Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 44,781
- 36,749
September 15 kwenye baraza kuu uthibitisho wote wa rushwa za makamu mwenyekiti wa chadema taifa utawekwa wazi gentleman 🐒Unamtuhumu mtu kwa uthibitisho upi?
September 15 kwenye baraza kuu uthibitisho wote wa rushwa za makamu mwenyekiti wa chadema taifa utawekwa wazi gentleman 🐒Unamtuhumu mtu kwa uthibitisho upi?
Sawa, muda ni hakimu mzuri sanaSeptember 15 kwenye baraza kuu uthibitisho wote wa rushwa za makamu mwenyekiti wa chadema taifa utawekwa wazi gentleman 🐒
well done 👊Sawa, muda ni hakimu mzuri sana
Report ya CAG imefanyiwa kazi?Kwani watu wakiwa na mashaka na jambo fulani dhidi ya mtu fulani, wakitaka uchunguzi ufanyike ili kuhoji na kujiridhisha ni kosa?
nadhani hiyo inaweza kua ni faida kwa jamii yenye mashaka nae, lakini pia ni faida kwa anae chunguzwa ikiwa tuhuma zimekosa ushahidi usio na shaka.
So ,
ni vizuri kugeuza changamoto zikawa fursa ya kujirekebisha, kujisahihisha, kujipanga upya na kufanya vizuri zaidi mbeleni, kuliko kujipiga kifua kindezi ndezi tu kwa mihemko na hisia mseto useless 🐒
hoja mahususi mezani ni ufisadi wa kutisha wa heche chadema gentleman na si vinginevyo 🐒Report ya CAG imefanyiwa kazi?
kwa staili hii ya uchafuzi naona kama wanamsafisha HECHE na kumfanya apendwe zaidi na kumpandisha mno kwa wananchi, wasome majira na mtizamo wa waTanzania kwa muktadha wa sasa kisiasa.CCM wanatumia mbinu za 2005 kupigana Vita 2026...
Mwaka 2005 kikwete alichafua watu bila ushahidi na aliaminika...
Kwasababu wananchi walikua na chanzo kimoja tu cha kupata tarifa (mainstream) magazeti,TV na radio...
Leo watu wanapata tarifa nyeti bila kuangalia tv wala kusoma gazeti,unamdanganya nani?...
CCM mkimwendekeza kikwete, nawahakikishia hadi 2030 mtakua nyanya'anyang'a...
Kwasababu huyu mtu hana uwezo wowote zaidi ya kuchafua na kuuwa washindani wake.
Oscar alikua MWANAHABARI WA CCMNimewasikiliza watangazaji wa clouds wakishupalia Heche achunguzwe kwa kubugia mamilioni ya fedha za CHADEMA. Huyu mtangazaji anaitwa Oscar akashupalia kwamba Heche akubali kuchunguzwa kwa ubadhirifu. Cha kushangaza Oscar hajataja kiasi kilichoibiwa au kiasi kilichochangwa.
Naona Kuna kundi kubwa hata nje ya CHADEMA linalotumika kumuangusha Heche. Lina piga propaganda bila vielelezo. Kama mtu amekula pesa si mseme ni shilingi ngapi?. Na pia mseme hiyo pesa iliyoliwa imetoka wapi na ilitumikaje na Heche.
Nimalizie kwa kusema Clouds and Oscar you are very stupid.
Lete evidence mkuu... unadhani serikali ingekuwa na ushahidi ingelaza damuanyway,
heche ni Mal rushwa wa kiwango kibaya sana, huenda chadema wasingegundua mapenzi, angefanikiwa kutafuna kila kitu cha chama kwa faida yake binafsi na familia yake.
In fact,
amefanya kosa baya zaidi kwenye maisha ya binadamu 🐒
Just wait mkutano wa baraza kuu chadema taifa gentleman na itapendeza zaidi 🐒Lete evidence mkuu... unadhani serikali ingekuwa na ushahidi ingelaza damu
Kumbe sio kosa na unalijua HiloKwani watu wakiwa na mashaka na jambo fulani dhidi ya mtu fulani, wakitaka uchunguzi ufanyike ili kuhoji na kujiridhisha ni kosa?
nadhani hiyo inaweza kua ni faida kwa jamii yenye mashaka nae, lakini pia ni faida kwa anae chunguzwa ikiwa tuhuma zimekosa ushahidi usio na shaka.
So ,
ni vizuri kugeuza changamoto zikawa fursa ya kujirekebisha, kujisahihisha, kujipanga upya na kufanya vizuri zaidi mbeleni, kuliko kujipiga kifua kindezi ndezi tu kwa mihemko na hisia mseto useless 🐒
Yaani Ted Cruz au David McAlister kutoka huko anakotoka, halafu eti aje achungulie uvunguni mwa kitanda changu kuna nani kana kwamba mimi mwenye kitanda siwezi?🤣Kumbe sio kosa na unalijua Hilo
Safi Sana , so kwanini kizimkazi nayeye asiruhusu uchunguzi huru kutoka jumuia ya kimataifa ili waweze kuchunguza Kuhusu mauaji yaliyo fanyika dec29 !?
Kinacho wafanya wakatae Hilo ni nini !?
Wote wanaosema heche kapiga pesa hawataji ni sh ngapi na hawasemi zimetoka wapi
Umeona Sasa !!! Sehemu kubwa ya maisha ya binaadamu Yanaendeshwa na ubinafsi kile ambacho wewe unagoma kufanyiwa ndio ambacho huyo mnayetaka achunguzwe nayeye hawezi kukubali kukifanya 🤣🤣🤣Yaani Ted Cruz au David McAlister kutoka huko anakotoka, halafu eti aje achungulie uvunguni mwa kitanda changu kuna nani kana kwamba mimi mwenye kitanda siwezi?🤣
vibaraka bana dah 🤣
siasa ni maisha gentleman,Umeona Sasa !!! Sehemu kubwa ya maisha ya binaadamu Yanaendeshwa na ubinafsi kile ambacho wewe unagoma kufanyiwa ndio ambacho huyo mnayetaka achunguzwe nayeye hawezi kukubali kukifanya 🤣🤣🤣
So kama Kwa kutulia
Wanasiasa wanawachezea Akili tu ,
Ndio katika maisha humo humo Kuna kuchezea Akili za watu 🤣siasa ni maisha gentleman,
sio kuchezeana akili wala nini 🐒
kwahiyo kinachoendelea kwenye mjadala dhidi ya hoja mahususi mezani ni kuchezeana akili, right?🐒Ndio katika maisha humo humo Kuna kuchezea Akili za watu 🤣
Both 😄kwahiyo kinachoendelea kwenye mjadala dhidi ya hoja mahususi mezani ni kuchezeana akili, right?🐒