Clouds FM: Katika hili mnastahili pongezi

Maswali MANNE KWA TCRA.

1. Ni kwa nini Vodacom Foundation wakusanye michango toka kwa walalahoi na kisha itumike kama michango toka Vodacom Foundation kwenda kwa wahanga?

2. Jee Vodacom Foundation/Clouds Fm wanayo mamlaka ya kisheria kukusanya michango ya aina hii, jee sheria ya nchi inasemaje juu ya ukusanyaji wa michango ya aina hii?michango ya walalahoi iko salama kiasi gani hapa?..nijuavyo mimi Vodacom/Clouds SIYO non-profit organizations?

3. Matarajio yao ni kukusanya kiasi gani na ni nini wanatarajia kufanya na hiyo michango, na endapo kiwango walichoweka kikizidi hilo ongezeko watafanyia nini, na ni kiasi gani kimekwisha changiwa hadi hivi sasa?

4. Mchanganuo wa huo mchango wa shilingi 250/= uko vipi, Vodacom wanafaidika vipi hapa, vipi kuhusu gharama za uendeshaji wa zoezi hili mpaka kukabidhi hii michango je ni kasi gani, mnyambulisho mzima wa mahesabu ya fedha uko vipi hapa?
 
Katika uzoefu wangu wa kufanya kazi za utoaji misaada (Humanitarian relief) katika nchi mbalimbali Africa na Asia (ikiwemo nchi yangu Tanzania) Shirika la Red Cross ndilo pekee nimelielewa kwa kuwa na Mtandao mpana sana wa Wafanyakazi wanaotoa Misaada kwa ujira mdogo au kwa kujitolea (Network of volunteers)

Wakati huohuo nimekumbana na Mashirika/Makampuni ambayo pamoja na Utoaji misaada wanakuwa na interest ya kutengeneza Faida kinyume na wanavyotakiwa au wanavyojieleza.

Sasa basi, kwa watu kama Voda, mpango walioanzisha ni mzuri lakini inakuwa vigumu kuuelewa utaratibu wao mpaka hapo watakapoweka wazi. Kwamba, Wao ni business oriented na shughuli ya kufikisha misaada huwa inahitaji watu mbalimbali katika kusimamia zoezi hilo, Je wataajiri watu kwa kazi hiyo?

Ninaamini kabisa kuna tofauti kubwa ya msaada wa kimaendeleo unaotolewa na Vodacom foundation kwa kuwa huu asiliyake ni kwenye Faida Vodacom wamepata kupitia njia zao za kawaida za kibiashara, kwa maana kwamba hata wanao-run Voda foundation wanapata compansation yao kutoka kwenye faida hiyohiyo, sasa basi chombo hicho hicho kinapotaka kutoa msaada kwa njia ya kuchangiwa ni wazi kuwa kutatokea mkanganyiko na pia conflict of interest.
 
Maswali MANNE KWA TCRA.

1. Ni kwa nini Vodacom Foundation wakusanye michango toka kwa walalahoi na kisha itumike kama michango toka Vodacom Foundation kwenda kwa wahanga?

2. Jee Vodacom Foundation/Clouds Fm wanayo mamlaka ya kisheria kukusanya michango ya aina hii, jee sheria ya nchi inasemaje juu ya ukusanyaji wa michango ya aina hii?michango ya walalahoi iko salama kiasi gani hapa?..nijuavyo mimi Vodacom/Clouds SIYO non-profit organizations?

3. Matarajio yao ni kukusanya kiasi gani na ni nini wanatarajia kufanya na hiyo michango, na endapo kiwango walichoweka kikizidi hilo ongezeko watafanyia nini, na ni kiasi gani kimekwisha changiwa hadi hivi sasa?

4. Mchanganuo wa huo mchango wa shilingi 250/= uko vipi, Vodacom wanafaidika vipi hapa, vipi kuhusu gharama za uendeshaji wa zoezi hili mpaka kukabidhi hii michango je ni kasi gani, mnyambulisho mzima wa mahesabu ya fedha uko vipi hapa?

Kwenye swali lako la nne ni kweli kuna hujuma fulani inayofanywa na kampuni nyingi za mawasiliano katika kukwepa kodi haswa kwenye suala la Matangazo na mapato yao .

Na mwisho ni wewe uelewe TCRA kazi yake ni kusimamia mawasiliano hayo mambo mengine yanavitengo vyake kwenye idara mbalimbali ambavyo TCRA haihusiki moja kwa moja navyo
 
Clouds FM wamejiunga na Red Alert na mkurugenzi wao Joseph Kusaga yuko studio anawapigia simu watu maarufu ili wachange na tayari ameshachangisha zaidi ya 5m. Wanachangisha pia kwa njia ya sms.

