama ni mibovu lakini iko kwa mujibu wa sheria ya madini ya mwaka 1998 iliyopitishwa na mbunge wako. Barrick hawakuingia Bungeni kupitisha sheria hiyo!
2. Tunapata ONLY 3% from revenue ya madini - Nani wa kulaumiwa? Barrick au serikali yako? Na je wajua kwamba kampuni ya Alex Sterwart inalamba 1.7% out 3% tunayokusanya kwa kukagua mauzo ya dhahabu!? Nao huo si mkataba mbovu kati ya serikali yako na Alex Sterwart?
3. Migodi imetililisha sumu katika mito kama Tighitte na watu pamoja na mifugo imekufa - Je serikali yako imechukua hatua gani katika kuwawajibisha wahusika wa hili>? Kama ushahidi upo kwanini wasifikishwe mahakamani?
4. Watu waliwahi miminiwa risasi na walinzi wa migodi na wengine waliuwawa na hamna aliekamatwa kwa kuua - Kama walikiuka sheria za ulinzi wa migodi ulitegemea nini? Kumbuka pale kuna dhahabu kwa hiyo ulinzi mkali wa kutumia silaha unaruhusiwa kwa mujibu wa sheria. Na je walikuwa raia wema au majambazi? Kama kuna ushahidi kwanini kesi hiyo isipelekwe mahakamani?
Unatakiwa kumwomba radhi PJ kwa kumdhalilisha kiasi hiki. Sidhani kama yeye ni masikini kiasi cha ''kununuliwa'' kwa kupandishwa ndege, kupewa chakula na malazi ya mgodini ili kumsafisha mtu au taasisi iliyo ovu. Yeye ametoa maoni yake kulingana na aliyoyaona!
Huo ndio ukweli japo ni mchungu sana! Hakuna bepari yeyote duniani anayefanya kazi bila kutegemea faida kubwa. Msingi wa ubepari ni mtaji unaozaa faida. Suala la kuachiwa mashimo ni kuzungumza wewe na mbunge wako!
- Hapa sasa ndipo unapothibitisha kwamba serikali yako imeoza na haiwezi kufanya chochote kwa sababu ya wizi na ubadhirifu wa mali ya umma. Tanesco hiyo hapo mbona inawashinda kuendesha? Mashirika ya umma mbona yaliwashinda kuendesha? ATCL, TRL mpaka kesho yamewashinda! Mgodi wa Mwadui mliampora mkoloni mbona umeshinda kuendesha? Hao wezi wa BoT si ndio hao hao wangekwenda kuiba huko migodini?
Hakika ninakuambia leo hii, mimi siwatetei Barrick au wachimbaji wengine hata kidogo. Ninachosema, bora wao wanaendesha uchimbaji huu kwa ufanisi na matunda yake tunayoaona kutokana na kodi, ajira na mirahaba wanayolipa. Jukumu hili ingeachiwa serikali yako ungeshangaa migodi imekufa, faidi haijulikani imekwenda wapi na hakuna wa kuwajibiswa! ''I see the glass half full while you see the glass half empty''
Kijana punguza speed. Ni nani hasa alikwambia mimi natetea ufisadi?, kama wewe una hasira zako na Clouds FM ni kivyakovyako, ila ukweli ni kwamba Clouds FM did nothing wrong. Ni kama vile vyombo vya habari vya US vinavyorusha ads mbalimbali kuhusu Obama's birth au health care reform distortions. Kama umeumia sana na wewe nunua air time ufanye counter PR yako kama wewe una uchungu sana na madini ya nchi yako. Siyo kuleta blah blah blah hapa tunataka facts. siyo ubabaishaji na distortions. kama lawama walaumu hao wachimba madini, Clouds wao ni wajumbe tu. Au umenyimwa tender ya kuwatangaza nini?. Maana "hamna hamna ndimo mlimwamo"
Kijana punguza speed. Ni nani hasa alikwambia mimi natetea ufisadi?, kama wewe una hasira zako na Clouds FM ni kivyakovyako, ila ukweli ni kwamba Clouds FM did nothing wrong. Ni kama vile vyombo vya habari vya US vinavyorusha ads mbalimbali kuhusu Obama's birth au health care reform distortions. Kama umeumia sana na wewe nunua air time ufanye counter PR yako kama wewe una uchungu sana na madini ya nchi yako. Siyo kuleta blah blah blah hapa tunataka facts. siyo ubabaishaji na distortions. kama lawama walaumu hao wachimba madini, Clouds wao ni wajumbe tu. Au umenyimwa tender ya kuwatangaza nini?. Maana "hamna hamna ndimo mlimwamo"
