Clouds FM, Millard Ayo na Diva wamemaliza ugomvi na Diamond Platnumz?

Mkuu mtu mwenye majority shares ndio final. Hata kama kampuni umeianzisha wewe.

Sheria ya makampuni iko hivyo.
Kama kusaga ana say ya mwisho ilikuwaje Wasafi walikuwa wanapiga Ngoma za jide wakati jide alikuwa na beaf na kusaga na clouds fm kiujumla?

Swali la pili kama kusaga ni final say kwanini wafanyakazi wengi wa pale Wasafi walioajiliwa wanakuwa ni fans wa diamond au wenye ukaribu na diamond na wengine ni ndugu wa Diamond mfano Ricardo momo, juma lokole,Romy jones,Diamond tweets, luakamba, Amani madebe , Didah shaibu,Issa Platnumz n.k

Swali la tatu kipindi harmonize yupo Wcb Ngoma zake zilikuwa zinapata airtime kubwa Sana Wasafi media kwanini sasa hiv hayupo Wcb hapati airtime hiyo kama mwanzo kama kusaga ndio final say?

Swali la nne kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Wasafi zinapewa kipaombele Sana Wasafi media na promotion kuliko wasanii wote ikiwemo msanii pendwa wa kusaga nandy?

Swali la tano kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Rama dee zinapigwa Wasafi media ikiwa Rama dee ana beef zito na kusaga na clouds.

Naomba niashie hapa nitaongeza maswali mengine ukijibu kwanza hayo

Mkaruka
joseph1989
Chige
Slowly
Tempus Fugit
 
Kama kusaga ana say ya mwisho ilikuwaje Wasafi walikuwa wanapiga Ngoma za jide wakati jide alikuwa na beaf na kusaga na clouds fm kiujumla?

Swali la pili kama kusaga ni final say kwanini wafanyakazi wengi wa pale Wasafi walioajiliwa wanakuwa ni fans wa diamond au wenye ukaribu na diamond na wengine ni ndugu wa Diamond mfano Ricardo momo, juma lokole,Romy jones,Diamond tweets, luakamba, Amani madebe , Didah shaibu,Issa Platnumz n.k

Swali la tatu kipindi harmonize yupo Wcb Ngoma zake zilikuwa zinapata airtime kubwa Sana Wasafi media kwanini sasa hiv hapati airtime hiyo kama mwanzo kama kusaga ndio final say?

Swali la nne kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Wasafi zinapewa kipaombele Sana Wasafi media na promotion kuliko wasanii wote ikiwemo msanii pendwa wa kusaga Mandy?

Swali la tano kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Rama dee zinapigwa Wasafi media ikiwa Rama dee ana beef zito na kusaga na clouds.

Naomba niashie hapa nitaongeza maswali mengine ukijibu kwanza hayo
Mchawi ni KITABU CHA MAHESABU.

Narudia tena MCHAWI ni kutabu cha Mahesabu.

Hata Ruge alikuwa haelewani na Wasafi lakini Kusaga hajawahi kuwa na mgogoro na Wasafi.

Shareholders mara nyingi hawaingilii namna kampuni inavyoendeshwa unless waone kampuni inapoteza mapato au CEO aliyepo anahatarisha mtaji wao.

Mfano: Leo CocaCola au Pepsi wako Bongo, unadhani MD wa CocaCola huko duniani anajihangaisha kujua nani haelewani na nani au kamwajiri nani?

Wao wanachofanya ni kusoma kwenye vitabu vya mahesabu tu kama kampuni imepata hasara, au faida au ina changamoto zipi.
 
Mchawi ni KITABU CHA MAHESABU.

Narudia tena MCHAWI ni kutabu cha Mahesabu.

Hata Ruge alikuwa haelewani na Wasafi lakini Kusaga hajawahi kuwa na mgogoro na Wasafi.

Shareholders mara nyingi hawaingilii namna kampuni inavyoendeshwa unless waone kampuni inapoteza mapato au CEO aliyepo anahatarisha mtaji wao.

Mfano: Leo CocaCola au Pepsi wako Bongo, unadhani MD wa CocaCola huko duniani anajihangaisha kujua nani haelewani na nani au kamwajiri nani?

