Mbona mwana FA ni msomi lakini bado ametekwa na clouds, nasikia mpaka shoo yake kaweka tarehe moja na jide ili tu kumkomoa, tatizo sijui ni nini hawa wasanii wetu! Nilikua najua ni elimu lakini hata wasomi nao hawajitambui!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.