Kijana punguza speed. Ni nani hasa alikwambia mimi natetea ufisadi?, kama wewe una hasira zako na Clouds FM ni kivyakovyako, ila ukweli ni kwamba Clouds FM did nothing wrong. Ni kama vile vyombo vya habari vya US vinavyorusha ads mbalimbali kuhusu Obama's birth au health care reform distortions. Kama umeumia sana na wewe nunua air time ufanye counter PR yako kama wewe una uchungu sana na madini ya nchi yako. Siyo kuleta blah blah blah hapa tunataka facts. siyo ubabaishaji na distortions. kama lawama walaumu hao wachimba madini, Clouds wao ni wajumbe tu. Au umenyimwa tender ya kuwatangaza nini?. Maana "hamna hamna ndimo mlimwamo"
Kijana punguza speed. Ni nani hasa alikwambia mimi natetea ufisadi?, kama wewe una hasira zako na Clouds FM ni kivyakovyako, ila ukweli ni kwamba Clouds FM did nothing wrong. Ni kama vile vyombo vya habari vya US vinavyorusha ads mbalimbali kuhusu Obama's birth au health care reform distortions. Kama umeumia sana na wewe nunua air time ufanye counter PR yako kama wewe una uchungu sana na madini ya nchi yako. Siyo kuleta blah blah blah hapa tunataka facts. siyo ubabaishaji na distortions. kama lawama walaumu hao wachimba madini, Clouds wao ni wajumbe tu. Au umenyimwa tender ya kuwatangaza nini?. Maana "hamna hamna ndimo mlimwamo"
Clouds FM yatusaliti!
The whole week PJ wa Power Breakfast (clouds FM) alikua anatembelea migodi ya Barrick. Akaja na bla bla bla kwamba wamepeleka maendeleo katika vijiji vilivyo zunguka migodi. Mie nimemuona yeye na waliemtuma kwamba ni wa puuzi. Sababu ni hizi:
.
Kwanza nianze na hii signature kabla sijachambua ulichoandika hapo juu. Haya ya kuamini uchawi na warogi ndiyo yameharibu akili yako.
FMES,
Maendeleo ya $200,000 a year ambazo fungu kubwa linaishia mifukoni mwa viongozi wa CCM nisingeweza kuyaita makubwa. Nenda Tarime uangalie hali halisi ilivyo. Hata huko Bulyankulu nasikia kuna wanafunzi waliahidiwa full scholarship na Barrick na dakika za mwisho Barrick wakajitoa. $200,000 a year kwa kampuni inayochota zaidi ya $billioni kwa mikataba iliyosainiwa wakati dhahabu ilikuwa ni $300 an ounce na leo ni $1200 an ounce na bado hawalipi kodi is a big joke.
Barrick pia analaumiwa hapa kuwa kukubali mkataba ambao unaipatia kila kitu but 3%. Swali kwako Masaki, je wewe ukienda benki kuchukua pesa let's say 30,000 lakini mhudumu akakupatia 300,000 kwa makosa au ujinga, je utazichukua na usihesabiwe mwizi?
Wewe umejua vipi kuwa hawa walikiuka sheria? Au unatumia visingizio kama vya serikali ya kikaburu ya Afrika kusini kipindi kile cha ubaguzi (ua na kisha tafuta sababu ya kuua)?
PJ aombwe msamaha kwa nini? Aambiwe ukweli (kuwa amechemsha) na kisha aombwe msamaha?
Hapa ndipo umejifunua jinsi ulivyo - house negro
safi sana yaani umenifurahisha sana tangu nilipomsikia pj anasema ule utumbo nilisitisha kusikiliza hiyo power breakfast ambayo kwa sasa imekuwa weak breakfast.clouds fm yatusaliti!
the whole week pj wa power breakfast (clouds fm) alikua anatembelea migodi ya barrick. Akaja na bla bla bla kwamba wamepeleka maendeleo katika vijiji vilivyo zunguka migodi. Mie nimemuona yeye na waliemtuma kwamba ni wa puuzi. Sababu ni hizi:
1. mikataba ya migodi ni mibovu
2. tunapata only 3% from revenue ya madini
3. migodi imetililisha sumu katika mito kama tighitte na watu pamoja na mifugo imekufa
4. watu waliwahi miminiwa risasi na walinzi wa migodi na wengine waliuwawa na hamna aliekamatwa kwa kuua.
leo hii pj na power breakfast, niseme cluods fm wamesimama na kufagilia migodi ya walanguzi. Hii ni haki? Si ni usaliti huu?
