Clouds fm what do you learn from this

Clouds fm what do you learn from this

Joined
Mar 30, 2012
Posts
56
Reaction score
8
CLOUDS FM mnajifunza nini kwa matukio yote yanayouhuisana na redio yenu pamoja na mkurugenzi wenu Ruge kutuhumiwa kwa dhuluma dhidi ya wasanii? ingekuwa msanii mmoja tungesema sawa lakini cople of artists wanablame kuhusu nyie! there must be a problem somewhere..........alianza SUGU akiwa na machungu ya kudhulumiwa dili ya MALARIA, then wakafuata kundi la artists kibao kwa jina la VINEGA wakirelease album ya ANTIVIRUS ambayo kwa asilimia 100 imeonyesha chuki na lawama dhidi ya CLOUDS na RUGE.....wasanii waliokuwemo ni pamoja na mapacha, sugu mwenyewe, rama Dee, Dani Msimamo na wengine wengi,,,,then juzi juzi tu tumesikia zengwe la Lady Jay Dee dhidi ya RUGE......na jana katika msiba wa ngwea nasikia Adam Mchomvu amekula makonde ya kutosha kutoka kwa MAJANI ni kutokana na Mangwea kudhulumiwa album yake iitwayo a.k.a MIMI na VENTURE pamoja na RUGE..kwa hiyo kuonekana kwa Adam Mchomvu(Presenter) ilionekana kama unafiki fulani....kuna griavancies nyingi ambazo ni underground.....mara mpige marufuku nyimbo za baadhi ya wasanii bila sababu......kwa mtazamo wangu nyimbo ingepigwa biti ikiwa haina maudhui mazuri kwa jamii so mtatuambiaje kuhusu hili......do you promote music or kill it....what do you learn from this.........do you think of even changing? maoni yangu kaeni chini matafakari then mjisafishe na kuja na strategies zingine kwa manufaa ya wasanii, Radio, na wasikilizaji
 
Kumbe kuna mtu kalamba makonde tena? hahahahaa media ya kinafki sana ile
 
very true, unyanyasaji sio kwa wasanii pekee hata kwa baadhi ya makampuni ambayo yanapeleka matangazo hapo ingawa hela inalipwa alakini ili matangazo yatoke vizuri ni la zma matangazaje apewe bidhaa Fulani na kampuni hio say simu, vocha, modems, bank accounts, tshirts n.k n.k....sasa basi ifikie sehemu clouds ijifanyie review kwa kutumi independent person tena kampuni toka nje ya nchi ili mwisho wa siku iwape fair report yenye kuonyesha wazi mapungufu yao na kuwapa ushauri namna ya address hayo mapungufu......otherwise tuliowengi tutaendelea sikiliza amplifaya tu sababu ya mtangazaji pekee ambae ni makini na asiefungamana na upande wowote.........................
 
oohh baba John hahahahahahaa,pole if at all is true,i think umekuwa scapeboat,but anyway tupo pamoja kaka
 
