Clouds acheni kutumika kumchafua Heche

Clouds acheni kutumika kumchafua Heche

Hata kama Heche kazipiga kweli mbona Mwamba alipozipiga hatukusikia hizi kelele zote?

CDM ishapata hadi hati za ukaguzi zenye mashaka kutoka kwa CAG na hatukuwasikia hawa watu!

Sasa hivi ndiyo wana uchungu sana na pesa za chama?

Huu ni mradi tu unasukwa na muda si mrefu lengo lake litakuwa wazi C& P.
 
Lete evidence mkuu... unadhani serikali ingekuwa na ushahidi ingelaza damu

..Nilesh tajiri wa kihindi wanayedai amempa fedha Heche amekanusha kufanya hivyo.

..pia huyo tajiri amesema yeye ni Ccm kindakindaki na alimchangia Mama Samia mi 500.

..kwa kweli Ccm imevamiwa na watu wajinga ambao wanaweza kukizamisha chama chao, pamoja na nchi.
 
..Nilesh tajiri wa kihindi wanayedai amempa fedha Heche amekanusha kufanya hivyo.

..pia huyo tajiri amesema yeye ni Ccm kindakindaki na alimchangia Mama Samia mi 500.

..kwa kweli Ccm imevamiwa na watu wajinga ambao wanaweza kukizamisha chama chao, pamoja na nchi.
Lakini wao wenyewe hawajali sana... as long as there is a lot of confusion, people can not focus on important issues.

Miradi imesimama, wakandarasi wameondoka sites... watu wanabishana kuhusu tone tone na miaka 30 ya bongo flava
 
Back
Top Bottom