Naona wanasema hawatoki studio mpaka kukamilisha kiasi cha mil 70 naona watu wengi sana wamechangia mpaka sasa - hii ifundishe wengine pia siku zijazo kutumia vyombo vya habari na sehemu zingine kwa ajili ya kutangaza vitu kama hivi naona JF na TPN walijisahau kwa kufikiri kwamba hii inajitosheleza hakuhitajika vitu kama TV na Radio kwa ajili ya kuendesha Kampeni hiyo
 
Naona wanasema hawatoki studio mpaka kukamilisha kiasi cha mil 70 naona watu wengi sana wamechangia mpaka sasa - hii ifundishe wengine pia siku zijazo kutumia vyombo vya habari na sehemu zingine kwa ajili ya kutangaza vitu kama hivi naona JF na TPN walijisahau kwa kufikiri kwamba hii inajitosheleza hakuhitajika vitu kama TV na Radio kwa ajili ya kuendesha Kampeni hiyo

Sidhani kama JF na TPN walijisahau bali waliitaji backup ya mawazo kama ya kwako ili kufikisha habari kwa walengwa and at the same time kuwe na muamko wa kuchangia. Lakini pia VF kama si Clouds kupop in michango yao haikuwa imechangamka.

Hawa jamaa wa TPN, JF nk, wao walitumia njia zote ambazo ni za kawaida. Hawa Clouds ya kwao inamlazimisha hasa msanii kuchangia ili record yake ipigwe hivyo kwa vyovyote lazima msanii angalau akope ili record zake zipigwe. Plus ni njia mojawapo ya kujitangaza kwa baadhi ya watu hivyo watapata watu wengi.
 
Duu,hii nchi hatuna umaoja kabisa....kila mtu anachangisha pesa kwaajili ya wahanga wa maafa...kwanini tusiwe na Basket Fund Moja?kesho kutwa utasikia watu wa dini nao wameanzisha za kwao...kazi kweli kweli.
 
Leo asubuhi katika kipindi cha Power Breakfast, watangazaji wa kipindi cha XXL wametangaza kwamba redio hiyo itasitisha kwa muda kupiga nyimbo za wanamuziki wa Tanzania ili kushawishi wanamuziki na watu wengine maarufu waweze kuchangia watu walioathirika na mafuriko ya Kilosa.

Radio hiyo ilieleza kwamba wamepanga kukusanya sh. 50 mil katika kipindi cha siku mbili au tatu kuanzia leo. Watangazaji B12 na DJ Fatty wameeleza kwamba mwanamuziki yoyote atakaye taka nyimbo yake ichezwe redioni atatakiwa kutuma meseji 10 ili kuchangia waanga wa mafuriko ya Kilosa. Si kutuma meseji tu, michango ya aina yoyote inapokelewa kama nguo, chakula, mablanketi na vitu vingine.

Katika hili Clouds FM wanastahili pongezi, naamini hii itaamsha moyo wa kusaidia matatizo yanayotokea kwenye jamii yetu ambapo ni nadra sana kwa wanamuziki wetu wa kibongo kujitokeza kusaidia.

hujafafanua vizuri. hawatapiga nyombo za kitanzania hadi watakapochangia sh. 2000/- kwa njia yoyote
 
Mzee Mwanakijiji,

Nikiwa mkongwe ningependa kutoa machache
Nimekwua nikifuatilia kampeni zote mbili,ya TPN,JF na Issa Michuzi;kampeni yenu imekuwa ni kampeni ya wazi kabisa na michango yenu inakwenda sehemu husika (red cross).Hivyo nawaunga mkono katika hilo na mmefanya kazi nzuri

2.Hili sual la Vodacom;jipya lenye lengo kama lenu(wengine wanasema wamedandia) linanipa wasiwasi sana.na ningependa upige simu Vodacom na umuulize binti wa Makamba akupe majibu ya maswali yafuatayo;

a)Je Vodacom Foundation imesajiriwa serikalini kama taasisi ya kutoa Misaaada?

b)Kama Imesajiriwa je pesa zake zinatoka wapi?

c)KWa kuwa wameamua kukusanya pesa toka kwa watanzania(siyo kibiashara);Je wapo tayari kukaguliwa hesabu zao kwa pesa zote ambazo zimechangishwa na wananchi?Rejea taarifa ambazo zipo kuwa makampuni haya yanapeleka takwimu za uongo ili walipe kodi ndogo.

d)Vodacom kama Kampuni moja ya masharti na vigezo vya uwekezaji ni kusaidia shughuli za kijamii nchini kutokaana na faida wanayopata;Je kwanini wameamua kuwachangisha wananchi tena

3.Kwa kuwa hizi namba kitaalam ambazo zinaitwa short code zinatolewa na Serikali na TCRA wanahusika na utoaji wake;kwanini seriakli isiwekeze katika kutengeneza platform ambayo itakuwa inafacilitate suala a watu kuchangia moja kwa moja serikalini?