Wao wanachofanya ni kusoma kwenye vitabu vya mahesabu tu kama kampuni imepata hasara, au faida au ina changamoto zipi.
Hujajibu maswali yangu kabisa kutokana na comment yako yako ya hapo juu
 
Hujajibu maswali yangu kabisa kutokana na comment yako yako ya hapo juu
Una uelewa mgumu sana unless hujasoma nilichoandika.

Mkuu mimi nilikataa kuwa Mwl. kwahiyo kutumia nguvu kubwa kutoa maelekezo kwa mtu siwezi.
 
Kama kusaga ana say ya mwisho ilikuwaje Wasafi walikuwa wanapiga Ngoma za jide wakati jide alikuwa na beaf na kusaga na clouds fm kiujumla?

Swali la pili kama kusaga ni final say kwanini wafanyakazi wengi wa pale Wasafi walioajiliwa wanakuwa ni fans wa diamond au wenye ukaribu na diamond na wengine ni ndugu wa Diamond mfano Ricardo momo, juma lokole,Romy jones,Diamond tweets, luakamba, Amani madebe , Didah shaibu,Issa Platnumz n.k

Swali la tatu kipindi harmonize yupo Wcb Ngoma zake zilikuwa zinapata airtime kubwa Sana Wasafi media kwanini sasa hiv hayupo Wcb hapati airtime hiyo kama mwanzo kama kusaga ndio final say?

Swali la nne kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Wasafi zinapewa kipaombele Sana Wasafi media na promotion kuliko wasanii wote ikiwemo msanii pendwa wa kusaga nandy?

Swali la tano kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Rama dee zinapigwa Wasafi media ikiwa Rama dee ana beef zito na kusaga na clouds.

Naomba niashie hapa nitaongeza maswali mengine ukijibu kwanza hayo

Mkaruka
joseph1989
Chige
Slowly
Tempus Fugit
Ruge ndo aliyekuwa na ugomvi na Wasafi..Wakati huo Kusaga na Wasafi ni Washkaji na wanafanya biashara pamoja..Ruge Clouds ilikuwa ni yake?

Ruge alikuwa anaitumia clouds kwa interest zake pia binafsi lakini zinailetea pesa Clouds..wamiliki hapa wanatulia tu coz faida inapatikana

Kinachoangaliwa ni Balances kwenye accounts.
 
In short Diamond ni face tu na CEO wa kampuni ila kwenye vitabu vya mahesabu kuna watu wako makini.

Ukitaka kuja kulijua hilo, Wasafi media ikiyumba tu. Wahusika lazima wataajiri CEO mpya.

Kusaga kwenye media industry amekuwa mjanja mjanja sana. Amenunua frequency nyingi muhimu amekaa nazo tu.

Kwenye hili suala sijui FCC wako wapi?
Diamond ana hisa 45 % sio mwajiriwa, acha ushabiki maandazi wa kitoto.
 
Ruge ndo aliyekuwa na ugomvi na Wasafi..Wakati huo Kusaga na Wasafi ni Washkaji na wanafanya biashara pamoja..Ruge Clouds ilikuwa ni yake?

Ruge alikuwa anaitumia clouds kwa interest zake pia binafsi lakini zinailetea pesa Clouds..wamiliki hapa wanatulia tu coz faida inapatikana

Kinachoangaliwa ni Balances kwenye accounts.
Wewe pia ujaelewa kwa mujibu wa Mkaruka anasema Wasafi media mwenye say wa mwisho ni kusaga nami nikamuuliza maswali ma5 kutokana na kauli hii lakini hajanijibu hata moja badala yake kajibu out ya maswali yangu.
 
Wewe pia ujaelewa kwa mujibu wa Mkaruka anasema Wasafi media mwenye say wa mwisho ni kusaga nami nikamuuliza maswali ma5 kutokana na kauli hii lakini hajanijibu hata moja badala yake kajibu out ya maswali yangu.
Wewe ndo utumie akili kuelewa usione ni coincedence tu ya sisi kuwa na majibu yaliyofanana..

