Clouds FM wamburuza mahakamani Lady JayDee, kesi yapigwa kalenda hadi Mei 27...

Wale wanafuata starehe tu,ambayo inatolewa bure!hawaifuati Clouds...wengine wanataka kumuona Ben pal au godzila..ni passion ya muziki,si mapenzi kwa wamiliki..tofautisha haya mambo!!

Clouds kwa asilimia kubwa sana inaendeshwa na pesa za matangazo ya biashara, kwa mujibu wa Ruge.

Sasa mbona matangazo ya biashara hayajapungua? Manake kama Clouds ingekuwa ni mbaya hivyo kama ambavyo nyie manazi wa CHADEMA mnavyodai humu kusingewa na hata tangazo moja la biashara kwenye hicho kituo.

Acheni propaganda zenu za kinazi hapa.
 
Ahsante kwa ufafanuzi coz wengine hatujui tofauti ya utaratibi wa kesi za madai na jinai. Sisi tunabaki kuwa watazamaji. Wasiwasi wangu ni kwamba jambo hili litaathiri industry ya music in Tanzania esp those who are sponsored and promoted by either parties. Worth enough, even to the gospel music indusry..maoni yangu
 
Dhulumati wamemdhulumu nani, wapi, lini, na nini?

Hoya majomba . . . iko hivi, nilionana na Jide na Gardener Saturday. Ile part 2 ya Wosia wake ingewaacha wazee wazima pabaya na aibu kubwa sana. So, the trick is to shout her mouth via mahakama.

Toka lini kesi mpya za madai TZ ikafunguliwa Alhamisi then Jumatatu isikilizwe? With all makesi yaliyopo mahakamani?

Of course Ruge & Joe watashinda cause they are clear and have made it known: let bygone be bygone. The lady also knows she may loose but she is prepared.

Kuna wanaosema Lady ana fluctuation ya madeni ya benki wamemshika pabaya, nobody knows.

The Lady, Jide have her plan B and C and D. So she is still Ok according to her. She also have support of 3 Media Houses united, leave aside "Women Movements" and Sympathizers!

Ninachojua both Clouds & Jide wako karibu na Mkulu na Chama, so 95% chance is that, this beef itaisha and the lady was kind of open minded for reconciliation offered by Makala. Ruge naye alikubali maana anajua wangeumbuka. The Gal has all the data according to her.

Cha msingi ni wakae wayamalize na kumaliza ubabe ambao hauna tija kwa taifa wala wao wenyewe.
 
The Italian Job. Unaiba then wewe uliyeiba unaibiwa then unakasirika unaanza kupanga mbinu za kuiba mali uliyoibiwa ambayo kimsingi na wewe uliiiba. Patam sana hapo!
 
Hoya majomba . . . iko nhivi, nilionana na Jide na Gardener Saturday. Ile part 2 ya Wosia wake ingewaacha wazee wazima pabaya na aibu kubwa sana. So, the trick is to shout her mouth via mahakama.

Part 2? Wao Clouds wamejuaje kuwa kuna part 2 na contents zake? Na kwani mahakama ishatoa gag order mara hii hadi imzuie asiiweke hadharani hiyo unayoiita part 2? Kama ishatoa hiyo gag order, imeitoa lini ilhali huyo binti leo ndo kaenda huko mahakamani?

Toka lini kesi mpya za madai TZ ikafunguliwa Alhamisi then Jumatatu isikilizwe? With makesi yaliyopo mahakamani?

Wewe...kwani kesi imesikilizwa leo? Kama imesikilizwa, matokeo yake yamekuwaje?

Of course Ruge & Joe watashinda cause they are clear let bygone be bygone. The lady also knows she may loose but she is preapared.

That we shall see. But I'm all for them duking it out in the courtroom.

Kuna wanaosema ana fluctuation ya madeni ya benki wamemshika pabaya, nobody knows.

Labda kweli ndo maana anahaha ku manufacture beef ili auze album na maonyesho yake. Si umesikia anachaji 50K kwenye hicho ki concert chake mbuzi hapo Nyumbani lounge...so I can't put anything past that.

The Lady, Jide her her plan B and C and D. So she is still Ok. She also have support of 3 Media Houses united, leave aside "Women Movements" and Sympathizer!

She is just a has been who is seeking relevance again. She ain't got it no more.

Ninachojua both Clouds & Jide wako karibu na Mkulu na Chama, so 95% chance is that, this beef itaisha and the lady was kind of open minded for reconciliation offered by Makala. Ruge naye alikubali maana anajua wangeumbuka. The Gal has all the data according to her.

Unavyomfanya aonekane kama yeye yuko squeaky clean ilhali hayuko makes me SMFH!!

Cha msingi ni wakae wayamalize na kumaliza ubabe ambao hauna tija kwa taifa wala wao wenyewe.

Cha msingi ni yeye huyo binti kukubali hali halisi kwamba hawezi kuwa juu kwenye medani za burudani milele na milele. Na aache kuropoka na kuzushia watu.
 
Tena kesi amepewa Nyamlani..yule jamaa wa TFF na rafiki wa kina Joe...baada ya Tamasha la "Made in Tanzania" lililoudhuliwa na Waziri Mkuu!kutofautisha unyonyaji wa Clouds na Ma-CCM ni ngumu sana

Pinda kama Pinda kweli badala ya kwenda Mpanda kuhudhuria kilele cha siku ya wauuguzi Tanzania yeye akaamua kushiriki tamasha la wezi na wababaishaji akina ruge na Kibonde,kwa kweli katika uongozi tunaye mburula sana mzee wa kulialia.
 
chadema mpo? Mheshimiwa Halima Mdee hii ni nafasi ya kuzidi kujenga profile ya chama chetu kwamba kipo upande wa wazulumiwa mpeni usaidizi wa kisheria!
 
Sina bifu naye. Ni kwamba tu naona kanunua bifu ili kupromoti album yake mpya.

Sasa ili apate free publicity akaamua ku pick fight na Goliath, so to speak.

Kwa vile Clouds ni chama kubwa nadhani calculations zake ni kwamba umma utamuonea huruma, utakuwa upande wake, na kununua album yake mpya.

Her beef ain't genuine. It's phoney baloney coconut bacon.

stupindlly!
 
Sina bifu naye. Ni kwamba tu naona kanunua bifu ili kupromoti album yake mpya.

Sasa ili apate free publicity akaamua ku pick fight na Goliath, so to speak.

Kwa vile Clouds ni chama kubwa nadhani calculations zake ni kwamba umma utamuonea huruma, utakuwa upande wake, na kununua album yake mpya.

Her beef ain't genuine. It's phoney baloney coconut bacon.

Hayo ni mawazo yako sifikiri anafanya hivyo ili jamii imuonee huruma,unakumbuka bifu la Sugu na hawa jamaa,kiukweli Jide kawashika vibaya sababu hawa jamaa wanawanyonya wanamuziki wa kibongo sana huu ni wakati wa mapinduzi ile dhana kula nami nile ndio inayotakiwa sio ule wewe makapi ndio unipe mie.
Big up Jide we are behind you sis!
 
Hayo ni mawazo yako sifikiri anafanya hivyo ili jamii imuonee huruma,unakumbuka bifu la Sugu na hawa jamaa,kiukweli Jide kawashika vibaya sababu hawa jamaa wanawanyonya wanamuziki wa kibongo sana huu ni wakati wa mapinduzi ile dhana kula nami nile ndio inayotakiwa sio ule wewe makapi ndio unipe mie.
Big up Jide we are behind you sis!

Wanawanyonya kivipi? Nani kanyonywa? Na huyo au hao walio au wanaonyonywa wananyonywa nini? Chuchu? Koni? Au...?
 
hii ni case ya madai! na katika hili clouds lazima wana sema wamechafuliwa na watadai fidia.
Na hii itatupiliwa mbali kabisa. hivi Ruge amesahau naye alitumia radio yake kutoa tuhuma kwa jyde wengine wakidhani ana jibu tuhuma kumbe na yeye ana fanya alicho fanya jyde. jyde alitumia mitandao ya kijamii na Ruge alitumia clouds radio.

Hapa ni wazi Ruge anataka kumpotezea komando muda wa kufanya mazoezi kwaajili ya showa ya Mei 31 lakini atashindwa na madai yake yatatupiliwa mbali.
Ruge kashindwa kabisa kaona ajaribu mlango mwingine kwa kufungua defamation case.
Daa kweli jyde ni zaidi ya komando haya yote sababu ya...ya...ya #joto hasira#
 
Back
Top Bottom