pj, unadhani hatujui kwamba ulikaribishwa na wana barrick, ukalipiwa malazi na ukapandishwa ndege yao, unategemea sisi tutaamini kwamba utawaponda? Hao jamaa wanafanya pr ili tuwaone niwasafi na wanatusaidia. Hamna kitu. Ni capitalist wanataka kupata faida lukuki ya madini na watimke baadae na kutuachia mashimo. Mimi na wewe pj tutabaki hapa hapa tz. Hiyo cheap pr unawapa haitafautiani na ile ya richmond kuweka matangazo katika magazeti na kudai ni kampuni halali. Nani aliamini? Wapo watu wenye upeo mdogo wakuchambua mambo wakaamini. Na wewe unatakata tukuamini? Mimi nitoe!
ukasema tena kwamba eti hatuwezi kuiendesha migodi sababu gari moja inayobeba mchanga wa madini linaizwa $1,000,000. Tujilize, walieba hela kupitia kagoda waliiba liasi gani? Tsh. 40billion. Hizo hela zinaweza nunua migari haina hiyo mingapi? Na liyumba je? Anashutumiwa kuiba tsh. 220billion, nae angenunua migari mingapi?
Sasa nikuulize pj, hao jamaa zako wa barrick, hizo investment wanatoa mifukoni mwao au wanakopa? Sisi hatuwezi kukopa au kuiba bot tuka invest katika migodi yetu?
huu ni ujinga watu kama pj na watawala wengine wanataka tuamini kwamba hatuna uwezo wakuchimba madini yetu. Nakataa.
ombi langu kwako pj na wana clouds wenzako nikwamba, watz waleo sio mbumbumbu. Tunaelewa. Tunachambua na tunatafari. Huwezi tupumbaza kamwe.
mjadala unaendelea.
FMES,
Maendeleo ya $200,000 a year ambazo fungu kubwa linaishia mifukoni mwa viongozi wa CCM nisingeweza kuyaita makubwa. Nenda Tarime uangalie hali halisi ilivyo. Hata huko Bulyankulu nasikia kuna wanafunzi waliahidiwa full scholarship na Barrick na dakika za mwisho Barrick wakajitoa. $200,000 a year kwa kampuni inayochota zaidi ya $billioni kwa mikataba iliyosainiwa wakati dhahabu ilikuwa ni $300 an ounce na leo ni $1200 an ounce na bado hawalipi kodi is a big joke.
Hizo $ 200,000 ni kodi inayolipwa kwa halmashauri za wilaya ambako migodi hii iko. Lakini maendeleo yaliyofanywa na migodi hii ni pamoja na ujenzi wa shule za kisasa za sekondari na msingi kwa wananchi, nyumba za kisasa kwa wafanyakazi wote wanaofanya migodini zikiwa na umeme na maji na kisha wakakopeshwa na kukatwa pesa kidogo kidogo. Pia barabara zote zinazoelekea migodini hukarabatiwa na migodi hii.
Isitoshe, Bulyanhulu Gold Mine wamejenga soko la kisasa katika kijiji cha Kakola ambalo sasa hivi lina karibu mwaka mzima tangu likabidhiwe kwa uongozi wa kijiji bado halitumiki. Ukiuliza utaambiwa vikao vya madiwani havijakaa kuamua uendeshaji wa soko, au pengine wanasubiri siku JK akitembelea huko aende akalifungue. Hao ndio Watanzania mnaowatetea!
Tatizo hapa sio wawekezaji, tatizo ni serikali yenu. Nyie mlioko nje ya nchi huwa mnadhani mambo yamebadilika sana hapa nchini, lakini hakika nawaambia siku mkirudi mtasikitika sana kuona kwamba ''mind set'' ya Watanzania bado iko kwenye zama za kale za mawe....Hii ni kuanzia viongozi wao mpaka wapiga kura wenyewe!
Mi nawahurumia ndugu zangu mnaopoteza muda wenu kusikiliza radio hii.
Kuna watu na akili zao timamu wakifanya mahojiano na mtu basi utakaa na kusikiliza.
Hebu kaa siku usikilize Radio deutsche welle usikie kina aboubakar lyongo, umil kher, mohamed abdulrahman, othman miraji, sekione kitojo na watangazaji na wachambuzi wenye elimu, ujuzi na uzoefu katika taaluma ya habari jinsi wanavyotangaza ama kufanya mahojiano na mtu.
Kisha uje usikie uharo wa hao clouds wanaotangaza huku wanajambisha, mara wapige kelele, mara waanze kutekenyana....
Ni uharo mtupu