Mwisho kabisa,wakati Rais Obama anatangaza wamerekani kuchangia HAITI alikuwa mkali na kueleza kuwa serikali itasimamia pesa yote itakayokusanywa na wananchi.Je serikali yetu kupitia waziri husika inafuatilia michango hii?

naomba kusema kwamba Vodacom kama Kampuni nyingine wanahitajika kutoa misaada ya khali na mali katika hili na serikali ilitakiwa isimamie shughuli za kuchangia kwa njia ya simu ila tatizo serikali yetu imejaa watu wasio wabunifsi na wabinafsi;

Vodacom walikurupuka na hili nahisi ni kuelekea 2010 ambapo binti wa makamba na kaka yake wote wana mipango ya kisiasa!s

BTW the line;check PM yako

Ni mzee mwenzako;
Gembe
 
Kwa ujmla idea ya kuchangia wahanga ni nzuri na tunatakiwa kuiunga mkono. Tatizo ni kwamba Kampuni kubwa kama vodacom badala ya kutoa fedha toka kwenye kapu lake imeamua kuchangisha, hata hivyo hatujui usalama wa michango hiyo. Pamoja na udhaifu huo, kuna kitu wanapandikiza kwa wabongo si kingine ni moyo wa kutoa misaada kwa wahanga wa majanga mbalimbali nawapongeza CLOUD FM mpaka kufikia jioni hii walikuwa wameshafikisha 27m. Kudos clouds
 
this is uhuninisim, tuna wagonjwa wanahitaji misaada hata ya tsh 4000 tu mhimbili wanunue panadoli tumeshindwa kuwachangi, hapo pana agrnda ya siri umakini tu kwa wananchi unahitajika
 
Kwa ujmla idea ya kuchangia wahanga ni nzuri na tunatakiwa kuiunga mkono. Tatizo ni kwamba Kampuni kubwa kama vodacom badala ya kutoa fedha toka kwenye kapu lake imeamua kuchangisha, hata hivyo hatujui usalama wa michango hiyo. Pamoja na udhaifu huo, kuna kitu wanapandikiza kwa wabongo si kingine ni moyo wa kutoa misaada kwa wahanga wa majanga mbalimbali nawapongeza CLOUD FM mpaka kufikia jioni hii walikuwa wameshafikisha 27m. Kudos clouds
 
Kwa ujmla idea ya kuchangia wahanga ni nzuri na tunatakiwa kuiunga mkono. Tatizo ni kwamba Kampuni kubwa kama vodacom badala ya kutoa fedha toka kwenye kapu lake imeamua kuchangisha, hata hivyo hatujui usalama wa michango hiyo. Pamoja na udhaifu huo, kuna kitu wanapandikiza kwa wabongo si kingine ni moyo wa kutoa misaada kwa wahanga wa majanga mbalimbali nawapongeza CLOUD FM mpaka kufikia jioni hii walikuwa wameshafikisha 27m. Kudos clouds
 
Mzee Mwanakijiji,

Nikiwa mkongwe ningependa kutoa machache
Nimekwua nikifuatilia kampeni zote mbili,ya TPN,JF na Issa Michuzi;kampeni yenu imekuwa ni kampeni ya wazi kabisa na michango yenu inakwenda sehemu husika (red cross).Hivyo nawaunga mkono katika hilo na mmefanya kazi nzuri

2.Hili sual la Vodacom;jipya lenye lengo kama lenu(wengine wanasema wamedandia) linanipa wasiwasi sana.na ningependa upige simu Vodacom na umuulize binti wa Makamba akupe majibu ya maswali yafuatayo;

a)Je Vodacom Foundation imesajiriwa serikalini kama taasisi ya kutoa Misaaada?

b)Kama Imesajiriwa je pesa zake zinatoka wapi?

