Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 681
- 168
Maswali MANNE KWA TCRA.
1. Ni kwa nini Vodacom Foundation wakusanye michango toka kwa walalahoi na kisha itumike kama michango toka Vodacom Foundation kwenda kwa wahanga?
2. Jee Vodacom Foundation/Clouds Fm wanayo mamlaka ya kisheria kukusanya michango ya aina hii, jee sheria ya nchi inasemaje juu ya ukusanyaji wa michango ya aina hii?michango ya walalahoi iko salama kiasi gani hapa?..nijuavyo mimi Vodacom/Clouds SIYO non-profit organizations?
3. Matarajio yao ni kukusanya kiasi gani na ni nini wanatarajia kufanya na hiyo michango, na endapo kiwango walichoweka kikizidi hilo ongezeko watafanyia nini, na ni kiasi gani kimekwisha changiwa hadi hivi sasa?
4. Mchanganuo wa huo mchango wa shilingi 250/= uko vipi, Vodacom wanafaidika vipi hapa, vipi kuhusu gharama za uendeshaji wa zoezi hili mpaka kukabidhi hii michango je ni kasi gani, mnyambulisho mzima wa mahesabu ya fedha uko vipi hapa?
1. Ni kwa nini Vodacom Foundation wakusanye michango toka kwa walalahoi na kisha itumike kama michango toka Vodacom Foundation kwenda kwa wahanga?
2. Jee Vodacom Foundation/Clouds Fm wanayo mamlaka ya kisheria kukusanya michango ya aina hii, jee sheria ya nchi inasemaje juu ya ukusanyaji wa michango ya aina hii?michango ya walalahoi iko salama kiasi gani hapa?..nijuavyo mimi Vodacom/Clouds SIYO non-profit organizations?
3. Matarajio yao ni kukusanya kiasi gani na ni nini wanatarajia kufanya na hiyo michango, na endapo kiwango walichoweka kikizidi hilo ongezeko watafanyia nini, na ni kiasi gani kimekwisha changiwa hadi hivi sasa?
4. Mchanganuo wa huo mchango wa shilingi 250/= uko vipi, Vodacom wanafaidika vipi hapa, vipi kuhusu gharama za uendeshaji wa zoezi hili mpaka kukabidhi hii michango je ni kasi gani, mnyambulisho mzima wa mahesabu ya fedha uko vipi hapa?