Hakuna ugomvi personal kwenye biashara,na Kusaga amejificha nyuma ya mkewe hawezi kupiga ban hizo nyimbo za kina Lady Jay Dee wala kuingilia sijui mambo ya kuajiri hao vidagaa,,yeye anawaweka wazito pale kama kina nelly kamaliza ili asimamie mambo makubwa.
 
Mkuu mtu mwenye majority shares ndio final. Hata kama kampuni umeianzisha wewe.

Sheria ya makampuni iko hivyo.
Majority shareholder ana rights zake..hasa za kuamua uelekeo wa biashara. Sheria hiyo hiyo ya makampuni inamlinda minority shareholder anaweza kupinga mahakamani maamuzi ya majority shareholder endapo akiona interest zake kwenye kampuni ziko hatarini.

Diamond ni one of the directors pia ni shareholder at the same time. Ana voting rights kwenye shareholders meeting na kwenye board of directors, though hana what is called a casting vote.

Kampuni ikihitaji pesa za kujiendesha na kukafanyika kile kiitwacho "Call of shares" diamond ni miongoni mwa watakaotakiwa kulipia hisa ambazo hazijalipiwa (unpaid shares) walizo subscribe kwenye Memart ili kampuni ijiendeshe.

Huyo majority shareholder japokuwa ana powers kubwa than other shareholders...but she is smart enough to know that Wasafi media revolves around Diamond and his WCB brand.

Removing Diamond from the picture is like sowing the seeds of her own destruction. Ndiyo maana majority shareholder amekaa pembeni na kumuachia Diamond aonekane mbele and she is reaping handsome returns gawio likilipwa.
So she will not use her powers recklessly without considering the nature of their business.

So unaposema kuwa kampuni ikiyumba wahusika watamuondoa Diamond na kuajiri CEO mpya...ni sawa na kusema miongoni mwa hao wahusika Diamond hayumo though hana powers kama za majority shareholder. Hata huyo CEO mpya akiajiriwa bado atalipwa na hela za Wasafi media ambazo diamond anazimiliki kwa 45%.
 
Kama kusaga ana say ya mwisho ilikuwaje Wasafi walikuwa wanapiga Ngoma za jide wakati jide alikuwa na beaf na kusaga na clouds fm kiujumla?

Swali la pili kama kusaga ni final say kwanini wafanyakazi wengi wa pale Wasafi walioajiliwa wanakuwa ni fans wa diamond au wenye ukaribu na diamond na wengine ni ndugu wa Diamond mfano Ricardo momo, juma lokole,Romy jones,Diamond tweets, luakamba, Amani madebe , Didah shaibu,Issa Platnumz n.k

Swali la tatu kipindi harmonize yupo Wcb Ngoma zake zilikuwa zinapata airtime kubwa Sana Wasafi media kwanini sasa hiv hayupo Wcb hapati airtime hiyo kama mwanzo kama kusaga ndio final say?

Swali la nne kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Wasafi zinapewa kipaombele Sana Wasafi media na promotion kuliko wasanii wote ikiwemo msanii pendwa wa kusaga nandy?

Swali la tano kama kusaga ni final say kwanini Ngoma za Rama dee zinapigwa Wasafi media ikiwa Rama dee ana beef zito na kusaga na clouds.

Naomba niashie hapa nitaongeza maswali mengine ukijibu kwanza hayo

Mkaruka
joseph1989
Chige
Slowly
Tempus Fugit
Hii dhana ya Majority Shareholder kuwa na FINAL SAY watu wana-generalize KUPITA KIASI!! By theory, Majority Shareholder ANAWEZA kuwa na Final Say lakini who makes what decisions, wakati mwingine inategemeana na Company Bylaw or Opening Agreement/Articles of Association.

Operating Agreement inakuwa na mambo mengi lakini kwa muktadha huu, pia hutaja VOTING RIGHTS na Wajibu wa Shareholders.

Kwa maana nyingine, ingawaje Mke wa Kusaga ndie Majority Shareholder lakini OA inaweza kutoa Equal Voting Right. Na kama Diamond alipata advocate mzuri, sina shaka hata kidogo Mke wa Kusaga na yeye watakuwa na Equal Voting Right kwa sababu mafanikio ya Wasafi yatachangiwa sana na Diamond kuliko Kusaga/Mke wa Kusaga!

Sasa kwa mtu mwenye impact kubwa namna hiyo lazima awe protected dhidi ya maamuzi ya mtu mmoja!
 
In short Diamond ni face tu na CEO wa kampuni ila kwenye vitabu vya mahesabu kuna watu wako makini.

Ukitaka kuja kulijua hilo, Wasafi media ikiyumba tu. Wahusika lazima wataajiri CEO mpya.

Kusaga kwenye media industry amekuwa mjanja mjanja sana. Amenunua frequency nyingi muhimu amekaa nazo tu.

Kwenye hili suala sijui FCC wako wapi?
Unataka iyumbe lini wakuajiri?
 
Majority shareholder ana rights zake..hasa za kuamua uelekeo wa biashara. Sheria hiyo hiyo ya makampuni inamlinda minority shareholder anaweza kupinga mahakamani maamuzi ya majority shareholder endapo akiona interest zake kwenye kampuni ziko hatarini.

Diamond ni one of the directors pia ni shareholder at the same time. Ana voting rights kwenye shareholders meeting na kwenye board of directors, though hana what is called a casting vote.

Kampuni ikihitaji pesa za kujiendesha na kukafanyika kile kiitwacho "Call of shares" diamond ni miongoni mwa watakaotakiwa kulipia hisa ambazo hazijalipiwa (unpaid shares) walizo subscribe kwenye Memart ili kampuni ijiendeshe.

Huyo majority shareholder japokuwa ana powers kubwa than other shareholders...but she is smart enough to know that Wasafi media revolves around Diamond and his WCB brand.

Removing Diamond from the picture is like sowing the seeds of her own destruction. Ndiyo maana majority shareholder amekaa pembeni na kumuachia Diamond aonekane mbele and she is reaping handsome returns gawio likilipwa.
So she will not use her powers recklessly without considering the nature of their business.

So unaposema kuwa kampuni ikiyumba wahusika watamuondoa Diamond na kuajiri CEO mpya...ni sawa na kusema miongoni mwa hao wahusika Diamond hayumo though hana powers kama za majority shareholder. Hata huyo CEO mpya akiajiriwa bado atalipwa na hela za Wasafi media ambazo diamond anazimiliki kwa 45%.
Akijibu nitag
 
Majority shareholder ana rights zake..hasa za kuamua uelekeo wa biashara. Sheria hiyo hiyo ya makampuni inamlinda minority shareholder anaweza kupinga mahakamani maamuzi ya majority shareholder endapo akiona interest zake kwenye kampuni ziko hatarini.

Diamond ni one of the directors pia ni shareholder at the same time. Ana voting rights kwenye shareholders meeting na kwenye board of directors, though hana what is called a casting vote.

Kampuni ikihitaji pesa za kujiendesha na kukafanyika kile kiitwacho "Call of shares" diamond ni miongoni mwa watakaotakiwa kulipia hisa ambazo hazijalipiwa (unpaid shares) walizo subscribe kwenye Memart ili kampuni ijiendeshe.

Huyo majority shareholder japokuwa ana powers kubwa than other shareholders...but she is smart enough to know that Wasafi media revolves around Diamond and his WCB brand.

Removing Diamond from the picture is like sowing the seeds of her own destruction. Ndiyo maana majority shareholder amekaa pembeni na kumuachia Diamond aonekane mbele and she is reaping handsome returns gawio likilipwa.
So she will not use her powers recklessly without considering the nature of their business.

So unaposema kuwa kampuni ikiyumba wahusika watamuondoa Diamond na kuajiri CEO mpya...ni sawa na kusema miongoni mwa hao wahusika Diamond hayumo though hana powers kama za majority shareholder. Hata huyo CEO mpya akiajiriwa bado atalipwa na hela za Wasafi media ambazo diamond anazimiliki kwa 45%.
Umetoa majibu Safi Kwa kilaza..!! Leo hii diamond akiamua brand ya jina lake ahamishie media nyingine , matokeo yataonekana soon...!! Brand yake Tu pale inamlipa kuliko hata share alizoweka
 
Back
Top Bottom