c)KWa kuwa wameamua kukusanya pesa toka kwa watanzania(siyo kibiashara);Je wapo tayari kukaguliwa hesabu zao kwa pesa zote ambazo zimechangishwa na wananchi?Rejea taarifa ambazo zipo kuwa makampuni haya yanapeleka takwimu za uongo ili walipe kodi ndogo.

d)Vodacom kama Kampuni moja ya masharti na vigezo vya uwekezaji ni kusaidia shughuli za kijamii nchini kutokaana na faida wanayopata;Je kwanini wameamua kuwachangisha wananchi tena

3.Kwa kuwa hizi namba kitaalam ambazo zinaitwa short code zinatolewa na Serikali na TCRA wanahusika na utoaji wake;kwanini seriakli isiwekeze katika kutengeneza platform ambayo itakuwa inafacilitate suala a watu kuchangia moja kwa moja serikalini?

Mwisho kabisa,wakati Rais Obama anatangaza wamerekani kuchangia HAITI alikuwa mkali na kueleza kuwa serikali itasimamia pesa yote itakayokusanywa na wananchi.Je serikali yetu kupitia waziri husika inafuatilia michango hii?

naomba kusema kwamba Vodacom kama Kampuni nyingine wanahitajika kutoa misaada ya khali na mali katika hili na serikali ilitakiwa isimamie shughuli za kuchangia kwa njia ya simu ila tatizo serikali yetu imejaa watu wasio wabunifsi na wabinafsi;

Vodacom walikurupuka na hili nahisi ni kuelekea 2010 ambapo binti wa makamba na kaka yake wote wana mipango ya kisiasa!s

BTW the line;check PM yako

Ni mzee mwenzako;
Gembe


Mkuu,

Maoni yako yako sahihi na yanatoa mwanga kwa wale walio kuwa gizani kwa nini tunapingana na Vodacom kwenye hili.

Napingana na wewe kabisa hapo kwenye red. Serikali isihusike moja kwa moja kabisa kwenye hili. Wao wana mfuko/ kitengo cha Chini ya Ofisi ya Warizi Mkuu/ Makamu wa Raisi (sina uhakika) kibakie hivyo hivyo. Serikali yetu haiaminiki na kodi zetu sidhani wataweza kuaminika na michango wakati wa maafa.

Natoa wito kwa RedCross Tanzania; wakati sasa umefika wasimame kuboresha zaidi miundo mbinu yao na hasa kuangalia vyanzo vya fedha na misaada kutoka ndani ya Tanzania. Wamekuwa kwa miaka yote wakitegemea sana fedha za nje...wabadili muelekeo. Wajiimarishe kama mwamvuli wa kusaidia maafa Tanzania ambao hawafungamani na Wanasiasa kwa namna yoyote. Wanaweza iwapo wataamua kuiangalia Tanzania kwa namna tofauti kidogo, kwamba na wao wanaweza kujitoa kusaidia Watanzania wenzao.
 
Kwa ujmla idea ya kuchangia wahanga ni nzuri na tunatakiwa kuiunga mkono. Tatizo ni kwamba Kampuni kubwa kama vodacom badala ya kutoa fedha toka kwenye kapu lake imeamua kuchangisha, hata hivyo hatujui usalama wa michango hiyo. Pamoja na udhaifu huo, kuna kitu wanapandikiza kwa wabongo si kingine ni moyo wa kutoa misaada kwa wahanga wa majanga mbalimbali nawapongeza CLOUD FM mpaka kufikia jioni hii walikuwa wameshafikisha 27m. Kudos clouds


Nakubali wazo zuri sana, ila kulazimisha watu kuchanga kwa kutopiga records zao ,hilo ni baya kuliko yote pamoja na kutoajua usalama wa pesa zetu

Clouds wanajua lazima watachangiwa sababu kuna watu watakao changa tuu sababu wawe karibu nao na kuna wasanii ambao wanajua kabisa wasipo changa ndio imetoka , hawata kua surported na hiyo redio kama inavyo julikana hawa clouds walivyo na vinyongo na visirani na kulipiza kisasi.

Tungependa kujua michango yetu inakwendaje isije kuwa tunachangia kununuliwa kwa brand new HD 3D studio cameras .

Kitu kingine ni kuna uhalali gani wa hizi Cell Phone companies wao kuwa kila kitu kuanzia banking , Lotery ,? liesence zina ruhusiwa kinamna gani kisheria?
 
misaada hailazimishwi wakuu.....mbona huwa wanabania hao hao wasanii kupiga nyimbo hadi wawe chini yao au watoe kitu kidogo??
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom