Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

Toto la kiume kwa umbea hili,halina mpinzani.

wee mleta mada popoma GENTAMYCINE
hivo vi-redio viwili ulivyo vitaja ambavyo unadai eti vipo kwenye bifu, kiboko yao inakuja.ni 107.3 UFM (ipo hewani hata saa hizi)ya le bilionea bahkresa.

alitaka kuwapa ajira nono hao mapopoma wenzio uliowataja ktk bandiko lako,lakini kutoka na huo upopoma wao,wataishia kutangaza kwenye hivo hivo vi redio uchwara ulivo vitaja.
 
Hao Clouds ni wanafki sana na wengi wao ni makanjanja mnoo na baada ya sports HQ ya Efm kuanza wala sina ninacho hitaji kutoka Clouds. Efm ndio habari ya mjini bana.
 
Ungekuwa Ni Ushindani Mbwiga Angekuwa Anamcheka Ibrahim Masoud " Maestro " Kuwa Kafanya Kazi Clouds Media Kwa Zaidi Hata Ya Miaka 12 Lakini Kaja KUNUNUA Gari Baada Ya Miaka 8 Kazini Wakati Yeye Mbwiga Mbwiguke Kafanya Kazi Sasa Ni Mwaka 1 Tu Tayari Ana GARI? Mkuu Labda Nikuambie Tu YANAYOENDELEA Baina Ya Hawa WATANGAZAJI WA MICHEZO WA HIZI REDIO MBILI Ni MAKUBWA Na Narudia Tena Kama WASIPOKALISHWA Chini Na KUONYWA au KUREKEBISHWA Naiona Hatari Na Watafika Pabaya.

Kama ni kwel bas mbwiga ni mbwiga kwel .coz kufanya kaz sio kununua gar labda ibra kawekeza kwy mijengo
 
Umekosea Kabisa Mkuu Na Kama Ni Safari Basi Sisi Tunaelekea Kigoma Wewe Unataka Kutupeleka " Kisiju " Naona Mnazidi Tu Kupata Shida Hivyo Ngoja Niwafumbieni Tena Na Kama Hapa Msipoelewa au Kung'amua Kitu Basi Hakika Sasa Mtakuwa Ni MAPOPOMA Kweli Na Msinisumbue Tena Kuniuliza Sawa? Tafuteni Gari Zote Za Ubalozini Kisha Angalieni Zile Herufu Zake Za Katikati Ambazo Huwa Ni Mbili Tu Kisha Ongeza Mbele Namba Nne ( 4 ) Halafu " Jiongezeni ". Sitaki Tena Swali Juu Ya Maana Ya " Dally Kimoko " Ukiweza Kulifumbua Hilo FUMBO TAKATIFU Hapo Wewe " JINIASI " Na Tutakuwa Pamoja.
Hahahaah nimekusoma kaka mkubwa
 
Jeff Lea kashasepa yupo azam, clouds hamna kitu ktk uchambuzi kazi kubeba vitu goal.com kule e.FM maestro yupo vizuri na yule Oscar Oscar ni hatari kwny michezo wamepigwa gap clouds
nakubaliana na wewe clauds habari zao zote ni goal.com....ukisoma kule tuuu wala huna haja ya huku...

big up E fm
 
na kukusaidia tu mkuu hapo kwa Zamaradi na Dina Marios umechemka vibaya.. Ukweli ni kwamba Dina Marios amezaa na Rubein Ndege a.k.a Ncha Kali so hiki ulichokiandika ni kule kuonyesha kuwa unajua kila kitu wakati vingine sivyo
 
E-fm ni moja kati ya radio changa ila ina watangazaji magwiji waliofanya kazi kwenye media kubwa so sioni kama kuna kitu cha kujifunza clouds. Radio kuwa mpya sio kigezo mkuu
 
Uwepo Wa Ibrahim Masoud " Maestro " Na Mwenzie Dina Marios Huko E FM Ndiyo KICHOCHEO Kikubwa Cha Yote Haya Kwani WATANGAZAJI Hawa HAWAJAONDOKA Vizuri Clouds Media Group Huku Maestro Akiendeleza CHUKI Zake ALIZOKUWA NAZO DHIDI YA Mbwiga Mbwiguke Na Mtangazaji Mwenzie Shaffi Dauda Huku Mwanadada Dina Akiendeleza Chuki Zake Kwa Bosi Na Hawara Yake ( Bosi KIWEMBE ) Juu Ya KUMTHAMINI Sana Mwanadada Mbau Mbau Wa KIHA Aliyeonekana KUMSHIKA Vilivyo Bosi KIWEMBE Na Sasa Kamzalia Mtoto Wa Pili Hadi Bosi KIWEMBE Sasa Anakaribia Kumuachia MAJUKUMU Mengine Mrembo Mtangazaji " Mbau Mbau ". Hii VITA SI YA KITOTO Na Ni Bonge La FILAMU!
mmmmmh nashaka kidogo ruge kutoka na dina sio kweli dina alikua anatoka na sebastian ndege mpk ndo kazaa nae nashindwa kuamian at a tym alitoka nao wote big no.....
 
Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".
mwiba mchicha namjua ebu ni uyo dally kimoko mkuu
 
Kwani wale wanaoliwa kama mboga kwa mujibu Wa Sugu ni akina nani!?
 
Mleta mada unaonekana unapenda sana udaku na majungu

Ila nakupongeza kwa kupoteza muda wote huo kupanga na kuchanganua jungu hadi likakolea chumvi

Kraap
 
na kukusaidia tu mkuu hapo kwa Zamaradi na Dina Marios umechemka vibaya.. Ukweli ni kwamba Dina Marios amezaa na Rubein Ndege a.k.a Ncha Kali so hiki ulichokiandika ni kule kuonyesha kuwa unajua kila kitu wakati vingine sivyo
Huyo jamaa huwa ni muongo wa kutupwa....
 
Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".
off air ulisikiaje mkuu
 
Uwepo Wa Ibrahim Masoud " Maestro " Na Mwenzie Dina Marios Huko E FM Ndiyo KICHOCHEO Kikubwa Cha Yote Haya Kwani WATANGAZAJI Hawa HAWAJAONDOKA Vizuri Clouds Media Group Huku Maestro Akiendeleza CHUKI Zake ALIZOKUWA NAZO DHIDI YA Mbwiga Mbwiguke Na Mtangazaji Mwenzie Shaffi Dauda Huku Mwanadada Dina Akiendeleza Chuki Zake Kwa Bosi Na Hawara Yake ( Bosi KIWEMBE ) Juu Ya KUMTHAMINI Sana Mwanadada Mbau Mbau Wa KIHA Aliyeonekana KUMSHIKA Vilivyo Bosi KIWEMBE Na Sasa Kamzalia Mtoto Wa Pili Hadi Bosi KIWEMBE Sasa Anakaribia Kumuachia MAJUKUMU Mengine Mrembo Mtangazaji " Mbau Mbau ". Hii VITA SI YA KITOTO Na Ni Bonge La FILAMU!
VP kuhusu dina na ncha Kali nlckia wanamahuciano. Una nchanganya na hii tarifa ya boss kiwembe
 
Ili Uone Kwamba BIFU Hili Sasa Linaelekea Pabaya Hawa WATANGAZAJI Wote Wakiwa Off Air Hupigana Madongo Ya UKWELI UKWELI Kwa Mfano Upande Mmoja Unaushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni " MWIBA MCHICHA " Huku Upande Wa Pili Nao Ukiushutumu Mwingine Kuwa Kuna Mtangazaji Mmoja Ni Mpigaji Maarufu Wa Gitaa La Solo La " Dally Kimoko ".
Gita la solo Mkuu umeniacha hebu nielewesh kdogo mkuu
 
Back
Top Bottom