Ila topic haijakaa kisiasa vile,sasa sijui moderators wamesinzia kidogo au
 
Mkuu, kwanza naomba nikushukuru kwa kuleta hoja ya msingi kama hii hapa jamvini. Lakini pili, kwa haraka haraka na kwa jinsi ambavyo nilimsikia Ruge akihojiwa na Power Breakfast siku chache zilizopita alipokua anajibu sakata lake na Jide, ni dhahiri kuwa hawa jamaa wamefikia mahala washaanza kulewa hela za dhuluma wanazopata na kujisahau kuwa kuna siku wanaweza kuamka wakashangaa kusikia redio yao kipenzi pamoja na televisheni yao zikawa zimeshapoteza mvuto kabisa katika ramani za Media in Tanzania. Najua kuwa wana haki, uhuru na wajibu wa kufanya watakavyo katika kuendeleza mziki wa Tanzania simply because wao ni redio huru inayomilikiwa na watu binafsi. Wanaweza wakaamua kasipige au wapige bongo fleva kulingana na mapenzi yao lakini wanachosahau kuwa leo hii wasanii wabongo wote wakiamua kujiunga na kuwa kitu kimoja watakuwa na nguvu kubwa sana katika soko la mziki wa Tanzania kiasi cha hata kuiweka Clouds Media katika mazingira magumu ya kibiashara hapa Bongo.
Tatizo linalowakabili wasanii wengi wa Bongo ni kukosa umoja kati yao, kuuza haki zao za msingi katika muziki na kutojua haki na wajibu wao kama wao katika soko huria la muziki Tanzania. Wengi wao hawana elimu na kushindwa kuwa na misimamo yao wenyewe mwisho huishia kuburuzwa na wadhulumati wachache hapa Bongo.
Ni kweli, Clouds wana mambo mengi ya kujifunza na zaidi ya yote kujisafisha katika haya yote yanayotokea. Sugu mheshimiwa na wengineo wachache wameonyesha njia katika hilo lakini wamekosa support katika harakati zao.
Kwa hali ya sasa inavyoonekana kimaisha wasanii wengi wanategemea muziki kuendesha shughuli zao za kila siku na hii ndo inayowafanya kucompromise harakati nzima.
Naamini wasanii wa bongo wanaweza kufanya kitu kati yao. Matatizo mengi yanayowakumba wanamuziki wengi wa sasa yanaweza kupata suluhu kama tu wataamua kuwa pamoja na kushikamana katika harakati zao dhidi ya mfumo dhalimu ndani ya Tanzania na mifumo kandamizi inayoletwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vya habai vichache hapa Bongo.
Ni matumaini yangu wapate kulifahamu hili ili wafanikiwe katika harakati zao za kila siku.
 
Radio ya wasanii ukitaka wa kumeneji watakubeba hata kama hubebeki! Wanakuchunaaaaaaa mwishoe unabaki hohe hahe! Ukiwa na bifu nao hawapigi nyimbo zako utaishia huko!
 
Kama MAJANI Kampa Makonde ADAM MCHOMVU , huo utakuwa ni uonevu wa hali ya juu sana ! Kwani Adam ni nani katika Clouds Fm ? Mbona mnawaonea sisimizi ambao waliokotwa mtaani wakaletwa Clouds kutangaza tu ili kujikimu ! Wakati wahusika wa Dhuluma mnawajua ? sijaridhishwa na hii tabia ya Majani , nitamtafuta nimkanye , hii haikubaliki .
 
Your arguments are null and void.........after all clouds ni private redio kama unahuruma anzisha redio yako
CLOUDS FM mnajifunza nini kwa matukio yote yanayouhuisana na redio yenu pamoja na mkurugenzi wenu Ruge kutuhumiwa kwa dhuluma dhidi ya wasanii? ingekuwa msanii mmoja tungesema sawa lakini cople of artists wanablame kuhusu nyie! there must be a problem somewhere..........alianza SUGU akiwa na machungu ya kudhulumiwa dili ya MALARIA, then wakafuata kundi la artists kibao kwa jina la VINEGA wakirelease album ya ANTIVIRUS ambayo kwa asilimia 100 imeonyesha chuki na lawama dhidi ya CLOUDS na RUGE.....wasanii waliokuwemo ni pamoja na mapacha, sugu mwenyewe, rama Dee, Dani Msimamo na wengine wengi,,,,then juzi juzi tu tumesikia zengwe la Lady Jay Dee dhidi ya RUGE......na jana katika msiba wa ngwea nasikia Adam Mchomvu amekula makonde ya kutosha kutoka kwa MAJANI ni kutokana na Mangwea kudhulumiwa album yake iitwayo a.k.a MIMI na VENTURE pamoja na RUGE..kwa hiyo kuonekana kwa Adam Mchomvu(Presenter) ilionekana kama unafiki fulani....kuna griavancies nyingi ambazo ni underground.....mara mpige marufuku nyimbo za baadhi ya wasanii bila sababu......kwa mtazamo wangu nyimbo ingepigwa biti ikiwa haina maudhui mazuri kwa jamii so mtatuambiaje kuhusu hili......do you promote music or kill it....what do you learn from this.........do you think of even changing? maoni yangu kaeni chini matafakari then mjisafishe na kuja na strategies zingine kwa manufaa ya wasanii, Radio, na wasikilizaji
 
Binafsi wasanii wananisikitisha sana,tena nilizidi kusikitika niliposoma katika gazeti moja wik iliyopita eti,Mwana FA,Matonya,TID wamekataa kushiriki show ya Jide kwa sababu zisizo na maana lkn kubwa ni zengwe la CLOUDS ka Jide,iliniuma sana maana hapo mwanzo wakikubali kushiriki lkn baadae kwa nguvu ya pesa na upumbavu wao wakamtosa msanii mwenzao tena aliyehusika kwa kiasi kikubwa na mafanikio ya wote hao na kutii amri ya mwanaharamu Ruge......umoja wenu upo wapi wasanii?
CLOUDS FM ni kansa kwa uendelevu wa wasanii hapa nchini na kansa hii itaendelea kama tu wasanii hawayajitambua na kuchukua hatua dhidi ya unafiki wa radio hii ambayo binafsi sijaisikiliza nina zaidi ya mwaka,nitasikiliza nini hasa.......majungu ya gerald hando au upuuzi wa Kibonde.....
 
Binafsi wasanii wananisikitisha sana,tena nilizidi kusikitika niliposoma katika gazeti moja wik iliyopita eti,Mwana FA,Matonya,TID wamekataa kushiriki show ya Jide kwa sababu zisizo na maana lkn kubwa ni zengwe la CLOUDS ka Jide,iliniuma sana maana hapo mwanzo wakikubali kushiriki lkn baadae kwa nguvu ya pesa na upumbavu wao wakamtosa msanii mwenzao tena aliyehusika kwa kiasi kikubwa na mafanikio ya wote hao na kutii amri ya mwanaharamu Ruge......umoja wenu upo wapi wasanii?
CLOUDS FM ni kansa kwa uendelevu wa wasanii hapa nchini na kansa hii itaendelea kama tu wasanii hawayajitambua na kuchukua hatua dhidi ya unafiki wa radio hii ambayo binafsi sijaisikiliza nina zaidi ya mwaka,nitasikiliza nini hasa.......majungu ya gerald hando au upuuzi wa Kibonde.....

Dah!kumbe!,hata mwana FA!? ila jide kaza buti,itafahamika 2
 
clouds ni wanyonyaji hawana jipya ata ishu ya mangwea waljtaid kujpendekeza lakni wananchi waliwakosoa na adi wengne kufkia kuwapga ngum presenters wao....mnakataliwa adi kwenye misiba ....you guys wasanii wa sasa si wale mliokuwa mnawapa 50000 wanazunguka nchi nzma RUGE,KUSAGA KIFO CHA HIYO RADIO YENU YA WAFU KMEFKA
 
Kama MAJANI Kampa Makonde ADAM MCHOMVU , huo utakuwa ni uonevu wa hali ya juu sana ! Kwani Adam ni nani katika Clouds Fm ? Mbona mnawaonea sisimizi ambao waliokotwa mtaani wakaletwa Clouds kutangaza tu ili kujikimu ! Wakati wahusika wa Dhuluma mnawajua ? sijaridhishwa na hii tabia ya Majani , nitamtafuta nimkanye , hii haikubaliki .

Alimnyea mbovu Majani walipokuwa kwenye mkutano wa maandaliz ya mazish ya Mangwea,akaona huyo dogo ndo wale wale kina Rugemalila.
 
Hiyo story ya kupigwa Adam mboma sio ya jana kama wewe ulivoandika? Mkuu usikurupuke ukisikia kitu fanyia uchunguzi kwanza kabla ya kuja kuandika
 
sasa yeye mchovu alivyopigwa mbata na majani hakujibu mapigo? Kumbe ujanja mdomoni tu!
 
Jamani, kumpiga Mchomvu haikuwa sawa kama ni kweli
Hata kama kaajiriwa na Clouds, ikumbukwe anaongozwa na sheria/taratibu ya mwajiri wake
Na anaweza kuwa binafsi, hakuwa na Bifu na Ngwea hata kidogo.

Only in TZ
 
its time for all artist to unites.
 
Matatizo ya Muziki wa Tanzania ni Clouds fm (Ruge) yani akikuita ufanye show fiesta anakupangia hela ya kukulipa na ukikataa, nyimbo zako hazipigwi, Kili Music hautakaa upendekezwe, kwa Mamu kule hutakaa upeleke album, ukiandaa show nae anaanda ili akuumize. Hautakaa upate sponsor kwa show yoyote unatayoandaa coz yuko well connected na marketing manager wa makampuni makubwa yote.. Full vikwazo na mastress mpaka unakufa...
 
Back
Top Bottom